Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

πŸ˜…πŸ˜…
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… FM
 
πŸ˜…πŸ˜…
 
binadamu sijui tunataka nini......
ukisema ni mkimya inamaana hata maswala ya maisha hashiriki kushauri? hawezi kukueleza jambo lake? au hata la huyo mtoto mliepata pamoja?

mm nina mke mpole mkimya ila linapokuja swala la fursa ushauri familia anaongea na mnashauriana mambo mengi tu ambalo anaona lipo tofauti atapinga japo tabia yake ni upole na ukimya hata maongezi anaongea taratibu kama anakubembeleza na hapo ukute anapinga jambo kama humjui unaweza hisi anatania..... kwakua nilimpenda alivyo na sipendi makelele niliweka chuma ndani.

sasa najaribu kuvaa uhusika wako sipati picha kama anajielewa zimo sawa kichwani ukimya sio shida ila maisha yanajengwa kwa maongezi ushauri sasa ikiwa yeye haongei chochote kapime akili hizo huenda kuna waya zimefyatuka.

kiukweli natamani sana wanawake wangekua wapole wakimya naenjoy sana zinapokutana familia na watu wakatoa mfano bora kwa mke wangu kwakua hupiga kazi akimaliza anatulia kimya kusikiliza hajawahi kuwa muongeaji mkuu sehemu yeye utamuona akicheka na kutulia atakuchangamkia pale mnapoongea tena kwa muda fulani kama anazielewa stori zako mbali na hapo utamuona akiongea na mama mkwe wake ndio naona anafunguka zaidi ( mashosti).

mkuu kama hana tatizo huyo ni mali weka ndani.



alafu umaskini wa kwao umekujaje hapa jf hii kauli sjapenda asee
 
Mm mkimya namna hyo naweza nkamuhis negative, mm mwenyew sio muongeaji sana ila manzi nlonae weeeh hadi kuwasha muziki kuktika hovyo hajambo yn hunionea aibu mara chache sana
 
Kwani si anakupa dudu?

Mwanamke wa hivyo anataka wewe ndiye umuongoze, uwe unampa taarifa tu ya maamuzi na mipango uliyopanga...
na unaweza tafuta namna nzuri ya kumshirikisha akajua una mipango gani ,
 
Malalamiko ya wanaume wengi ni wake zao wanaongea Sana,wanatamani wapate kama huyo!
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„Mdogo wangu ukisikia wife material ndio huyo sasa usiachie bahati hiyo.
Wewe unataka wale wanawake wa kuongeaongea hovyo akisemeshwa na kila mwanaume awe anawajibu tu kiulaini.
Huyo ndio mwanamke ambaye ukimpata una uhakika ni wako peke yako maana wanaume hawatapata nafasi ya kuongea naye kirahisi na kutupa ndoano zao.
Unachotakiwa kwa sasa ni kumsoma tu hobby yake ni nini yaani ni vitu gani ambavyo vinampa vibe offcourse kila binadamu kuna kitu fulani ambacho akikipata au akikiona kinamfurahisha au kuna mazingira fulani ambayo ukimpeleka yanampa vibe na kumbadilisha hisia lazima ufanyie utafiti hilo kama ulimpenda kweli
 
Tukiongea sana tunaitwa chiriku, tukikaa kimya mnatuacha, wanaume mpewe nini mridhike? .

Ila naye achangamke hata kudogo, hata kutoa ushauri hmna anajibu we unaonaje aah, hana hata stori za uongo kumchangamsha babe🀣 hajui hata mambo ya vita ya Ukraine, Gen Z. Nipe namba yake nimpe kaka yangu amchangamshe afu atamrudisha🀣
 
Kama ile saut nyingine anatoa ng'oa nae Ivo Ivo...mnatangulia mambo mengine yatawakuta huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…