Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Sawasawa nashukuruSahihi kabisa japo Inategemea na ukubwa wa eneo na location
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa nashukuruSahihi kabisa japo Inategemea na ukubwa wa eneo na location
Vifaa gan hasa vinahitajika ??Usiwe na chini ya milioni 5 kwa car wash ya kawaida
Nafikiri kuna thread humu inayozungumzia biashara ya car wash na mahitaji yake,Jaribu kuitafuta kwenye jukwaa hili hili la Biashara
NdioNdii car wash.... Na hili c ndo jukwaa la biashara na ujasiriamali
Dodoki na sabuni na pressurized waterSalam great thinkers....Nina plan ya kufungua car wash hapa hapa Dar es Salaam....Ningependa kujua ni vitu gani nina hitaji...What i have in mind sio zile car wash za madumu makopo na maji ya mtaloni....Ninataka kufungua a simple,small but somehow modern car wash kwa kianzio kidogo ili in the future kama ikienda vizuri nieweze ku-expand zaidi....So like i said ningependa mtu anijuze requirement(vifaa/tool n euipments) zitkazo hitajika katika hii biashara..Pia atakaeweza kutoa bei elekezi ya hivyo vifaa na mahali ntakapovipata itakua poa zaidi.....
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI
mashine ndogo izi za laki 3 mpka 5. tank la maji lita 500. eneo la kupaki walau magari 3 mpka 5. kijana wa kazi. na vitu vibgne vdogo vdogo, sabuni n.kSalam great thinkers....Nina plan ya kufungua car wash hapa hapa Dar es Salaam....Ningependa kujua ni vitu gani nina hitaji...What i have in mind sio zile car wash za madumu makopo na maji ya mtaloni....Ninataka kufungua a simple,small but somehow modern car wash kwa kianzio kidogo ili in the future kama ikienda vizuri nieweze ku-expand zaidi....So like i said ningependa mtu anijuze requirement(vifaa/tool n euipments) zitkazo hitajika katika hii biashara..Pia atakaeweza kutoa bei elekezi ya hivyo vifaa na mahali ntakapovipata itakua poa zaidi.....
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI
Jumla kuu ya bajeti (kisio la juu) ni km tzs ngapi?mashine ndogo izi za laki 3 mpka 5. tank la maji lita 500. eneo la kupaki walau magari 3 mpka 5. kijana wa kazi. na vitu vibgne vdogo vdogo, sabuni n.k
sina uakka na figures, llakin kama mashine umenunua ya laki 5.... around 1 m itatosha na kubaki lkn inadepend.Jumla kuu ya bajeti (kisio la juu) ni km tzs ngapi?
Wengi sasa hivi wanaosha magari yao wenyewe au watoto wanaliosha jumapili baada ya kanisani!wamebanwa hawapumui,dadadadeki!Salam great thinkers....Nina plan ya kufungua car wash hapa hapa Dar es Salaam....Ningependa kujua ni vitu gani nina hitaji...What i have in mind sio zile car wash za madumu makopo na maji ya mtaloni....Ninataka kufungua a simple,small but somehow modern car wash kwa kianzio kidogo ili in the future kama ikienda vizuri nieweze ku-expand zaidi....So like i said ningependa mtu anijuze requirement(vifaa/tool n euipments) zitkazo hitajika katika hii biashara..Pia atakaeweza kutoa bei elekezi ya hivyo vifaa na mahali ntakapovipata itakua poa zaidi.....
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI
Haha halafu unawapa buku bukuWengi sasa hivi wanaosha magari yao wenyewe au watoto wanaliosha jumapili baada ya kanisani!wamebanwa hawapumui,dadadadeki!
Alafu kwanza wanaenjoy kuosha gari yao!Haha halafu unawapa buku buku