Ukiona mtu anatetea Malaya Malaya wa kisiasa ujue hata yeye ni Malaya. Huyo Pascal hajitambui ni njaa kali inamla. Anafikiri kwa kutumia Makalio akizani Watanzania bado wajinga Kama yeye na hao vibaraka wao Covid19.
Kama hao akina Mdee waliteuliwa kihalali walishindwa nini kuleta ushahidi wao Mbele ya Kamati kuu walipo itwa awali au ktk Baraza kuu la Chama lililo keti Jana? Wao si walikata rufaa Sasa hizo rufaa si huwa unaweka na sababu na ushahidi?
Kwa nini walihudhuria kikao Cha Baraza kuu huku wakijua kuwa ni kikao Cha Wahuni na maamuzi yangekuwa ya kihuni?
Pascal umepitwa na wakati huu sio wakati wenu tena pumzika umesha zeeka hizo siasa za Karne ya 15 usituletee wakati huu.