Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Carnivora

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,650
Reaction score
6,015
Habari wana jamvi.

Kijana wenu nikiwa na umri wangu wa miaka 33 kamili, nimedhamiria kwa hiyari yangu mwenyewe, bila kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote; kuacha kula kabisa vyakula vyenge wanga. Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni kama mahindi, mpunga, mihogo, viazi, magimbi, ngano, mtama n.k

Inaaminika kisayansi vyakula hivi vikitumika kwa wingi vinasababisha sana kitambi na unene, kisukari na magonjwa ya moyo.

Juzi Jumatatu, 21.03.22 nikaanza movement yangu bila kuwa na mpango maalum. Asubuhi sikujua ntakula nini...mpaka imefika saa 5 sijala kitu. Sehemu za kula zote zina vitafunwa tulivyovizoea maandazi, chapati, vitumbua, mikate, viazi, mihogo and the likes. Ikafika saa 7 njaa inauma vibaya sana mpaka nikahisi kutetemeka mwili.

Nikajisemea cha kufia nini? Nikala zangu dona safi, nyama, maharage na spinach. Baadae nikawa nakunywa tu maji.

Sasa najiona kabisa sina plan na sielewi hii game inachezwaje. Najua humu kuna wazoefu wa haya mambo. Naomba mnisaidie wenzangu msiokula wanga ama heavy meals mnafanyaje?

Mnakula nini hasa? Na mliishindaje njaa hizi siku za mwanzo mpaka tumbo lizoee? Maana ile juzi nilihisi mpaka kizungu zungu.
Mimi napenda sana nyama iwe ya kuku, ng'ombe, mbuzi, kuku n.k. Ndio udhaifu wangu mkubwa.

Nipeni ushauri wadau. Hili ndio lengo la uzi.
Asanteni.
NB: sina ugonjwa wowote unaonizuia kula chochote.
 
Habari wana jamvi.

Kijana wenu nikiwa na umri wangu wa miaka 33 kamili, nimedhamiria kwa hiyari yangu mwenyewe, bila kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote; kuacha kula kabisa vyakula vyenge wanga. Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni kama mahindi, mpunga, mihogo, viazi, magimbi, ngano, mtama n.k
Inaaminika kisayansi vyakula hivi vikitumika kwa wingi vinasababisha sana kitambi na unene, kisukari na magonjwa ya moyo.

Juzi Jumatatu, 21.03.22 nikaanza movement yangu bila kuwa na mpango maalum. Asubuhi sikujua ntakula nini...mpaka imefika saa 5 sijala kitu. Sehemu za kula zote zina vitafunwa tulivyovizoea maandazi, chapati, vitumbua, mikate, viazi, mihogo and the likes. Ikafika saa 7 njaa inauma vibaya sana mpaka nikahisi kutetemeka mwili. Nikajisemea cha kufia nini? Nikala zangu dona safi, nyama, maharage na spinach. Baadae nikawa nakunywa tu maji.


Sasa najiona kabisa sina plan na sielewi hii game inachezwaje. Najua humu kuna wazoefu wa haya mambo. Naomba mnisaidie wenzangu msiokula wanga ama heavy meals mnafanyaje? Mnakula nini hasa? Na mliishindaje njaa hizi siku za mwanzo mpaka tumbo lizoee? Maana ile juzi nilihisi mpaka kizungu zungu.
Mimi napenda sana nyama iwe ya kuku, ng'ombe, mbuzi, kuku n.k. Ndio udhaifu wangu mkubwa.

Nipeni ushauri wadau. Hili ndio lengo la uzi.
Asanteni.
This is a very good thing. Ni a sort of keto diet. Kweli inasaidia sana kupunguza mwili plus kucontrol blood glucose ambayo inaletanga makisukari. Sio ngumu na sio rahisi pia. Mwili wa binadamu hua una adjust with time. Hapo chakula chako kikuu inabd iwe protein, fats na veggies. So hapo n mwendo wa nyama zote pkus samaki, maziwa, mboga mboga, matunda especially avocado na tango (yale yenye sukari ni kujidanganya.). Ukifanikiwa in one year the results unaeza jikuta unaandika kitabu, na hizi mbususu utapiga sana maana watakua wanakuona kijana tu.
But also kama unaona ni ngumu kuachana na wanga unaeza fanya kitu kinaitwa intermittent fasting, hyo inasaidia zaidi na haina restriction kiviile. With time mwili unazoea
 
This is a very good thing. Ni a sort of keto diet. Kweli inasaidia sana kupunguza mwili plus kucontrol blood glucose ambayo inaletanga makisukari. Sio ngumu na sio rahisi pia. Mwili wa binadamu hua una adjust with time. Hapo chakula chako kikuu inabd iwe protein, fats na veggies. So hapo n mwendo wa nyama zote pkus samaki, maziwa, mboga mboga, matunda especially avocado na tango (yale yenye sukari ni kujidanganya.). Ukifanikiwa in one year the results unaeza jikuta unaandika kitabu, na hizi mbususu utapiga sana maana watakua wanakuona kijana tu.
But also kama unaona ni ngumu kuachana na wanga unaeza fanya kitu kinaitwa intermittent fasting, hyo inasaidia zaidi na haina restriction kiviile. With time mwili unazoea
Asante sana mdau kwa mchango wako mzuri. Kwa faida ya wengi zaidi naomba ufafanue hii intermittent fasting inakuwaje?
 
Jiandae Financialy uwe sawa sawa pia, Watumiaji wanga wengi pia Sababu kuu ni "saving" akitandika chapati na supu hapo mnakutana jioni kwenye ubwabwa. AU kama n familia Marage robo mahindi nusu,Makande haya hapa siku nzima na kesho yake chai yapo...

Ku replace wanga yakubidi kamfuko kakae vizuri maana kula mpk ushibie protini usipojipanga utalalamika mara 5 kuwa maisha n magumu,wakat ugali wa buku upo tena na mboga kama zoteeee.
 
Jiandae Financialy uwe sawa sawa pia, Watumiaji wanga pia Sababu kuu ni "saving" akitandika chapati na supu hapo mnakutana jioni kwenye ubwabwa.

Ku replace wanga yakubidi kamfuko kakae vizuri maana kula mpk ushibie protini usipojipanga utalalamika mara 5 kuwa maisha n magumu,wakat ugali wa buku upo tena na mboga kama zoteeee.
Usemalo ni sahihi. Mara nyingi nakula samaki au nyama jioni na matunda. Bei ya samaki mjini hapa ni balaa. Mlo kama huo mdogo tu usioshibisha sometimes inazidi hadi elfu 5. Wakati kuna wali wa buku jero.
Japo mara nyingi mimi hula nyumbani. Lakini kwa sasa wife si mtu wa kukaa sana home. So ntakuwa naamua mwenyewe nikale wapi.
 
Habari wana jamvi.

Kijana wenu nikiwa na umri wangu wa miaka 33 kamili, nimedhamiria kwa hiyari yangu mwenyewe, bila kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote; kuacha kula kabisa vyakula vyenge wanga. Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni kama mahindi, mpunga, mihogo, viazi, magimbi, ngano, mtama n.k
Inaaminika kisayansi vyakula hivi vikitumika kwa wingi vinasababisha sana kitambi na unene, kisukari na magonjwa ya moyo.

Juzi Jumatatu, 21.03.22 nikaanza movement yangu bila kuwa na mpango maalum. Asubuhi sikujua ntakula nini...mpaka imefika saa 5 sijala kitu. Sehemu za kula zote zina vitafunwa tulivyovizoea maandazi, chapati, vitumbua, mikate, viazi, mihogo and the likes. Ikafika saa 7 njaa inauma vibaya sana mpaka nikahisi kutetemeka mwili. Nikajisemea cha kufia nini? Nikala zangu dona safi, nyama, maharage na spinach. Baadae nikawa nakunywa tu maji.


Sasa najiona kabisa sina plan na sielewi hii game inachezwaje. Najua humu kuna wazoefu wa haya mambo. Naomba mnisaidie wenzangu msiokula wanga ama heavy meals mnafanyaje? Mnakula nini hasa? Na mliishindaje njaa hizi siku za mwanzo mpaka tumbo lizoee? Maana ile juzi nilihisi mpaka kizungu zungu.
Mimi napenda sana nyama iwe ya kuku, ng'ombe, mbuzi, kuku n.k. Ndio udhaifu wangu mkubwa.

Nipeni ushauri wadau. Hili ndio lengo la uzi.
Asanteni.
We furahia maisha death is a necessary end
 
United States wanaongoza kulima mahindi karibu acres 90+M wanalima tu mahindi lakin ugali unaongoza kuliwa sana huko usukumani hamna hata maeneo ya kulima hayo mahindi ndo ujue kuwa ugali siyo kitu kizuri
 
Maisha yetu ya kitanzania wanga ndio main dish kuanzia asubuhi mpaka jioni. Ukiacha wanga labda uwe unajipikia mwenyewe maana ni ngumu sana kupata chakula kisicho na wanga mtaani.
 
Asante mkuu. Vipi kuhusu mboga mboga?
Mboga mboga ndio yenyewe ila Anza kwa kupunguza sio kuacha kabisa ila inakwamishwa sana na kipato mfano asubuhi upate supu tu mboga mboga na maji basi nadhani unaruhusiwa kuweka ndizi Moja
Matunda yawe parachichi zaidi na sio Yale ya sukari
Kula kiasi pata mda wa kutembea angalau dk 45 kwa siku
 
Back
Top Bottom