Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Punguza nyege mkuu , huyo ndo mke , hata nje hana umbea , wakwangu utadhani kuna kikombe anashindania cha zoga.
Mara anambie jirani alifanya hiki ,Ohhh flani kashikwa wapi !!!!yaani sometimes nataka nimwambie nyamaza sema naona ataumia siunjua ke zao .
Huyo komaa naye utaja jua mbeleni kizuri wao hao wakimya.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Umenikumbusha kitu kipindi niko na mpenzi wangu wa utotoni, kila mara yy ndio alikuwa anaomba game mimi nilikuwa nampenda ila sio kwa sex.!! Nilikuwa sitaki kabisaa.!!
Nafanya kwa kumlizisha yy, siku alivyosafiri akakaa muda mrefu alivyorudi sijui ndio mishipa ya nyege ilizibuka nilimuomba alishangaa sana.!! Akawa ananiuliza mara mbili mbili.

Mi nadhani mpe muda huyo ni wife material lasivyo utadondokea kwa wasafi fm
Asubuhi MICHEZO
Mchana UMBEA
Usiku STORY ZA KUNYEGEZANA
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… FM
 
Usimlazimishe mtu kubadilika. Umekiri ulimkuta hivyo, ukampenda hivyo hivyo mpaka ukamtia na mimba. Bado yuko hivyo na bila shaka ataendelea kuwa hivyo. Nilitegemea, hata hivyo, kwamba baada ya kukuzoea kidogo angeanza kufunguka kwako maana mtu hata awe mkimya namna gani lazima kuna mtu (au watu) ambao amewazoea ambao ukimkuta anapiga nao stori mpaka unaweza kushangaa kama ni yeye kweli. Kama siyo wewe mwandani wake, ni nani sasa? Labda kama wewe ni kauzu yaani siriazi 24/7 na ameshindwa kukuzoea. Au tu basi personality zenu hazisomani utafikiri mfumo wa TPA na TRA... yaani ni zero emotional connection!

Basi kaa naye. Mwambie kuwa wewe ni rafiki na mshikaji wake na asikuogope. Na kwamba unatamani sana muwe na emotional connection kama inawezekana. Muwe mnashirikishana mapito yenu kama wenza, wazazi na marafiki. Kwamba uko msikivu...and you care. Na umaanishe na umuonyeshe kwa vitendo.

Maana usikute binti wa watu ana trauma za utotoni huko (na kwingineko); na alishajikalia kimya mazima hajali kitu tena. Ni ile mtu kuumizwa mpaka moyo ukapondeka kabisa kabisa. Mpeleke kwa therapist wakaongee huko kuhusu chanzo cha tatizo hilo na akiweza kufunguka huko unaweza kushangaa mpaka utakuja hapa kufungua uzi ukiomba ushauri kuwa mke wako anaongea sana!

โžก๏ธโžก๏ธโžก๏ธ Na please usituletee singo maza mwingine huku mtaani maana tulionao wanatosha. Tafuteni suluhisho la tatizo hilo pamoja huku mkiwa katika ndoa. Kama mnapendana kwa dhati mtatoboa tu๐Ÿ™๐Ÿฟ
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
binadamu sijui tunataka nini......
ukisema ni mkimya inamaana hata maswala ya maisha hashiriki kushauri? hawezi kukueleza jambo lake? au hata la huyo mtoto mliepata pamoja?

mm nina mke mpole mkimya ila linapokuja swala la fursa ushauri familia anaongea na mnashauriana mambo mengi tu ambalo anaona lipo tofauti atapinga japo tabia yake ni upole na ukimya hata maongezi anaongea taratibu kama anakubembeleza na hapo ukute anapinga jambo kama humjui unaweza hisi anatania..... kwakua nilimpenda alivyo na sipendi makelele niliweka chuma ndani.

sasa najaribu kuvaa uhusika wako sipati picha kama anajielewa zimo sawa kichwani ukimya sio shida ila maisha yanajengwa kwa maongezi ushauri sasa ikiwa yeye haongei chochote kapime akili hizo huenda kuna waya zimefyatuka.

kiukweli natamani sana wanawake wangekua wapole wakimya naenjoy sana zinapokutana familia na watu wakatoa mfano bora kwa mke wangu kwakua hupiga kazi akimaliza anatulia kimya kusikiliza hajawahi kuwa muongeaji mkuu sehemu yeye utamuona akicheka na kutulia atakuchangamkia pale mnapoongea tena kwa muda fulani kama anazielewa stori zako mbali na hapo utamuona akiongea na mama mkwe wake ndio naona anafunguka zaidi ( mashosti).

mkuu kama hana tatizo huyo ni mali weka ndani.



alafu umaskini wa kwao umekujaje hapa jf hii kauli sjapenda asee
 
Mm mkimya namna hyo naweza nkamuhis negative, mm mwenyew sio muongeaji sana ila manzi nlonae weeeh hadi kuwasha muziki kuktika hovyo hajambo yn hunionea aibu mara chache sana
 
Kwani si anakupa dudu?

Mwanamke wa hivyo anataka wewe ndiye umuongoze, uwe unampa taarifa tu ya maamuzi na mipango uliyopanga...
na unaweza tafuta namna nzuri ya kumshirikisha akajua una mipango gani ,
 
Malalamiko ya wanaume wengi ni wake zao wanaongea Sana,wanatamani wapate kama huyo!
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„Mdogo wangu ukisikia wife material ndio huyo sasa usiachie bahati hiyo.
Wewe unataka wale wanawake wa kuongeaongea hovyo akisemeshwa na kila mwanaume awe anawajibu tu kiulaini.
Huyo ndio mwanamke ambaye ukimpata una uhakika ni wako peke yako maana wanaume hawatapata nafasi ya kuongea naye kirahisi na kutupa ndoano zao.
Unachotakiwa kwa sasa ni kumsoma tu hobby yake ni nini yaani ni vitu gani ambavyo vinampa vibe offcourse kila binadamu kuna kitu fulani ambacho akikipata au akikiona kinamfurahisha au kuna mazingira fulani ambayo ukimpeleka yanampa vibe na kumbadilisha hisia lazima ufanyie utafiti hilo kama ulimpenda kweli
 
Tukiongea sana tunaitwa chiriku, tukikaa kimya mnatuacha, wanaume mpewe nini mridhike? .

Ila naye achangamke hata kudogo, hata kutoa ushauri hmna anajibu we unaonaje aah, hana hata stori za uongo kumchangamsha babe๐Ÿคฃ hajui hata mambo ya vita ya Ukraine, Gen Z. Nipe namba yake nimpe kaka yangu amchangamshe afu atamrudisha๐Ÿคฃ
 
Back
Top Bottom