Ushauri na Mbinu Mbalimbali Kuhusu Uendeshaji wa Biashara ya Kuosha Magari (Car Wash)

Ushauri na Mbinu Mbalimbali Kuhusu Uendeshaji wa Biashara ya Kuosha Magari (Car Wash)

Anzia Nyakato hadi mjini kwenye highway ya mza-musoma na Buhongwa hadi city centre kwenye highway ya mza-shy.
Bei inategemea, maeneo ya nyegezi kukodi site hadi 10m kwa mwaka, pengine ni cheaper hadi laki tano.
 
Kwa Mashine Nzuri na za Uhakika, Waone GMI Tanzania, au Bahdella Dar es Salaam, Tanzania, wanauza Brand ya Karcher, ask for Karcher HD 1025, ni mashine nzuri. GMI au General Motors wapo opposite na Pepsi. Wao ni Authorised Dealer.

Mkuu na hizo mashine huwa zinauzwa bei gani?
 
Anzia Nyakato hadi mjini kwenye highway ya mza-musoma na Buhongwa hadi city centre kwenye highway ya mza-shy.
Bei inategemea, maeneo ya nyegezi kukodi site hadi 10m kwa mwaka, pengine ni cheaper hadi laki tano.

Poa ngoja nijipange nije kufanya survey
 
nna nia ya kufungua hii kitu ndugu zangu, nataka isiwe kubwa sana iwe ndogo tu haswa kuwalenga boda boda na gari ndogo, naomba kunuzwa gharama ya vile vifaa vinavyotumika.
ahsante
 
nna nia ya kufungua hii kitu ndugu zangu, nataka isiwe kubwa sana iwe ndogo tu haswa kuwalenga boda boda na gari ndogo, naomba kunuzwa gharama ya vile vifaa vinavyotumika.
ahsante

Mkuu pale mlimani city game supermarket zipo mashine, compressor kubwa kwa car Wash ni 980,000 na kuna zile ndogo ziko below laki tano...pitia check kama zipo Bado maana nina kama one month toka nizione
 
Ungesema na aina ya vifaa unavyotaka maana kuna automated machine nzuri sana zinaweza kuvutia hata wateja!!
 
Mkuu pale mlimani city game supermarket zipo mashine, compressor kubwa kwa car Wash ni 980,000 na kuna zile ndogo ziko below laki tano...pitia check kama zipo Bado maana nina kama one month toka nizione

shukran mdau, ntapitia kuchek
 
kunahawa jamaa wa chinaworldbuz nilikua na shida na bizaa nimeongea nao baada ya kuwaona chanel ten bei zao zipo chini sn nauwezo wakukusaidia no 9653264460
 
Biashara ya Car Wash ni kwa ajili ya:-
- Kuosh engine
- Kuondoa vumbi/udongo.matope
- Kupig a polish gari ling'ae
Ili ufanye biashara kuna ainambalimbali za mashine unapaswa kuwa nazo. Muhimu ni :-
- Compressors Pressure s washers & horses
- Vacuum Cleaner
- Compressors
- Water Tanks
- Barrels/Buckets
- Brushes & cloths (rugs)
- Car washing solutions (Polish Wax, polish, soap, etc)
Muhimu unapaswa kueleza ni Business ya ukubwa gani? Maana mashine za Car wash inategemea aina ya matumizi/mahitaji. Kwa mfano…..
1. Industrial (Heavy Duty)
2. Medium-size Business
3. Small size Business
4. Domestic…
The best machines ni za Ujerumani, Uingereza, Italy, Ufaransa na Marekani. Mashine za China ni cheapest in the market! Nakushauri ununue Karcher Products…(kwa pressure washers na vacuum cleaners), hizo compressors etc hat za china unaweza kununua….)
Mimi nina mashine mpya, kutokana na ugumu wa kupata maeneo bado niko nazo ambazp ni KARCHER HD6/16 PRESSURE WASHER 150BAR, KARCHER (PUZZI 100 CARPET CLEANER) na ELECTRIC COMPRESSOR ( Itally) ….zote kwa ujumla zilinigharimu kama $3000.00
 
Biashara ya Car Wash ni kwa ajili ya:-
-Kuosh engine
-Kuondoa vumbi/udongo.matope
-Kupig a polish gari ling’ae
Ili ufanye biashara kuna ainambalimbali za mashine unapaswa kuwa nazo. Muhimu ni :-
-Compressors Pressure s washers & horses
-Vacuum Cleaner
-Compressors
-Water Tanks
-Barrels/Buckets
-Brushes & cloths (rugs)
-Car washing solutions (Polish Wax, polish, soap, etc)
Muhimu unapaswa kueleza ni Business ya ukubwa gani? Maana mashine za Car wash inategemea aina ya matumizi/mahitaji. Kwa mfano…..
1.Industrial (Heavy Duty)
2.Medium-size Business
3.Small size Business
4.Domestic…
The best machines ni za Ujerumani, Uingereza, Italy, Ufaransa na Marekani. Mashine za China ni cheapest in the market! Nakushauri ununue Karcher Products…(kwa pressure washers na vacuum cleaners), hizo compressors etc hat za china unaweza kununua….)
Mimi nina mashine mpya, kutokana na ugumu wa kupata maeneo bado niko nazo ambazp ni KARCHER HD6/16 PRESSURE WASHER 150BAR, KARCHER (PUZZI 100 CARPET CLEANER) na ELECTRIC COMPRESSOR ( Itally) ….zote kwa ujumla zilinigharimu kama $3000.00

Nimependa sana mchanganuo huu. Nipo mkoani naiona hii fursa nitakutafuta.
 
Ninaleta hizo mashine toka UK na Germany (used) na kuziuza hapo Dar na mikoa ya jirani. Chinese products zipo madukani hapo Dar lakini durability yake ni ndogo sana. Kuna vijana wanaosha magari makubwa kule Kurasini, walikuja kwenye yard yangu mara ya kwanza na walipoona ni used machine wakaziacha na kuamua kuingia madukani kununua mashine mpya za mchina kwa 2.5M Tsh, baada ya miezi miwili walikuja tena kwangu na mpaka sasa wanadunda mzigo kama kazi na wamekuwa wananipa oda mara kwa mara. Kwa sasa nina mashine mbili zimebaki pale yard. Ni PM tuwasiliane ili nikupe maelezo zaidi.
 
Biashara ya Car Wash ni kwa ajili ya:-
- Kuosh engine
- Kuondoa vumbi/udongo.matope
- Kupig a polish gari ling’ae
Ili ufanye biashara kuna ainambalimbali za mashine unapaswa kuwa nazo. Muhimu ni :-
- Compressors Pressure s washers & horses
- Vacuum Cleaner
- Compressors
- Water Tanks
- Barrels/Buckets
- Brushes & cloths (rugs)
- Car washing solutions (Polish Wax, polish, soap, etc)
Muhimu unapaswa kueleza ni Business ya ukubwa gani? Maana mashine za Car wash inategemea aina ya matumizi/mahitaji. Kwa mfano…..
1. Industrial (Heavy Duty)
2. Medium-size Business
3. Small size Business
4. Domestic…
The best machines ni za Ujerumani, Uingereza, Italy, Ufaransa na Marekani. Mashine za China ni cheapest in the market! Nakushauri ununue Karcher Products…(kwa pressure washers na vacuum cleaners), hizo compressors etc hat za china unaweza kununua….)
Mimi nina mashine mpya, kutokana na ugumu wa kupata maeneo bado niko nazo ambazp ni KARCHER HD6/16 PRESSURE WASHER 150BAR, KARCHER (PUZZI 100 CARPET CLEANER) na ELECTRIC COMPRESSOR ( Itally) ….zote kwa ujumla zilinigharimu kama $3000.00

mchanganua mzuri nashukuru mkuu, me nataka kwa ajili ya small size business, maana nataka niweke mtaani, lengo ikiwa ni kuwalenga boda boda na watu wa mtaani wenye gari ndogo za kutembelea tu. hapo ntahitaji vifaa gani? shukran
 
Wadau msaada kwa watu wenye uelewa juu ya biashara ya car wash,vitu gani vinatakiwa.

Bei ya compressor kubwa na ndogo,vacuum na vifaa vingine.
 
Hello..najua utahitaji pressure mashine..compressor kwa ajili ya kupuliza engine hasa ukiiosha..vacuum kwa vukbi za ndani..Ukihitaji ninazo vacuum cleaners 2 mpya na Kercher car wash mashines 140p
 
Hello..najua utahitaji pressure mashine..compressor kwa ajili ya kupuliza engine hasa ukiiosha..vacuum kwa vukbi za ndani..Ukihitaji ninazo vacuum cleaners 2 mpya na Kercher car wash mashines 140p

naomba uni pm namba ya simu yako mkuu
 
watu wana chekesha kweli! dah! nime pitia post kadhaa nikahisi nasoma gazeti la sani
 
Back
Top Bottom