Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Asante Kwa ushauri mzuri lkn suala la kifedha Hilo haliko sahihi ila kiukweli Kwa situation nilomkuta nayo kuniacha moja Kwa moja Kwa mtu mwenye utu coz nimetoka nae mbali sana na hta hapo alipo ni mchango wa mawazo na uvumilivu wangu pia sikuwahi muomba kitu najua Hana uwezo nacho nikiona ninanafasi ya kumshauri kitu asogee sikuwahi kusita kufnya hivo huenda Hilo ndo linamtesa mm Sina ela lakn sio wa kushindwa kujihudumia kula lknpia siwez hudmia mwanaume

Mapenz napenda ana offcourse lkn maumivu magumu kuvumilika na kanisaliti stage mbaya sna ambayo mahusiano yalikuwa wazi Hadi Kwa pia Kosa alofnya Hadi mzazinwangu anafahamu nimejisikia aibu sna siwez kuwa nae Tena
 
Baba wa kambo natoka nduki hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Tulia ujilie mapishi na mpishi wake nyau wewe[emoji16][emoji16]!!

hebu nimalizie shughuli hapa nipitie komenti afta komenti then nitie neno!!
 
Kifupi atamzunguka huyo ex wake octber haifiki..sijui wanapata wapi nguvu za kuchat na ma ex...! Ila huenda ni utoto pia ..
Ah wee unachezea utamu wa de libolo...bidada i aelekea alipelekewa moto vizurri na jamaa so akikumbuka kyupi inalowa. Alafu nyie mnachanganyikiwa sana na mwanaume ambaye anajua kukojoza
 
Usimiatishe tamaa,
Kama Yuko serious Aangalie upendo,
jamaa yake kachepuka TU bahat mbaya,
Na jamaa alivofala kakiri, ndo kaharibu kabisa
Sio bahat mbaya kaka alikusudia
 
Sawa nimeelewa
 
Time is the best answer dear everything gonna be okay!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…