Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nitamuimbia sukari ya zuchuNimekaa hapooo ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitamuimbia sukari ya zuchuNimekaa hapooo ππππππ
Kaimbiwa sana hizoo ππππ ila ku exercise mistari sio mbayaNitamuimbia sukari ya zuchu
π€£π€£π€£Nimecheka balaaππ Jimbo lipo wazi.. Ila kula za maoni tu chaliii
mzabzab..
Ila nimeona mwanamke akiwa kakuzi hela, mapenzi kudumu ngumu sana, utaishia manyanyaso.. Hili nilisha experience, nilikuwa na mdada kanizi pesa nilinyooka, ila kwakua mie maskini jeuri nilikata kamba π€£π€£π€£ kuliko nadharauu
Kuimba sio kuimba imba tu unaimba kwa vitendoKaimbiwa sana hizoo ππππ ila ku exercise mistari sio mbaya
We nawe utuliage basi sa tutakubali wangapi?π€£π€£π€£π€£π€£ kha! Miaka mitatu jamaa anajilia mbususu tuu wakati sie wakina mzabzab tukitongoza tunaambulia vibuti.
Nyama kwa nyama tukitoka hapo tunapooza miili plus heavy breakfastTunaangaliaje muda Sasa π€£π€£π€£
Kwani ulimkubaliaWe nawe utuliage basi sa tutakubali wangapi?
Good kuachana siyo uaduiKuhusu pesa nilimzidi kiasi mm nimekuwa na biasharayangu tangu nikiwa na miaka 22 lkn sikuwahi kumpa pesa lkn ushauri ni kitu kikubwa nilivokuwa nimewekeza kwake nilikuwa Nampa ushauri vitu vya maana na vingi vinenyooka ila x wake alikuwa anatoa pesa kias had Sasa zinafika milion nakitu alisema mwenyew bhana kachagua Hela Hela πππ
Pia kifamilia ni upendo tu Ile
kuwakimbilia wakat wa huzuni na furaha pesa hmna na nilishasema simpi Hela mwanaume mwenyew nazitafuta Kwa shida sana
Hamna nyota Tu, wenzenu wanapewa mbususu na hela juu, halafu wanapewa na pole π€£Hatuna hela hatuna kazi
Akuelewe Mara ngapi,Mimi naheshimika sana kuliko unavodhani kinachompa mtu heshima sio ndoa pekee ni the way anavoishi na watu na anavojiweka wew sema tu Sophy nimekuelewa sio masuala ya heshima [emoji23][emoji23][emoji23]
Nampenda sana huyu mwanamke sema yeye ndio hataki kabisa kusikia kuhusu uoendo wangu. Kumbe kuna jamaa amekaa moyoni mwake[emoji1787][emoji1787]wee jamaa bhana,
Mahaba yako na sophy27 Ni makubwa sana