Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Hajawah niambia tuachane nimeamua mwenyew siwez kuvumilia usalit hajawah niambia tuachane hata I'll suala alikuwa anaficha na anakataa na huyo mwanamke nikamfat nilipopata uhakika nikaamua nikaachna nae
Tatizo la jamaa yako Ni kukiri,
Namlaumu yeye kwa UPUMBAVU wake
 
Hamna nyota Tu, wenzenu wanapewa mbususu na hela juu, halafu wanapewa na pole 🤣
Mnitafute niwatengenezee dawa
Dah! Na kweli hili la nyota lina mashiko, maana baharia mwenzetu amemaliza tu chuo hana hili wala lile katunukiwa miaka hii mi three 👌👌.. mzabzab kumbe sie shida ni nyota😄😄
 
Back
Top Bottom