Sio nimeanza wee ulikiwa unaleta utoto. Raha ga mapenzi ni kunyanduana. Sasa wee kila leo unataka story za on bby umevaa chupi gani, oh mara sijui nipige video call nione matiti hayo. 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Umeanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio nimeanza wee ulikiwa unaleta utoto. Raha ga mapenzi ni kunyanduana. Sasa wee kila leo unataka story za on bby umevaa chupi gani, oh mara sijui nipige video call nione matiti hayo. 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Umeanza
Fanya hivyo, hutajutia kamweEt eeh
Kama ww ni mrefu sawa.....Aunt ana shape mrefu kidg Mrembo sanaNa mwingine ni Mimi Ila Mimi nataka awe serious
Lakini huoni kuwa mrembo bado anamkubali jamaa....alafu yupo lonely na sii unajua tena mgegedo muhimuUmeona eee nacheka comments zako. Nimeshampa hapo ushauri asipokee namba ngeni,kama mtu ana shida atamtext
Mgegedo muhimu ila sio lazima hasa kwetu wadada tunaweza piga mwaka bila shidaLakini huoni kuwa mrembo bado anamkubali jamaa....alafu yupo lonely na sii unajua tena mgegedo muhimu
Mhm mnataka dada wa watu ajiunge self service weweMgegedo muhimu ila sio lazima hasa kwetu wadada tunaweza piga mwaka bila shida
Huo mwaka anasikilizia mtu serious,kwani hivi siku hz ni ngumu kukaa hivyo?Mhm mnataka dada wa watu ajiunge self service wewe
Ah wee siku hizi ni shidaaa. Maana kila sehemu ni ngono tuuHuo mwaka anasikilizia mtu serious,kwani hivi siku hz ni ngumu kukaa hivyo?
Tena na ww kama mchakataji mkuu haiepukikiAh wee siku hizi ni shidaaa. Maana kila sehemu ni ngono tuu
🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa ndio utamu wa dunia besty tunafanyaje na nyie warembo watamuTena na ww kama mchakataji mkuu haiepukiki
😂😂
Hivyo vya kawaida ndio vina maana kuliko hata hizo laki 5 au 6! Kama unaweza vya kawaida ina maana ukiwa na uwezo wa laki 5 au 6 utaweza pia. Huwa tunaangalia mambo ya kawaida sana ili kumjua nani mtu nani sio mtu.Mimi siwez kuswampa aisee Yani kama ndoa yeye ndo alikuwa ananichelewesha na ujinga wangu mwenyew kujifanya navumilia visivovumilika ofcourse siwez muhonga mpenzi kabisa maybe kumsaidia vitu vya kawaida sio et laki 5 laki 6 labda Kwa mumewangu otherwise siwez
Nyege znawasumbua tafuta mahala upunguze hyo kitu laa sivyo atakutesa huyo kakuacha na bado anakusumbuaNilikuwa kwenye serious relationship miaka 3 hivi na tulipanga tufunge ndoa mwaka huu baada ya kuwa mbali akaamua kurudiana na ex wake na mwisho akakubali kuwa kweli wamerudiana na kizuri zaidi alisema sijawahi mkwaza na hakuwa na sabbu ya msingi ya kunifanyia hivyo nikaona Riziki tu kumbe Ilikuwa imeisha maisha yaendelee.
Ila nilikuwa nawapenda sana yeye familia yake na hata mtoto wake na nilikuwa nawaona kama ndugu zangu kabisa lakini baada ya hayo sitaki mazoea nae kabisa niishi maisha yangu.
Shida ni kuwa analazimisha tuwe karibu na mm nilishakataa nishamblock mara kadhaa lakini atatafuta namba anipigie mara anitext nikaona nimuunblock tu
Ndugu zake Bado wananitafuta mara hivi mara hivi, naona wananirudisha nyuma Kila wakati. Mnipe mbinu mpya sitaki kusikia habari zao kabisa.
itapendeza😂Ngoja nimzoom Kwa ukaribu 😂
Hahahahahaha😂😂😂😂Nyege km nyege