Ushauri na Mbinu Mbalimbali Kuhusu Uendeshaji wa Biashara ya Kuosha Magari (Car Wash)

Ajabu mada sensitive kama hizi masaa mawili post hata hazifiki 15 ila sasa mwendawazimu mmoja aanzishe uzi hapa akizungumzia ukubwa wa makalio au udogo wa maumbile ya kiume ndani ya 30minute utakuta unasoma pages 4.

Sijui Watanzania maisha tunayachukuliaje!!!
 
naona biashara hii wengi wanaifanya sasa sijui kama hakuna kugombania wateja na wateja wenyewe wamekuwa adimu sana ila go ahead mkuu usijali hili kwani kitu chochote mwanzo kinakuwa kigumu
 
Habari hii mada nzuriii ila mimi bado siko kwenye level hiyooo, niko natafuta kazii kwanza , yoyote ambayo ni halali nikoo Dar
 
Vifaa gani na vifaa gani vinatakiwa..alafu usimamizi wake ukoje na namna yakuchaji bei ikoje..namapata kwa siku angalau nikiasi gani
 
Mkuu hatari sana mwenyewe nlishaligundua hili, huwa nnaanzishaga nyuzi za mambo mazur lkn response zero
 

Pressure washer, vacuum cleaner na vitaulo kwaajil yakufutia magar

Mkuu kama hautajali hebu orodhesha vitu basic vya kuanzia,

Hapa namaanisha vitu muhimu kupigia kazi.
 
Kuna jirani yetu Enzi izoo alikuwa ananipa gari ya nimuoshee then he gave me buku 5 na kwa wiki maisha Mara 2, hii kazi ina pesa aisee
 
Nimesubiri majibu ni vitu gani vinatakiwa ili kupiga Kazi kisasa zaidi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…