Ushauri: Mdee na wenzake wafungue shauri waombe Mahakama Kuu izuie jaribio la kuwafuta Ubunge

Ushauri: Mdee na wenzake wafungue shauri waombe Mahakama Kuu izuie jaribio la kuwafuta Ubunge

Kabla ya kuandika shirikisha kidogo ubongo wako

wao hawaendi Mahakamani kupinga kufukuzwa ubunge bali wanakwenda mahakamani kupinga utaratibu uliotumika kufukuzwa uanachama

kwa hivyo mambo ya ubunge au tume hayatahusika.

mahakama itajikita ktk hoja ya msingi kwamba Je; CHADEMA imezingatia utaratibu wa kuwafukuza uanachama?
unaweza kueleza jinsi walivyofukuzwa kinyume na taratibu?
 
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Nimejizuia kukujibu huenda ningekuudhi mkuu
 
Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Walipaswa kwenda Mahakamani kulizuia Baraza kuu kujadili uanachama wao..
Ubunge waliokuwa nao ni zao la wao kuwa Wanachama wa Chadema na sasa Uanachama huo hawana tena..
Ushauri unaowapa umechelewa.
 
Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Aisee huoni hata aibu!
Kwa yote yaliyotokea mpk kupata huo ubunge,bado unakuja hapa kuongea ,eti waliteuliwa kwa barua halali?!![emoji848][emoji848]aisee mbinguni mbali sana!
Km watu wazima na akili zenu mnaweza andika ujinga wa hivi
 
Hawajafukuzwa Ubunge, Bali uanachama. Kama wanataka Ubunge waende bungeni waendelee na vikao vya bajeti maana chadema iliwadukuza uanachama, kuhusu Ubunge watajuana wao na spika wao. Mbona kamati kuu iliwafukuza lakini wakaendelea na Ubunge.
Hakika mkuu. Umemjibu vizuri sana huyu chinembe

Huo ubunge waendelee nao, kwa sababu CHADEMA haina nguvu huko kwenye ubunge. Wale waliowapa huo ubunge waliendelea kuwalinda hata baada ya kufukuzwa huo uanachama kinyume cha katiba ya nchi. Baraza kuu limefanya kubariki tu kufukuzwa kwao, walishafukuzwa kitambo na wakakata tu rufaa.

Sasa spika Akson aendelee nao huko bungeni kama alivyowapokea toka kwa Job Ndugai.

Kazi Iendelee.
 
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Mkuu umekuwa amicus curiae wa cdm now
Vp wwe mbona hukwenda ku appeal against wajumbe au hakukuwa na irregularities by then
 
Ubora wa mwanasiasa ni kuwa muadilifu. Nazidi kutilia mashaka maandiko yako kama unashabikia wanasiasa wasio waadilifu na kuwaita asset bora ya kisiasa. Mwanasiasa anayeweza kulaghaiwa na kuikana itikadi yake na ya chama chake unamuita asset! Kwelinimeamini mtu kadri anavyozeeka na akili yake huzeeka.
Hivi kuna mwanasiasa muadilifu? Samahani naomba kujua tu😂😂😂
 
Una uahahidi gani kama waliteuliwa kwa vikao halali? naona mnaanza kutafuta majibu yenu binafsi kujiliwaza.

Tuambie hivyo vikao vya kuwateua vilikaa lini na wapi, na wajumbe walikuwa wakina nani, chini ya mwenyekiti gani?
Huyo jamaa anapata taabu sana na uamuzi huo. Asiwe na wasiwasi, watalindwa bungeni na spika Tulia Akson.
 
Na wakifungua shauri hilo wanashinda, sheria inawapa wao credit kwasababu CDM wameshindwa kuprove kama orodha hiyo imeghushiwa kwa namna gani.
Unafikiri halima mjinga kiasi huko,aende mahakamani?
Ana akili kuliko we uliyeoeta haya mawazo hapa!
Acha tusubiri
 
Ukiona mtu anatetea Malaya Malaya wa kisiasa ujue hata yeye ni Malaya. Huyo Pascal hajitambui ni njaa kali inamla. Anafikiri kwa kutumia Makalio akizani Watanzania bado wajinga Kama yeye na hao vibaraka wao Covid19.

Kama hao akina Mdee waliteuliwa kihalali walishindwa nini kuleta ushahidi wao Mbele ya Kamati kuu walipo itwa awali au ktk Baraza kuu la Chama lililo keti Jana? Wao si walikata rufaa Sasa hizo rufaa si huwa unaweka na sababu na ushahidi?
Kwa nini walihudhuria kikao Cha Baraza kuu huku wakijua kuwa ni kikao Cha Wahuni na maamuzi yangekuwa ya kihuni?
Pascal umepitwa na wakati huu sio wakati wenu tena pumzika umesha zeeka hizo siasa za Karne ya 15 usituletee wakati huu.
Naona Kama umemuattack mchangia mada personal, hata Kama iq yako ndogo jikite kwenye mada
 
baraza lenye wajumbe 400+ unapata kura 1% na wote 400 hawakutaki kwenye chama unatafuta tena haki gani?


Mchakato mzima wa uchaguzi uliingiliwa kwa madai yao na huo ndio wanauita "uhuni".
 
Back
Top Bottom