Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Unaendeleaje Auntie?
Njia nzuri ni kutokujibu chochote.


Mtu aliyehiari kukuacha usipoteze hata sekunde yako moja kujibu chochote kile.

Na nyie mbwa mnaowaacha wenzenu halafu mnajidai kupiga piga simu na kutuma vimeseji vya salamu aloo mkome.
 
Kafuata hela.. Huyo angekusumbua tu hata mngeoana

Mwanaume anakosa vipi msimamo kiasi hicho.[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Pole sana sophy kwa bahati mbaya wanaume wenzangu karibu wote wamekua siyo waaminifu wanapenda sana kuchezea watoto wa watu binafsi huwa nawashauri vijana wenzangu waache hizo tabia lakin mwisho wa siku wao ndo wanataka waanze kunifundisha mimi uhuni, lakini nashukuru mtaa mzima Mimi ndo kijana niliebaki na tabia nzuri alafu muaminifu peke yangu siku nikipata mwanamke kama ww sitakuchezea lakini Hadi na wewe uniahidi kwanza kama unanipenda kweli au unataka kunitumia tu uniache
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nikopoa aunt aisee alikuwa anitext anadai namchukia sana sabbu ya alichokifanya nikamwambia tu kistaarabu nahitaji kuwa na mahusiano mengine sihitaji jam za simu na text kutoka upende wake apambanie penz lake upande wa pili ikaisha hivo am happy now
Pole Auntie,
Mungu atakupa mtu mzuri hadi wewe mwenyewe utashangaa.
 
Ooooooooooh😌
 
Mwaka mmoja tu tulikuwa karibu miwil tumeishi mbali sema tu unawivu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmh!
Turudi darasani,
Kama alikuwa anajilia kila siku bao tatu
3 baos Γ— 1yr~360 days
=1080 baos per year
Mmh, hii technic ni nzuri aiseee
Kama ni kukichachua, kakichachua aisee! Ukiona anakung'ang'ania ujue unakasukari fulani hivi [emoji39][emoji39]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Dah
 
Shangazii hii ilinipita wapiiii?? Aseeeh njoo tumroge huyo ex ankolii, hakuna kuremba hapa.
 
Badili namba ya simu.
 
Shangazii hii ilinipita wapiiii?? Aseeeh njoo tumroge huyo ex ankolii, hakuna kuremba hapa.
Aunt πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kalipwa hapahapa amekuwa Lia Lia tu sikuhiz Hana maajabu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…