Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umesema ukweli kuwa una hasira...maana kunwagwa sio mchezo🤣🤣🤣🤣🤣Ni namba ngeni maranying sio yake niliblock lkn nahis pia nina hasira najikuta namjibu
Kuhusu pesa nilimzidi kiasi mm nimekuwa na biasharayangu tangu nikiwa na miaka 22 lkn sikuwahi kumpa pesa lkn ushauri ni kitu kikubwa nilivokuwa nimewekeza kwake nilikuwa Nampa ushauri vitu vya maana na vingi vinenyooka ila x wake alikuwa anatoa pesa kias had Sasa zinafika milion nakitu alisema mwenyew bhana kachagua Hela Hela 😂😂😂Ex wako na familia yao wanakutengenezea mazingira ya kuja kuolewa bi mdogo.
Tena inaonekana wewe ni mwanamke unayejiweza kiuchumi ndio maana hawataki kukuacha uende. Eti anasema akikwama atakucheki, mjinga kweli anakuona wewe buzi lake.
Move on dear, block takataka zote fanya maisha yako.
Punguza hasira Shangazi. Namna nzuri panapo wezekana unajibu na pasipo wezekana hujibu. Yes yako iwe Yes na No yako iwe No, sio kila mtu anachotaka lazima akipate weka mipaka kwenye mawasiliano tuNi namba ngeni maranying sio yake niliblock lkn nahis pia nina hasira najikuta namjibu
Njoo basi pm mrembo tuyajengeMimi naheshimika sana kuliko unavodhani kinachompa mtu heshima sio ndoa pekee ni the way anavoishi na watu na anavojiweka wew sema tu Sophy nimekuelewa sio masuala ya heshima 😂😂😂
Hajawah niambia tuachane nimeamua mwenyew siwez kuvumilia usalit hajawah niambia tuachane hata I'll suala alikuwa anaficha na anakataa na huyo mwanamke nikamfat nilipopata uhakika nikaamua nikaachna naeBora umesema ukweli kuwa una hasira...maana kunwagwa sio mchezo🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli mwanawane. Kumbe hawa warembo ukiwa na hela unaweza ukawa wajilia utamu tuu bila ata kumuoa. Sii umeona mwengine hapo kasema jamaa alikuwa anakula mbususu miaka sabaHatuna hela hatuna kazi
Lakini sii hapo nimeona kuwa nyie ni muslims...sasa kwani shida iko wapi ukiwa kama mke wa pili🤔🤔🤔🤔Hajawah niambia tuachane nimeamua mwenyew siwez kuvumilia usalit hajawah niambia tuachane hata I'll suala alikuwa anaficha na anakataa na huyo mwanamke nikamfat nilipopata uhakika nikaamua nikaachna nae
Huyu sophy naona nae bado ana matumaini ya kupindua meza ndio maanaSasa unamjibugi wa nini. Mtu usipomjibu mwezi au miwili atajua upo serious. Unapomjibu anajua chance ipo.
😄😄😄😄 Ukweli ndio huo, huna hela utaziona kwenye comment tu.. Na kuishia kutaniana nao ila kula huli wala kugusaKweli mwanawane. Kumbe hawa warembo ukiwa na hela unaweza ukawa wajilia utamu tuu bila ata kumuoa. Sii umeona mwengine hapo kasema jamaa alikuwa anakula mbususu miaka saba