Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

😂😂
angekuwa ananiboa balaa..!! Imagine mtu kila akikutafuta neno lake ni 'niambie, niambie',
wakati Mimi kila nikikutafuta nina umbeya wa Tanzania nzima, hatuwezi endana akii'..!!
Mtu gani anakuwa kapooza kama uji wa magimbi🙆🙆🙆
 
😂😂😂
kuna mtu ananiitaga cherehani, maana nikianza kupiga story nikachanganya na umbeya mnajikuta mmeongea masaa..!!
Mac Alpho
Halafu wanaume waongo wanajifanya hawapendi umbea ila ki-uhalisia wanapenda mfano hakuna.!!
Pale unapompa umbea ukiona kanyamaza ujue kuna point za msingi anachukua, siku jifanye km unamuongelea huyo mtu negative uone atakavyokukumbusha ubuyu uliomsimulia 😂😂😂
 
Mi nlishawahi kuachana na binti kama huyo. Kabla hujaoa ni muhimu ujue unahitaji mtu wa namna gani. Mwenzake na penseli ni kifutio bro, 5 na ngumi, shuka chafu na kunguni bro.

Ua mtu mtakayeendana ili kiepusha usumbufu hapo baadae
 
Kwema wakuu??
Mimi ni kijana mwenye miaka 28. Nipo kwenye uhusiano na binti mmoja yeye ana miaka 22, na tuna mtoto mmoja ana miezi 9 sasa. Sababu ya kuandika uzi huu ni kuomba ushauri juu ya tabia ya ukimya uliopitiliza kwa huyu Baby mama wangu kwa sababu, I wish nifunge nae ndoa kabisa lakn nmeanza kupoteza feelings nae kabisa Japo nshatoa Nusu ya Mahari.

Hadi kufikia umri huu, nimeshapitia mahusiano mengi sana tofauti tofauti. Lakn sijawahi experience ukimya wa mwanamke kama huu. Yaan kama ni Introvert, basi huyu ni Super introvert wakuu.

Wakati ndo namtongoza nlijua labda analinga tu kwakuwa bado hajanielewa ndo maana hanichangamkii, lakni hata aliponikubalia tukaanza mahusiano nikaona hali ileile tena sometimes unaona kama imezidi kabisa.

Unatuma Messages zinajibiwa short and clear. Ukimtoa out hana cha kuongea labda mimi ndo nianzishe story napenyewe atakuwa na majibu yake mafupi tu, "Mmmh sawa", "Aaanh kumbe" "Sawa" Yaani no matter umeanzisha story gani hauwezi kukamata Attention yake akafanya muongee mda mrefu.

So, ilibidi nimtafte rafiki yake wa karibu kujua kama ana tatizo lilimtokea kumpelekea awe stressed mda wote, lakn rafiki ake akasema huyo ndo wa hvohvo.

Kwakuwa nlikuwa naplan kumuoa nkaona nimvumilie May be ata change baadae, maana mahusiano ni zaidi ya kusex kuna kushauriana pia. Nlivyoona hali bado ileile nikaanza kujiandaa kumpiga chini. Boom akanambia haoni siku zake kumbe ana pregnant tayari.

Kwasasa nmepata kazi mbali kidogo na anapoishi yeye, ni mikoa tofauti tofauti. Sometimes nammiss hata tuongee lakn nkipiga simu basi mi ndo niwe naongea yeye anajibu. Kwahyo mimi vitu vya kumuuliza vikiiisha na story zmeishia hapo.

Tukichat utadhani nachati na Computer! Kilasiku meseji hazizidi 10. Na chatting zetu ni fixed (Yaani zilezile Kilasiku). Nakaa miezi miwili sijaonana nae lakn siku nikienda kusalimia hom atasema kanimiss tuonane, tukionana mimi ndo niongee otherwise tutakaa kimya hata masaa mawili kama Ma bodyguard.

Nikijaribu hata kuomba ushauri, ujue jibu ni kwamba "Kwani we unaonaje"

Mi najua wanawake wana tabia za kusimulia umbea mara kwa mara lakn huyu sijawahi sikia hizo mambo.

Kunasiku Ex wangu alimfata Baby mama kumuumiza roho kwamba bado sijaachana nae. Lakn hakunambia wala nini yaani nliskiaga tu kwa watu ndo nkamuuliza akasema ni kweli. Nkajiuliza why hakunambia ? Kwasasa nipo mbali tunakaa hata mwezi bila kuongea kwa simu zaidi ya kuchati kidogo tu, but she doesn't care.

Huyu binti ni Mrembo sana wakuu, lakn nataka kuisamehe hata hiyo mahari nliyotanguliza kwao asee, maana sasa sienjoy kabisa huu uhusiano. Naona kama sipendwi hivi, lakn kuna mda nikiqngalia maisha ya kwao yalivyo magumu natamani kumuoa lakini sasa namuoaje mtu mkimya hivi ? Ilifika moment akinambia tuonane kanimiss ,basi namwambia nipo mbali kidogo maana mkionana hadi aibu, yaan hana cha kuongea.

Ushauri wakuu, kwa wenye experience na wanawake wa hivi. Mi nataka kughairi kumuoa maana hata hisia zimekata sasa. Lakn sometimes naona au nimuoe tu!

Sorry, kwa uandishi mbaya.
Mkuu una bahati sana kupata mwanamke mkimya huyo oa fasta, hawa chiriku wanaumiza vichwa sana, wanaongea mpaka kero.. kifupi wanaongea kama wamemeza flash, Kuna maneno wanaongea yanachoma kama pasi, ukimuacha huyo utakujuta sana, au niunganishie mm
 
Halafu wanaume waongo wanajifanya hawapendi umbea ila ki-uhalisia wanapenda mfano hakuna.!!
Pale unapompa umbea ukiona kanyamaza ujue kuna point za msingi anachukua, siku jifanye km unamuongelea huyo mtu negative uone atakavyokukumbusha ubuyu uliomsimulia 😂😂😂
😂😂😂😂
Mtseeeuuuw', umenikwaza umejuaje..??
Wewe hadi ushasahau mwenzio kumbukumbu anazo zooooote kama mtunza nyaraka wa serikali..!!
 
Usimlazimishe mtu kubadilika. Umekiri ulimkuta hivyo, ukampenda hivyo hivyo mpaka ukamtia na mimba. Bado yuko hivyo na bila shaka ataendelea kuwa hivyo. Nilitegemea, hata hivyo, kwamba baada ya kukuzoea kidogo angeanza kufunguka kwako maana mtu hata awe mkimya namna gani lazima kuna mtu (au watu) ambao amewazoea ambao ukimkuta anapiga nao stori mpaka unaweza kushangaa kama ni yeye kweli. Kama siyo wewe mwandani wake, ni nani sasa? Labda kama wewe ni kauzu yaani siriazi 24/7 na ameshindwa kukuzoea. Au tu basi personality zenu hazisomani utafikiri mfumo wa TPA na TRA... yaani ni zero emotional connection!

Basi kaa naye. Mwambie kuwa wewe ni rafiki na mshikaji wake na asikuogope. Na kwamba unatamani sana muwe na emotional connection kama inawezekana. Muwe mnashirikishana mapito yenu kama wenza, wazazi na marafiki. Kwamba uko msikivu...and you care. Na umaanishe na umuonyeshe kwa vitendo.

Maana usikute binti wa watu ana trauma za utotoni huko (na kwingineko); na alishajikalia kimya mazima hajali kitu tena. Unaweza pia kumpeleka kwa therapist wakaongee huko kuhusu chanzo cha tatizo hilo na akiweza kufunguka huko unaweza kushangaa mpaka utakuja hapa kufungua uzi ukiomba ushauri kuwa mke wako anaongea sana!

Na please usituletee singo maza mwingine huku mtaani. Tafuteni suluhisho la tatizo hilo pamoja huku mkiwa katika ndoa. Kama mnapendana kwa dhati mtatoboa tu 🙏🏿
Long trip yafaa ubaki na huu ushauri ikibidi uucopy uuweke pahala na uzingatie sana hiyo paragraph ya pili kutoka mwisho na hiyo ya mwisho yenyewe. Chukua hii kabla ya vijana wa kataa ndoa hawajaja kukuharibu mindset yako hahaha.
 
Umenikumbusha kitu kipindi niko na mpenzi wangu wa utotoni, kila mara yy ndio alikuwa anaomba game mimi nilikuwa nampenda ila sio kwa sex.!! Nilikuwa sitaki kabisaa.!!
Nafanya kwa kumlizisha yy, siku alivyosafiri akakaa muda mrefu alivyorudi sijui ndio mishipa ya nyege ilizibuka nilimuomba alishangaa sana.!! Akawa ananiuliza mara mbili mbili.

Mi nadhani mpe muda huyo ni wife material lasivyo utadondokea kwa wasafi fm
Asubuhi MICHEZO
Mchana UMBEA
Usiku STORY ZA KUNYEGEZANA
Hizi quotes huwa mnazitoaga wapi aisee, maana nimecheka hapo kwenye wasafi fm na tafsiri yake 😂😂
 
Kwema wakuu??
Mimi ni kijana mwenye miaka 28. Nipo kwenye uhusiano na binti mmoja yeye ana miaka 22, na tuna mtoto mmoja ana miezi 9 sasa. Sababu ya kuandika uzi huu ni kuomba ushauri juu ya tabia ya ukimya uliopitiliza kwa huyu Baby mama wangu kwa sababu, I wish nifunge nae ndoa kabisa lakn nmeanza kupoteza feelings nae kabisa Japo nshatoa Nusu ya Mahari.

Hadi kufikia umri huu, nimeshapitia mahusiano mengi sana tofauti tofauti. Lakn sijawahi experience ukimya wa mwanamke kama huu. Yaan kama ni Introvert, basi huyu ni Super introvert wakuu.

Wakati ndo namtongoza nlijua labda analinga tu kwakuwa bado hajanielewa ndo maana hanichangamkii, lakni hata aliponikubalia tukaanza mahusiano nikaona hali ileile tena sometimes unaona kama imezidi kabisa.

Unatuma Messages zinajibiwa short and clear. Ukimtoa out hana cha kuongea labda mimi ndo nianzishe story napenyewe atakuwa na majibu yake mafupi tu, "Mmmh sawa", "Aaanh kumbe" "Sawa" Yaani no matter umeanzisha story gani hauwezi kukamata Attention yake akafanya muongee mda mrefu.

So, ilibidi nimtafte rafiki yake wa karibu kujua kama ana tatizo lilimtokea kumpelekea awe stressed mda wote, lakn rafiki ake akasema huyo ndo wa hvohvo.

Kwakuwa nlikuwa naplan kumuoa nkaona nimvumilie May be ata change baadae, maana mahusiano ni zaidi ya kusex kuna kushauriana pia. Nlivyoona hali bado ileile nikaanza kujiandaa kumpiga chini. Boom akanambia haoni siku zake kumbe ana pregnant tayari.

Kwasasa nmepata kazi mbali kidogo na anapoishi yeye, ni mikoa tofauti tofauti. Sometimes nammiss hata tuongee lakn nkipiga simu basi mi ndo niwe naongea yeye anajibu. Kwahyo mimi vitu vya kumuuliza vikiiisha na story zmeishia hapo.

Tukichat utadhani nachati na Computer! Kilasiku meseji hazizidi 10. Na chatting zetu ni fixed (Yaani zilezile Kilasiku). Nakaa miezi miwili sijaonana nae lakn siku nikienda kusalimia hom atasema kanimiss tuonane, tukionana mimi ndo niongee otherwise tutakaa kimya hata masaa mawili kama Ma bodyguard.

Nikijaribu hata kuomba ushauri, ujue jibu ni kwamba "Kwani we unaonaje"

Mi najua wanawake wana tabia za kusimulia umbea mara kwa mara lakn huyu sijawahi sikia hizo mambo.

Kunasiku Ex wangu alimfata Baby mama kumuumiza roho kwamba bado sijaachana nae. Lakn hakunambia wala nini yaani nliskiaga tu kwa watu ndo nkamuuliza akasema ni kweli. Nkajiuliza why hakunambia ? Kwasasa nipo mbali tunakaa hata mwezi bila kuongea kwa simu zaidi ya kuchati kidogo tu, but she doesn't care.

Huyu binti ni Mrembo sana wakuu, lakn nataka kuisamehe hata hiyo mahari nliyotanguliza kwao asee, maana sasa sienjoy kabisa huu uhusiano. Naona kama sipendwi hivi, lakn kuna mda nikiqngalia maisha ya kwao yalivyo magumu natamani kumuoa lakini sasa namuoaje mtu mkimya hivi ? Ilifika moment akinambia tuonane kanimiss ,basi namwambia nipo mbali kidogo maana mkionana hadi aibu, yaan hana cha kuongea.

Ushauri wakuu, kwa wenye experience na wanawake wa hivi. Mi nataka kughairi kumuoa maana hata hisia zimekata sasa. Lakn sometimes naona au nimuoe tu!

Sorry, kwa uandishi mbaya.
Kuna mtu ana mwanamke anaongea kuliko kasi ya cherahani, akimpigia simu kumsalimia basi lazima aongee masaa mawili.

Akianza kuongea mwanamme inabidi awe msikikizaji tu, kwa sababu hatapata hata nafasi ya kuingiza neno.

Huyo vipi, atakufaa?
 
Maana mwanaandamu siku zake za kuishi zimejawa tabu nyingi😁

Mimi mtu sijui anishawishi nini nipende muonekano! Tabia tabia tabia! Yani kama tabia ya mtu huipendi na huwezi kuivumilia huyo mtu usiishi nae! Hutopata amani maisha yako yote
 
😂😂😂 Mkuu wasafi fm ndio vipindi vyao hivyo.!!
Halafu mimi huwa nacomment tyuu na vibe langu.!!
Kama ni huwa unacomment tu basi ubongo wako uko active kwenye kutengeneza hizo punchline hahahaaa... yeah najua hivyo ndio vipindi vya wasafi ila huo umithirishaji ulioufanya ulikua bomba sana.
 
Huyo ni introvert then itakuwa haupo smart Sana upstairs that is way unamboa


Mimi ni introvert Ila naboreka Sana kukuta MTU anaongea the same story ambazo hazina positivity.


Watu introvert A.K.A Wazee wa monology hupendelea kusikia mambo chanya


Huyo mwanamke itakuwa kakuzidi AKILI
Muhaya lazima ujisifie kidogo yani
 
Back
Top Bottom