Hahahah mpaka mwanamke anapigania penzi ujue maslahi yapo😂.Hela ipo?
Maana hawa viumbe wengi uwepo wao kwetu ni maslahi
Akirudi sharti la kwanza aje na cheti cha daktari,kinachoonyesha hiv status!Kachoka kuishi na wewe
Huyo amepata sababu tu
Usimfatilie wala nn
Akirudi mwwnyewe Haya
Ova
HahahaaaAkirudi sharti la kwanza aje na cheti cha daktari,kinachoonyesha hiv status! Asilete ukimwi wake nyumbani
Unamtafuta wa nini? Karipoti kwa viongozi wa mtaa Kisha kituo cha polisi then utulie.Mrejesho nimeamka salalam ile usiku nilimpigia simu jirani yangu alipofika akakuta funguo ameitupa nje hivyo akanifingulia ila mpaka sasa ninavyoandika hajarudi na hapokei simu
Mwanamke hapigwiKama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Mfwatilie utakavyoweza. Mitengano hii inaweza leta madoa kwenye ndoa. Kila mkitengana, kila mmoja wenu anakuwa na mtu, halafu mnarudiana.Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Wewe ni Me au Ke??.Na wewe ondoka njoo kwangu
HeheheAkirudi sharti la kwanza aje na cheti cha daktari,kinachoonyesha hiv status! Asilete ukimwi wake nyumbani
Ukijifanya kumtafuta ndio utaharibu kila kitu......kaaa kimya endeleza harakati zako jifanye hakuna kilicho tokea na akirudi yeye ndio aanze kukusemeshaKama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Kwa hii comment inaonesha ni jinsi gani ulivyo Lena kwa wanawake. Nyie ndio lile kundi la wanaume wachache ambao mnaona wanawake ni Kama miungu [emoji16][emoji16]Uzi wa rickboy wa kula ki masikhara
Uongo_90%
Ukweli_2%
Kujipakulia minyama_90%
Kuona female ni dhaifu_90%
Kujazana ujinga 80%
Kwamba akiwa na hela mwanamke ndio atatulia?Mzee tafuta hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yes! Haya ndio mawazo ya kiuanaume, uko vizuri mkuu.Kakufungia ndan kaondoka na funguo? Sasa unajuaje labda kaenda kununua petrol aje akuchomee ndani?
We ni mwanaume toka hapo ndan katafute pakulala kukikucha mrudishe kwao akapumzike maana kachoka kuish na wewe