T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Ningekuwa mimi hapo nishakula kona Mungu anisamehe. Maskini binti wa watu miaka 30 mpaka sasa hajaolewa sijui alikuwa anakwama wapi.
Akiolewa mdogo let's say 25 akapata tatizo la uzazi kwa miaka mitano atapata ujauzito ana 30 years. Akiolewa ana 30 akipata tatizo la uzazi kwa miaka mitano atapata ujauzito akiwa 35 years. Hapo anawapa gap la miaka 3 watoto wake. Ndani ya miaka 10 anakuwa na watatu akiwa na umri wa 45 na kufunga uzazi. Hezabu zikikataa hapa...
Akiolewa mdogo let's say 25 akapata tatizo la uzazi kwa miaka mitano atapata ujauzito ana 30 years. Akiolewa ana 30 akipata tatizo la uzazi kwa miaka mitano atapata ujauzito akiwa 35 years. Hapo anawapa gap la miaka 3 watoto wake. Ndani ya miaka 10 anakuwa na watatu akiwa na umri wa 45 na kufunga uzazi. Hezabu zikikataa hapa...