Martine Nzwanilo
Member
- Aug 25, 2019
- 16
- 33
Mwanzo haikua shida kwetu, ila shida kubwa ni kwa wazazi wakeKila la kheri mkuu" kwani mlipokua katika mahusiano hamkuambiana kuhusu imani zenu?
Maana yake nimeyatimbaaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hapo bomba sio πUsiogope chukua jiko hiloo
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
πππ, mziki wa ndoa usikie tu mkuu.Maana yake nimeyatimbaaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
πππ, Nouma sana mkuu.π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
Lutheran & Catholic sio Imani ni madhehebu tu hayoMfano mzuri mzee wetu hayati lowasa
Mama mkatolic yeye mlutheli ,sasa hakikisha unahela kama Huna hebu endelea kujifunza kwanza
Hahaha π€£πππ, mziki wa ndoa usikie tu mkuu.
Mbona kwangu imekuwa kinyume chake π
Ni ukristu sio uislam(dini) .sawqLutheran & Catholic sio Imani ni madhehebu tu hayo