Martine Nzwanilo
Member
- Aug 25, 2019
- 16
- 33
- Thread starter
- #21
Kwa namna gan yaanTatizo sio dini,Tatizo ni NDOA kaka ☹️ Tunapoteza nguvu ya taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa namna gan yaanTatizo sio dini,Tatizo ni NDOA kaka ☹️ Tunapoteza nguvu ya taifa
Watoto wanafuata kwa baba labda wapate elimu na kubadili ukubwani ila moja kwa moja mume ndi kiongozi , mtoto atafuate kila kitu mpaka kabilaZipo Ndoa za Serikali pia, hivyo mnaweza kuendelea kuabudu Kila mmoja kwenye Imani yake wakati mkiendelea kufurahia maisha ya Ndoa pamoja.
Watoto wenu wanaweza kuchagua Kwa kuabudu iwe Kanisani ama Msikitini, kwamaana Dini zote zinakataza dhambi
Kila la heri kwenye Ndoa yenu Mkuu 🙏
Yeah ni kweli, though isiwe kama ni dhambi wakiamua kumfata Mama yaoWatoto wanafuata kwa baba labda wapate elimu na kubadili ukubwani ila moja kwa moja mume ndi kiongozi , mtoto atafuate kila kitu mpaka kabila
Point hiyoZipo Ndoa za Serikali pia, hivyo mnaweza kuendelea kuabudu Kila mmoja kwenye Imani yake wakati mkiendelea kufurahia maisha ya Ndoa pamoja.
Watoto wenu wanaweza kuchagua Kwa kuabudu iwe Kanisani ama Msikitini, kwamaana Dini zote zinakataza dhambi
Kila la heri kwenye Ndoa yenu Mkuu 🙏
Kwahiyo niachane nae😟aini tofauti fukuzia uko mbaliii
kwani kanisani kwako hamna wanawake? Kuna unafiki mwingine anashinda uchi kama yule wa barnaba wala hafuati dini ila kweny ndoa tu ndio anataja dini.Kwahiyo niachane nae😟
Nyinyi wazee wa zamani, material yalikuwa ni MADENI JAPAN na haikuwa MADE IN CHINAMbona kwangu imekuwa kinyume chake 😅
Au ndiyo kusema nisubiri tumalize miezi 6 😜
Mungu awatangulie kwenye maisha yenu ya Ndoa hapo baadaye 🙏🙏Point hiyo
Ila sokoni Mali nyingi bidhaa za KichinaNyinyi wazee wa zamani, material yalikuwa ni MADENI JAPAN na haikuwa MADE IN CHINA
Ila materials ya sasa ni MADE IN CHINA na siyo MADENI JAPAN
Kweli kabisa mkuu, material ya sasa, ubora haupo kabisa 🙂🙂..Ila sokoni Mali nyingi bidhaa za Kichina
Nakumbuka Mwaka fulani nilienda site na mali Moja Kali sana kwenye picture na hata live
Lakini kufika site hakuna maajabu Wala nini?
Nikasema kweli Vijana wanalishwa matango poli, bora sisi Mwaka 47 ilikuwa Kuku wa kienyeji tu 🤗 😜
Hatari Mkuu 😅Kweli kabisa mkuu, material ya sasa, ubora haupo kabisa 🙂🙂..
View attachment 2993257
👆👆👆👆👆👆
Wa mwaka huu ndo walikula matunda yaliyo mwagiliwa msimu wa kipindi cha kiangazi na masika
Huyu ni chumba au hawala yako?Nimepata mchumba na nimekuwa nae kwenye mahusiano ya uchumba mwaka sasa, nahitaji kumpeleka nyumbani ila kikwazo inakua dini zetu tofauti.
Nifanyeje ili hali tunapendana sana ila dini inakua kikwazo?
Ushauri Wana JF
Sawa bossHuyu ni chumba au hawala yako?
Usituchanganye
Uchumba lzm udhibitishwe kanisani kama nyie ni wakristo kama mwisalam uislam
Kama dini zenu ni tofauti unaoa kaa la moto utajuta kulia
Ila usije kutulilia hapa
duuuhUsimpeleke kwanza kwa wazazi mpigie mimba ikifika miezi saba anza process za kumuoa.....sitawafundisha kila kitu
Kila la kheri kwake. Ndoa ni jambo jema