Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Punguza hasira Shangazi. Namna nzuri panapo wezekana unajibu na pasipo wezekana hujibu. Yes yako iwe Yes na No yako iwe No, sio kila mtu anachotaka lazima akipate weka mipaka kwenye mawasiliano tu
Kweli ananitia hasira hasa Yan nikiona sms kutoka kwake nahis kupata kichaa lkn nitajitahidi shangazi
 
Kweli mwanawane. Kumbe hawa warembo ukiwa na hela unaweza ukawa wajilia utamu tuu bila ata kumuoa. Sii umeona mwengine hapo kasema jamaa alikuwa anakula mbususu miaka saba
Nimeet nae alivotoka chuo tu hata kazi alikuwa Hana ukiona mwanamke wako anaangalia pesa kajichunguze vizuri unashida mahali au lah hupendwi
 
Mwanaume kbsa aseme mmeachana kwa sababu ya ubaya fkani? Haipo hyo labda akukute umechepuka. Atalazimisha kukueka karb ili apashe kiporo every once in a while.
Tuliza kipele, hasira hua zinaisha. Kwanza it seems bado mdogo, spidi ya nini? Piga mishe pata hela. Mapenz yapo tu.
 
Kweli ananitia hasira hasa Yan nikiona sms kutoka kwake nahis kupata kichaa lkn nitajitahidi shangazi
Shida ipo kwako Shangazi yangu. Maandiko yanasema

Mithali 29:11 SRUV
Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Kuwa mwenye hekima shangazi yangu. Usi ji stress shangazi kwa sababu ya external force. Upo mzuri una akili why Aunt una fail jamanj
 
Back
Top Bottom