Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii biashara hata mm iko kichwani,khs machine nimeuliza ziko kariakoo
Yap ,bei zake sio mbaya ukiwa 2.5M unapatavipi ulishawahi kufatilia bei zake ?
Drainage system ya maji pia na pressureTuanzie hapa
1. Eneo
2. Kutengeneza mazingira ya eneo husiku.
3. Vifaa vya kazi
Bahati nzuri sana nnafanya biashara ya Car wash ila ina changamoto yake, haswa kipindi cha mvua kuna changamoto maana watu hawaoshi magar sana, pili vifaa kidogo ni ghali sema ukijipanga unanunua, kinachozingua zaid ni kodi asee wenye maeneo mjini wanatuua kwa bei kubwa
Kodi na manunuzi ya vifaa kama milion sita na point mkuumtaj kwa jumla ulitumia saa ngapi mkuu ukijumuisha vitu vyote
Yangu ipo mahala sio sheli, ilishajengwa nimeikodikwa mtaji kama huu ni kama zile za kwenye shell au zile zilizojitenga sehemu yake special namaanisha zile kbwa kabisa