Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Kama ni huwa unacomment tu basi ubongo wako uko active kwenye kutengeneza hizo punchline hahahaaa... yeah najua hivyo ndio vipindi vya wasafi ila huo umithirishaji ulioufanya ulikua bomba sana.
Hizi punchline za hivi ni kawaida kwangu
Mimi ni Afisa uchachuaji daraja la kwanza 😹
 
Kuongea ongea sana napo sio kuzuri bana. Mtoto hana maneno mengi. Unataka aongee hadi umbea aje kusutwa. Oa mkuu, naungana na wadau kuwa usiongeze single mamas
 
Mkuu mpaka mmezaa mtoto na bado yuko hivyohivyo means ndo yuko hivyo. Ulichukua step nzuri kumuuliza rafiki yake, sasa cha kufanya tafuta ndugu yake wa karibu ambae wamekua pamoja umuulize ikiwa ndivyo alivyokuwa tangu utotoni utapata majibu. ukiongea nae muulize maswali yale yanayohitaji ufafanuzi zaidi ili umpe nafasi ya kuelezea zaidi usimuulize vitu vinavyohitaji majibu ya yes or no, wanawake waongeaji ndo huwa hawana jibu la yes yaan yeye ni yes na maelezo mengi ya kuchosha juu ila wakimya ni yes then kimya
 
Huyo anafanana na huyu wangu. Nataka nimuache ila namuonea huruma hivi. Katoto ka watu kapole kakimya halafu ni kayatima, zazazi wake walikufa same year. Kila ninachokaambia kanafata. usipokatafuta fresh hata kahalalamiki. Ukikapigia simu wewe ndo uongee tu, kazi yake kucheka na kuguna...
 
Kwema wakuu??
Mimi ni kijana mwenye miaka 28. Nipo kwenye uhusiano na binti mmoja yeye ana miaka 22, na tuna mtoto mmoja ana miezi 9 sasa. Sababu ya kuandika uzi huu ni kuomba ushauri juu ya tabia ya ukimya uliopitiliza kwa huyu Baby mama wangu kwa sababu, I wish nifunge nae ndoa kabisa lakn nmeanza kupoteza feelings nae kabisa Japo nshatoa Nusu ya Mahari.

Hadi kufikia umri huu, nimeshapitia mahusiano mengi sana tofauti tofauti. Lakn sijawahi experience ukimya wa mwanamke kama huu. Yaan kama ni Introvert, basi huyu ni Super introvert wakuu.

Wakati ndo namtongoza nlijua labda analinga tu kwakuwa bado hajanielewa ndo maana hanichangamkii, lakni hata aliponikubalia tukaanza mahusiano nikaona hali ileile tena sometimes unaona kama imezidi kabisa.

Unatuma Messages zinajibiwa short and clear. Ukimtoa out hana cha kuongea labda mimi ndo nianzishe story napenyewe atakuwa na majibu yake mafupi tu, "Mmmh sawa", "Aaanh kumbe" "Sawa" Yaani no matter umeanzisha story gani hauwezi kukamata Attention yake akafanya muongee mda mrefu.

So, ilibidi nimtafte rafiki yake wa karibu kujua kama ana tatizo lilimtokea kumpelekea awe stressed mda wote, lakn rafiki ake akasema huyo ndo wa hvohvo.

Kwakuwa nlikuwa naplan kumuoa nkaona nimvumilie May be ata change baadae, maana mahusiano ni zaidi ya kusex kuna kushauriana pia. Nlivyoona hali bado ileile nikaanza kujiandaa kumpiga chini. Boom akanambia haoni siku zake kumbe ana pregnant tayari.

Kwasasa nmepata kazi mbali kidogo na anapoishi yeye, ni mikoa tofauti tofauti. Sometimes nammiss hata tuongee lakn nkipiga simu basi mi ndo niwe naongea yeye anajibu. Kwahyo mimi vitu vya kumuuliza vikiiisha na story zmeishia hapo.

Tukichat utadhani nachati na Computer! Kilasiku meseji hazizidi 10. Na chatting zetu ni fixed (Yaani zilezile Kilasiku). Nakaa miezi miwili sijaonana nae lakn siku nikienda kusalimia hom atasema kanimiss tuonane, tukionana mimi ndo niongee otherwise tutakaa kimya hata masaa mawili kama Ma bodyguard.

Nikijaribu hata kuomba ushauri, ujue jibu ni kwamba "Kwani we unaonaje"

Mi najua wanawake wana tabia za kusimulia umbea mara kwa mara lakn huyu sijawahi sikia hizo mambo.

Kunasiku Ex wangu alimfata Baby mama kumuumiza roho kwamba bado sijaachana nae. Lakn hakunambia wala nini yaani nliskiaga tu kwa watu ndo nkamuuliza akasema ni kweli. Nkajiuliza why hakunambia ? Kwasasa nipo mbali tunakaa hata mwezi bila kuongea kwa simu zaidi ya kuchati kidogo tu, but she doesn't care.

Huyu binti ni Mrembo sana wakuu, lakn nataka kuisamehe hata hiyo mahari nliyotanguliza kwao asee, maana sasa sienjoy kabisa huu uhusiano. Naona kama sipendwi hivi, lakn kuna mda nikiqngalia maisha ya kwao yalivyo magumu natamani kumuoa lakini sasa namuoaje mtu mkimya hivi ? Ilifika moment akinambia tuonane kanimiss ,basi namwambia nipo mbali kidogo maana mkionana hadi aibu, yaan hana cha kuongea.

Ushauri wakuu, kwa wenye experience na wanawake wa hivi. Mi nataka kughairi kumuoa maana hata hisia zimekata sasa. Lakn sometimes naona au nimuoe tu!

Sorry, kwa uandishi mbaya.
Mvumilie tu utamzoea, tunavyooana kila mtu anakuwa mgeni kwa mapungufu ya mwenzie inahitaji muda kuzoeana na mkishazoeana utaona kawaida sana

Ndoa huwekwa na uvumilivu tu kwani baada ya kujuana baina yenu kunakuwa hakuna jipya tena hasa kwa wanawake huwa wanakuwa hawaoni jipya tena wanakuwapo tu

Jipe muda ukiona kitu fulani kinakuboa tafuta kingine ambacho hakikuboi kwake deal nacho hicho
 
Shukran mkuu, lakn mimi nimejaribu kuwa talkative kwake ili awe free, lakn wapi.
Kuwa talkative sio tatizo inapidi uanze kumzoeza taratibu,mfanye rafiki yako mbona atafunguka tu.
Alafu kwenye maisha huwezi kupata mtu ambaye amekamilika kila kitu madhaifu mengine yanabebeka mbona?unaweza ukapata talkative ila ukajuta
Mmewangu pia alikuwa analalamika eti mimi ni msiri siwezagi kushea baadhi ya vitu sasa mimi nikiangalia vitu venyewe sio hata vya kuongea,basi ilibidi anizoee na hata ilikuwa inaleta shida kwa kuwa mimi sio mtumiaji mzuri basi amezoea.
 
Kwema wakuu??
Mimi ni kijana mwenye miaka 28. Nipo kwenye uhusiano na binti mmoja yeye ana miaka 22, na tuna mtoto mmoja ana miezi 9 sasa. Sababu ya kuandika uzi huu ni kuomba ushauri juu ya tabia ya ukimya uliopitiliza kwa huyu Baby mama wangu kwa sababu, I wish nifunge nae ndoa kabisa lakn nmeanza kupoteza feelings nae kabisa Japo nshatoa Nusu ya Mahari.

Hadi kufikia umri huu, nimeshapitia mahusiano mengi sana tofauti tofauti. Lakn sijawahi experience ukimya wa mwanamke kama huu. Yaan kama ni Introvert, basi huyu ni Super introvert wakuu.

Wakati ndo namtongoza nlijua labda analinga tu kwakuwa bado hajanielewa ndo maana hanichangamkii, lakni hata aliponikubalia tukaanza mahusiano nikaona hali ileile tena sometimes unaona kama imezidi kabisa.

Unatuma Messages zinajibiwa short and clear. Ukimtoa out hana cha kuongea labda mimi ndo nianzishe story napenyewe atakuwa na majibu yake mafupi tu, "Mmmh sawa", "Aaanh kumbe" "Sawa" Yaani no matter umeanzisha story gani hauwezi kukamata Attention yake akafanya muongee mda mrefu.

So, ilibidi nimtafte rafiki yake wa karibu kujua kama ana tatizo lilimtokea kumpelekea awe stressed mda wote, lakn rafiki ake akasema huyo ndo wa hvohvo.

Kwakuwa nlikuwa naplan kumuoa nkaona nimvumilie May be ata change baadae, maana mahusiano ni zaidi ya kusex kuna kushauriana pia. Nlivyoona hali bado ileile nikaanza kujiandaa kumpiga chini. Boom akanambia haoni siku zake kumbe ana pregnant tayari.

Kwasasa nmepata kazi mbali kidogo na anapoishi yeye, ni mikoa tofauti tofauti. Sometimes nammiss hata tuongee lakn nkipiga simu basi mi ndo niwe naongea yeye anajibu. Kwahyo mimi vitu vya kumuuliza vikiiisha na story zmeishia hapo.

Tukichat utadhani nachati na Computer! Kilasiku meseji hazizidi 10. Na chatting zetu ni fixed (Yaani zilezile Kilasiku). Nakaa miezi miwili sijaonana nae lakn siku nikienda kusalimia hom atasema kanimiss tuonane, tukionana mimi ndo niongee otherwise tutakaa kimya hata masaa mawili kama Ma bodyguard.

Nikijaribu hata kuomba ushauri, ujue jibu ni kwamba "Kwani we unaonaje"

Mi najua wanawake wana tabia za kusimulia umbea mara kwa mara lakn huyu sijawahi sikia hizo mambo.

Kunasiku Ex wangu alimfata Baby mama kumuumiza roho kwamba bado sijaachana nae. Lakn hakunambia wala nini yaani nliskiaga tu kwa watu ndo nkamuuliza akasema ni kweli. Nkajiuliza why hakunambia ? Kwasasa nipo mbali tunakaa hata mwezi bila kuongea kwa simu zaidi ya kuchati kidogo tu, but she doesn't care.

Huyu binti ni Mrembo sana wakuu, lakn nataka kuisamehe hata hiyo mahari nliyotanguliza kwao asee, maana sasa sienjoy kabisa huu uhusiano. Naona kama sipendwi hivi, lakn kuna mda nikiqngalia maisha ya kwao yalivyo magumu natamani kumuoa lakini sasa namuoaje mtu mkimya hivi ? Ilifika moment akinambia tuonane kanimiss ,basi namwambia nipo mbali kidogo maana mkionana hadi aibu, yaan hana cha kuongea.

Ushauri wakuu, kwa wenye experience na wanawake wa hivi. Mi nataka kughairi kumuoa maana hata hisia zimekata sasa. Lakn sometimes naona au nimuoe tu!

Sorry, kwa uandishi mbaya.
Vipi kwenye sita kwa sita anamiguno kasuku au pia ni mwendo wa mikaushoo!
 
Back
Top Bottom