Mzee wa Torano
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 519
- 700
Mashine hiyo inauwezo wa kutoa kiasi gani cha chaki,na inahitaji kiasi gani cha material ?samahani kwa maswalisina uakka na figures, llakin kama mashine umenunua ya laki 5.... around 1 m itatosha na kubaki lkn inadepend.
maana utaitaji upige walai kazege sehem magari yatapaki... uvute maji, umeme kwa ajili ya mashine, udesign sehem ya kuelekezea maji machafu!!!