Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Umenikumbusha kitu kipindi niko na mpenzi wangu wa utotoni, kila mara yy ndio alikuwa anaomba game mimi nilikuwa nampenda ila sio kwa sex.!! Nilikuwa sitaki kabisaa.!!
Nafanya kwa kumlizisha yy, siku alivyosafiri akakaa muda mrefu alivyorudi sijui ndio mishipa ya nyege ilizibuka nilimuomba alishangaa sana.!! Akawa ananiuliza mara mbili mbili.
Ulinishangaza sana siku ile, ila nilifurahi mana ww ndo ukawa master wa show na sikutegemea kama ungejituma vile mpaka natoka pale mapaja yote yanauma mana ulikuwa unajipigapiga kwenye mapaja yangu.

Sijui ilikuwaje ukaja kuniacha wakat mm nlkuwa bado nakupenda 😔
 
Huyo ni introvert then itakuwa haupo smart Sana upstairs that is way unamboa


Mimi ni introvert Ila naboreka Sana kukuta MTU anaongea the same story ambazo hazina positivity.


Watu introvert A.K.A Wazee wa monology hupendelea kusikia mambo chanya


Huyo mwanamke itakuwa kakuzidi AKILI
Mwamba kazidiwa akili😂😂😂😂🏃🏃🏃
 
NA si ajabu huyo demu wako akawa humu jamii forums mjuaaji hakuna ,mbeaaa balaaaa, humwambii kitu humu ,mana asilimia kubwa ya watu wa aina hiyo kuna sehemu wanatoa ya moyoni mpaka unakimbia

Nb ,Oa mke huyo ukitaka mwanamke anayeongea ndugu yangu ndugu yangu utakuja kuomba tena ushauri hapa
 
Back
Top Bottom