Sasa mwanaume akiwa na mwanamke mnataka awaze nini kama sio mbususu🤣🤣🤣Alafu anawivu balaa🤣🤣🤣🤣Yani Kila nikiongea anawaza mbususu yangu tu
Acha uchoyo wee mpee hiyo tamuu. Sii wote wawili mnapata raha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mwanaume akiwa na mwanamke mnataka awaze nini kama sio mbususu🤣🤣🤣Alafu anawivu balaa🤣🤣🤣🤣Yani Kila nikiongea anawaza mbususu yangu tu
Wakati anafanya maamuzi ya kurudiana na ex wake aliconsider hisia zako? Aliconsider heshima yako kwake na nduguze?Nilikuwa kwenye serious relationship miaka 3 hivi na tulipanga tufunge ndoa mwaka huu baada ya kuwa mbali akaamua kurudiana na ex wake na mwisho akakubali kuwa kweli wamerudiana na kizuri zaidi alisema sijawahi mkwaza na hakuwa na sabbu ya msingi ya kunifanyia hivyo nikaona Riziki tu kumbe Ilikuwa imeisha maisha yaendelee.
Ila nilikuwa nawapenda sana yeye familia yake na hata mtoto wake na nilikuwa nawaona kama ndugu zangu kabisa lakini baada ya hayo sitaki mazoea nae kabisa niishi maisha yangu.
Shida ni kuwa analazimisha tuwe karibu na mm nilishakataa nishamblock mara kadhaa lakini atatafuta namba anipigie mara anitext nikaona nimuunblock tu
Ndugu zake Bado wananitafuta mara hivi mara hivi, naona wananirudisha nyuma Kila wakati. Mnipe mbinu mpya sitaki kusikia habari zao kabisa.
Mimi siwez kuswampa aisee Yani kama ndoa yeye ndo alikuwa ananichelewesha na ujinga wangu mwenyew kujifanya navumilia visivovumilika ofcourse siwez muhonga mpenzi kabisa maybe kumsaidia vitu vya kawaida sio et laki 5 laki 6 labda Kwa mumewangu otherwise siwezKumbe mkono wa birika halafu unataka uolewe 😂😂😂 endelea kuswampa tu! Sikuhizi watu wanaangalia na investment zimekaaje sawa tu na nyie mnavyolengaga.
Kabisa sahiz Niko cool moyowangu umetulia sana na nafikiri mapenz in positive way sidhani kama nitakosa kupendwa na kuwa na furahaWakati anafanya maamuzi ya kurudiana na ex wake aliconsider hisia zako? Aliconsider heshima yako kwake na nduguze?
Maamuzi uliyochukua ndiyo heshima yako. Usiutupe moyo wako kwa mtu anayekuona ni mkweche. Sana sana atakufanya ujute zaidi
Mambo mpenzi....ulipata ile hela
Safi kabisa.Kabisa sahiz Niko cool moyowangu umetulia sana na nafikiri mapenz in positive way sidhani kama nitakosa kupendwa na kuwa na furaha
Na mwingine ni Mimi Ila Mimi nataka awe seriousAunt ww ni mrembo na unajua kujistiri utapata mwingine
Dada yangu hapa ndio ulipokosea. Yaaani miaka miwili upo mbali na mtu alafu bado unamuwekea matumaini? Angekuwa ni mumeo wa ndoa kisha mna miaka walau 10 ya ndoa hapo sawa ila kwa vijana wa kwenye uchumba ni ngumu sana.Mwaka mmoja tu tulikuwa karibu miwil tumeishi mbali sema tu unawivu🤣🤣🤣🤣
HakikaAunt ww ni mrembo na unajua kujistiri utapata mwingine
Inawezekana mbona lkn Imani ndo inatakiwa kunachangamoto nyingi kwenye maishaDada yangu hapa ndio ulipokosea. Yaaani miaka miwili upo mbali na mtu alafu bado unamuwekea matumaini? Angekuwa ni mumeo wa ndoa kisha mna miaka walau 10 ya ndoa hapo sawa ila kwa vijana wa kwenye uchumba ni ngumu sana.
Nimefurahi sana kujua kuwa unatambua maisha yana changamoto nyingi. Hiyo ni hatua nzuri sana kwako katika kuipata future iliyo njema zaidi. Ninakutakia kila la kheri huko mbeleni.Inawezekana mbona lkn Imani ndo inatakiwa kunachangamoto nyingi kwenye maisha
Alikuwa bado na yale mapenzi ya kifilipino...hakujua kuwa mwanaume anahitaji doze ya mbususu mara nne kwa wiki🤣🤣🤣🤣Dada yangu hapa ndio ulipokosea. Yaaani miaka miwili upo mbali na mtu alafu bado unamuwekea matumaini? Angekuwa ni mumeo wa ndoa kisha mna miaka walau 10 ya ndoa hapo sawa ila kwa vijana wa kwenye uchumba ni ngumu sana.