Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Nilikuwa kwenye serious relationship miaka 3 hivi na tulipanga tufunge ndoa mwaka huu baada ya kuwa mbali akaamua kurudiana na ex wake na mwisho akakubali kuwa kweli wamerudiana na kizuri zaidi alisema sijawahi mkwaza na hakuwa na sabbu ya msingi ya kunifanyia hivyo nikaona Riziki tu kumbe Ilikuwa imeisha maisha yaendelee.

Ila nilikuwa nawapenda sana yeye familia yake na hata mtoto wake na nilikuwa nawaona kama ndugu zangu kabisa lakini baada ya hayo sitaki mazoea nae kabisa niishi maisha yangu.

Shida ni kuwa analazimisha tuwe karibu na mm nilishakataa nishamblock mara kadhaa lakini atatafuta namba anipigie mara anitext nikaona nimuunblock tu

Ndugu zake Bado wananitafuta mara hivi mara hivi, naona wananirudisha nyuma Kila wakati. Mnipe mbinu mpya sitaki kusikia habari zao kabisa.
Unaendeleaje Auntie?
Njia nzuri ni kutokujibu chochote.


Mtu aliyehiari kukuacha usipoteze hata sekunde yako moja kujibu chochote kile.

Na nyie mbwa mnaowaacha wenzenu halafu mnajidai kupiga piga simu na kutuma vimeseji vya salamu aloo mkome.
 
Kuhusu pesa nilimzidi kiasi mm nimekuwa na biasharayangu tangu nikiwa na miaka 22 lkn sikuwahi kumpa pesa lkn ushauri ni kitu kikubwa nilivokuwa nimewekeza kwake nilikuwa Nampa ushauri vitu vya maana na vingi vinenyooka ila x wake alikuwa anatoa pesa kias had Sasa zinafika milion nakitu alisema mwenyew bhana kachagua Hela Hela [emoji23][emoji23][emoji23]
Pia kifamilia ni upendo tu Ile

kuwakimbilia wakat wa huzuni na furaha pesa hmna na nilishasema simpi Hela mwanaume mwenyew nazitafuta Kwa shida sana
Kafuata hela.. Huyo angekusumbua tu hata mngeoana

Mwanaume anakosa vipi msimamo kiasi hicho.[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Pole sana sophy kwa bahati mbaya wanaume wenzangu karibu wote wamekua siyo waaminifu wanapenda sana kuchezea watoto wa watu binafsi huwa nawashauri vijana wenzangu waache hizo tabia lakin mwisho wa siku wao ndo wanataka waanze kunifundisha mimi uhuni, lakini nashukuru mtaa mzima Mimi ndo kijana niliebaki na tabia nzuri alafu muaminifu peke yangu siku nikipata mwanamke kama ww sitakuchezea lakini Hadi na wewe uniahidi kwanza kama unanipenda kweli au unataka kunitumia tu uniache
 
Pole sana sophy kwa bahati mbaya wanaume wenzangu karibu wote wamekua siyo waaminifu wanapenda sana kuchezea watoto wa watu binafsi huwa nawashauri vijana wenzangu waache hizo tabia lakin mwisho wa siku wao ndo wanataka waanze kunifundisha mimi uhuni, lakini nashukuru mtaa mzima Mimi ndo kijana niliebaki na tabia nzuri alafu muaminifu peke yangu siku nikipata mwanamke kama ww sitakuchezea lakini Hadi na wewe uniahidi kwanza kama unanipenda kweli au unataka kunitumia tu uniache
😂😂😂😂
 
Nikopoa aunt aisee alikuwa anitext anadai namchukia sana sabbu ya alichokifanya nikamwambia tu kistaarabu nahitaji kuwa na mahusiano mengine sihitaji jam za simu na text kutoka upende wake apambanie penz lake upande wa pili ikaisha hivo am happy now
Pole Auntie,
Mungu atakupa mtu mzuri hadi wewe mwenyewe utashangaa.
 
Kuna wakati tunaumia mioyo kuwafikiria wapenzi tuliokuwa nao kwa muda, na inatokea sintofahamu anaenda zake. Binafsi mashairi haya yananipa hisia kali sana juu ya mapendo
Intro:
C'mon C'mon
yeah
Can you feel me?
(Baby can you feel me?)
I've got something to say
Check it out

Verse 1:
For all this time
I've been lovin' you girl
Oh yes I have
And ever since the day
You left me here alone
I've been trying to find Oh, the reason why


So if I did
something wrong
Please tell
I wanna understand
'Cause I don't want
This love to ever end

chorus:
And I swear
If you come back
in my life
I'll be there till the end of time
(Come back to me
Come back to me
Back into my life)
And I swear
I'll keep you right
By my side
'Cause baby
You're the one I want
(Come back to me
Come back to me
Back into my life)
Oh yes you are

Verse 2:
I watched you go
You've taken
My heart with you
Oh yes you did
Every time
I tried to reach you
On the phone
Baby you're never there
Girl you're never home

So if I did something wrong
Please tell me
I wanna understand
'Cause I don't want
This love to ever end
No, no, no, no

/repeat chorus

Verse 3:
May be I dont know
How to show it
And may be
I didn't know
What to say
This time
I won't disguise
Then we can
Build our lives
Then we can
Be as one

/repeat chorus.
If you come back-Blue
Ooooooooooh😌
 
Mwaka mmoja tu tulikuwa karibu miwil tumeishi mbali sema tu unawivu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmh!
Turudi darasani,
Kama alikuwa anajilia kila siku bao tatu
3 baos × 1yr~360 days
=1080 baos per year
Mmh, hii technic ni nzuri aiseee
Kama ni kukichachua, kakichachua aisee! Ukiona anakung'ang'ania ujue unakasukari fulani hivi [emoji39][emoji39]
 
Mmh!
Turudi darasani,
Kama alikuwa anajilia kila siku bao tatu
3 baos × 1yr~360 days
=1080 baos per year
Mmh, hii technic ni nzuri aiseee
Kama ni kukichachua, kakichachua aisee! Ukiona anakung'ang'ania ujue unakasukari fulani hivi [emoji39][emoji39]
😂😂😂😂Dah
 
Shangazii hii ilinipita wapiiii?? Aseeeh njoo tumroge huyo ex ankolii, hakuna kuremba hapa.
 
Nilikuwa kwenye serious relationship miaka 3 hivi na tulipanga tufunge ndoa mwaka huu baada ya kuwa mbali akaamua kurudiana na ex wake na mwisho akakubali kuwa kweli wamerudiana na kizuri zaidi alisema sijawahi mkwaza na hakuwa na sabbu ya msingi ya kunifanyia hivyo nikaona Riziki tu kumbe Ilikuwa imeisha maisha yaendelee.

Ila nilikuwa nawapenda sana yeye familia yake na hata mtoto wake na nilikuwa nawaona kama ndugu zangu kabisa lakini baada ya hayo sitaki mazoea nae kabisa niishi maisha yangu.

Shida ni kuwa analazimisha tuwe karibu na mm nilishakataa nishamblock mara kadhaa lakini atatafuta namba anipigie mara anitext nikaona nimuunblock tu

Ndugu zake Bado wananitafuta mara hivi mara hivi, naona wananirudisha nyuma Kila wakati. Mnipe mbinu mpya sitaki kusikia habari zao kabisa.
Badili namba ya simu.
 
Back
Top Bottom