Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Mi ningekua swala 5 ningemdedesa huyu mtoto.
Kama anaeza kujisimamia, ana mawazo positive ya kimaisha, hana machepere, nna uhakika tukikaa chini tukasuka mpango mbona unabamba chap kwa haraka?
Dah! Bahati imeenda na maji
 
Moja ya wanaume ninao waonaga ni mabwege ni wanaume wa sampuli hiii.

Yaani mwanaume yoyote anae haribu mitego ya mwenzie kwenye kudaka mbususu ni bwege anae karibia kuwa shoga.

Bro tangaza sera zako ukubaliwe ....punguza umama
 
Moja ya wanaume ninao waonaga ni mabwege ni wanaume wa sampuli hiii.

Yaani mwanaume yoyote anae haribu mitego ya mwenzie kwenye kudaka mbususu ni bwege anae karibia kuwa shoga.

Bro tangaza sera zako ukubaliwe ....punguza umama
Aiseee ....wacha ninunue gari niache maneno mengi
 
Wimbo wa nani huu mkuu?
 
We dada achana na porojo za watu humu .. angalia furaha yako ipo wapi jitulizie hapohapo .... humu ndani utawafurahisha watu kwa kujifanya unamkomoa jamaa ili kuwafurahisha mafeminist ... alafu ukifika kwako usiku hulali unalialia [emoji16][emoji16] mapenzi sio vita mura ...kama moyo wako umegoma kuondoka uache ukichoka utaondoka wenyewe ...ukifosi kuondoa utaumia tu
 
Bwana wee anawasimuliza wakina Kelsea na Mahondaw wakati wenzie usiku wanapapaswa yeye anabaki kuchapa marba ya mzungu hapa jf.
 
Mbona unamsigina mwana mzee .....? Wanaume hatupo hivo. Muacheni mwana aendelee kujilambia kibuyu cha asali acheni roho mbaya.....Man up
 
Ukiolowa tu hayo yote yataisha
 
You are the man
 
Sawa...sasa we unajuangalia moyo wako au unasikiliza mama na ndugu wanasema nini ...its your life ko fanya maamuzi huku ukitafuta amani ya moyo wako ...its your turn now kufanya maamuzi but nachoamini mimi for my experience huyu jamaa ataendelea kuwa na wewe tu hata kama utakuwa na mtu mwingine...kuna visa vingi vya aina hiyo na matokeo yake huwa ni kama nilivyobashiri so the choice is yours mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…