Unakaa tako moja[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!hati zipo kwa mkeHeee mambo yenyewe ndio hayo tena?hapo sasa hamjawajengea michepuko mmejengea familia zenu.hii ni sawa na kupewa gari bila kadi halafu dada uko mtaani unavimba...vichekesho
Bwana bwana,utaondoka na majuto ya mwaka...Akikuchoka unaondoka kama ulivyokuja..
Hapo mume huna, mtoto huna, na umri umekutupa mkono[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kukabidhiwa inategemea mwnyw umejiweka vipi,Hapana bora tubaki na kitunguu maji,kumbe DP a crew yake nyumba zenyewe hawaandiki majina yetu wanaandika majina yao,sis tutakuwa kama walinzi pale🙂
Inategemea umejiweka wekaje,Akikuchoka unaondoka kama ulivyokuja..
Hapo mume huna, mtoto huna, na umri umekutupa mkono[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli umesema vyema kabisa,tatizo watu wanashangaa kwa kuwa tunaishi kwenye kizazi ambacho hakitaki amajukumu wamejazana madudu kichwani kama kumhudumia mwanamke unaempenda ni upoyoyo,yaani kizazi hiki ujanja ni kudate na mwanamke bila kuchangia hata sabuni yake ya kuogea,ujanja ni porojo na blablahUnajua Joannah
Mtu ambae uwezo wake umeishia kwny kuhudumia vocha tu, atakushangaa utakaemlipia Kodi.
Pia Mtu ambae uwezo wake umeishia kwny kuhudumia kodi tu, pia atakushangaa utakaemnunulia nyumba mchepuko.
Kwaiyo tunarudi pae pale,
Kwamba Suala la kumhudumia mwanamke yeyote uliempenda Ni Jambo la levels TU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hivyo sawa,maana niliona hapo ni kama kuuziwa mbuzi kwenye kiroba.Kukabidhiwa inategemea mwnyw umejiweka vipi,
Kama unakua mchepuko Kisha unajiweka kiudangaji dangaji,
kwamba MDA wowote unaachika Haina haja ya KUKUANDIKA KWENYE ASSETS.
Ila kama Ni Mchepuko na umejiweka kiu-permanent na unaonyesha mapenz yasiyo na shaka ya maslahi, Hakuna tabu UKIANDIKWA KWENYE ASSETS
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona walinzi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana bora tubaki na kitunguu maji,kumbe DP a crew yake nyumba zenyewe hawaandiki majina yetu wanaandika majina yao,sis tutakuwa kama walinzi pale🙂
Ha haaa hatari sana!unakuwa umekalia kuti kavuUnakaa tako moja[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!hati zipo kwa mke
Hizi mambo hizi!Acha tuMbona walinzi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka
Vijana hawaeleweki kwamba Unapomhudumia mtu wako, unaongeza nafas ya ushawishi, heshima, utii na uanaume wako mbele ya mwanamke wako.Kweli umesema vyema kabisa,tatizo watu wanashangaa kwa kuwa tunaishi kwenye kizazi ambacho hakitaki amajukumu wamejazana madudu kichwani kama kumhudumia mwanamke unaempenda ni upoyoyo,yaani kizazi hiki ujanja ni kudate na mwanamke bila kuchangia hata sabuni yake ya kuogea,ujanja ni porojo na blablah
Sasa mnapotokea viumbe unaoweza kutunza mwali wako wanashangaa sana wanakuona kama mshamba,sio kweli!Hivyo ndivyo mwanaume anatakiwa kuwa,,,,sio porojo tu na kula ndizi nyama mwanamke kapika hata hujui katoa wapi...chaaaa
Ukija kwenye mahusiano kuchuna,Kama hivyo sawa,maana niliona hapo ni kama kuuziwa mbuzi kwenye kiroba.
Hivi huwezi kufungua darasa la kutufundishia kina kitunguu maji wetu?Vijana hawaeleweki kwamba Unapomhudumia mtu wako, unaongeza nafas ya ushawishi, heshima, utii na uanaume wako mbele ya mwanamke wako.
Huwez ukawa uhudumii usafiri wa mwanamke wako, ukapata Nguvu ya kuulizia kwann kachelewa kurud kazini?
Huwez ukawa uhudumii mawasiliano ya mwanamke wako, ukapata Nguvu ya kumuuliza Simu yake anawasiliana na Nani?
Huwez ukawa uhudumii chakula Cha mwenza wako, ukapata Nguvu ya kumuuliza kwann alitolewa dinner?
Unajua tunapolalamika tumeachwa au hatupendi Lazima turejee nyuma kwenye uwajibikaji wako mwenyewe mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hueleweki mkuu[emoji848]Tabu zote za nini ndugu [emoji848]
Kiukweli nimechelewa sana kutoelewa raha ya uaminifu kwenye ndoa ya wawili tu(Me + Ke).
Hakuna mapepo/ulinzi wa uhakika kiroho.
Hakuna mawazo yasiyo na ulazima/hakuna kuzeeka kizembe.
Hakuna wasiwasi wa kujistukia hata simu yako ikiwa haina neno siri (miaka mitano bila ya neno siri).
Hakuna pasua kichwa kuhangaikia Ke mwingine na watoto wa nnje zaidi ya Ke halali wa ndoa yangu tu, familia ya nyumbani kwetu na mara 1 1 ukweni.
Uchumi umeimarika na kuhifadhiwa kwa zaidi ya 90%.
Kuaminiwa na Ke hata nikienda popote pale duniani na kukaa mbali naye hata kwa zaidi ya siku, mwezi, mwaka na kuendelea.
Baraka za Mungu ni nyingi sana hadi nashindwa kuzielezea hapa.
Wakuu kama hamuelewi maana halisi ya amani rohoni basi onjeni mfumo wa uaminifu katika ndoa ili mshuhudie raha ya kipekee sana [emoji847][emoji16]
Nani kadhalilika,Kuna mambo mengine kama hamna experience muwe mnaachana nayo ona sasa mnavyodhalilisha kizazi adimu cha wanaume...
EeeeEe kumbe hawafai.Hapana bora tubaki na kitunguu maji,kumbe DP a crew yake nyumba zenyewe hawaandiki majina yetu wanaandika majina yao,sis tutakuwa kama walinzi pale🙂
Umezungumza vizur Sana.Ntazingatia[emoji120]Dah! Mwenyekiti hili ni bomu kabisa. Lakini hakijaharibika kitu maana sidhani kama huyo mzee anajua kua kiwanja ni cha mchepuko. Hapo kuruka kiunzi jamaa avunge aende akasaini makaratasi lakini kwa jina la mtoto wake, iwe kama kamnunulia mtoto.
Alaf apeleke document nyumbani. Wife lazma atauliza, hapo ndipo msela amwambie alikutana na kiwanja kama zali akaona anunue. Pia ajitetee kuwa hakusema kwa sabab aliona kuna mambo mengi waliopanga kufanya kama familia so this was unnecessary cost ya ghafla so akaona aishi nayo kibingwa.
Kwa wewe mwenyekiti inabidi uvunge tu mpaka shemeji aje mwenyewe, akija na siasa kwamba kiwanja ni cha mchepukk, ruka futi mia. Useme tu kua umeambiwa u co sign kama shahidi lakini huez kuhoji maana hayo ni mambo ya familia.
Mwisho wa siku kama huyo mams alihack sim ya jamaa so anajua kila kitu, everything nilichoandika ni wastage of battery life. Kimeumana nje ndani!
Mwanaume hakosei, anaghafilika!