Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Je kwa sie tunapenda miili mikubwa iliyojengeka kwa kwenda gym mnatuzungumziaje
Tunakula protein kwa wingi
 
Kwa afya njema zaidi pia vyakula usivipike na mafuta ya mbegu.
Tumia ya Nazi, olive nk (sio mtaalamu wa maswala ya lishe haya ni maarifa tu huwa nayapata kwa doctor mmoja wa sayansi ya mapishi)
 
Kwa afya njema zaidi pia vyakula usivipike na mafuta ya mbegu.
Tumia ya Nazi, olive nk (sio mtaalamu wa maswala ya lishe haya ni maarifa tu huwa nayapata kwa doctor mmoja wa sayansi ya mapishi)
Mafuta ya mbegu ni kama yepi?
 
Mafuta ya mbegu =alizeti
Ya pamba nk yaaaani haya yanayouzwa madukani tunayotumia nyumbani ndiyo mafuta ya mbegu
 
Kwa afya njema zaidi pia vyakula usivipike na mafuta ya mbegu.
Tumia ya Nazi, olive nk (sio mtaalamu wa maswala ya lishe haya ni maarifa tu huwa nayapata kwa doctor mmoja wa sayansi ya mapishi)
Mbona mnatuchanganya ???

Watalamu wanasema ni Bora kutumia mafuta ya mimea (Alizeti,Pamba,Mzeituni,Mawese,Nazi) kuliko kutumia mafuta ya wanyama (Kondoo,Nguruwe) Kwa sababu Yana tendency ya kuganda kwenye mishipa ya damu na kuleta shidaa.Wewe nae unaleta ya mafuta ya mbegu wakati mbegu hizo ndo mimea yenyewee. Inakuaje kuaje??

Ulimuuliza sababu ya kutokutumia mafuta hayo? Au alisema TU bila kutoa side effect yoyote
 
Mbona mnatuchanganya ???

Watalamu wanasema ni Bora kutumia mafuta ya mimea (Alizeti,Pamba,Mzeituni,Mawese,Nazi) kuliko kutumia mafuta ya wanyama (Kondoo,Nguruwe) Kwa sababu Yana tendency ya kuganda kwenye mishipa ya damu na kuleta shidaa.Wewe nae unaleta ya mafuta ya mbegu wakati mbegu hizo ndo mimea yenyewee. Inakuaje kuaje??

Ulimuuliza sababu ya kutokutumia mafuta hayo? Au alisema TU bila kutoa side effect yoyote
Miluzi mingi humpoteza mbwa akili kichwan mwako
 
Mimi hapa nilikua na uzani wa 126kg na kitambi chote nje nje, ila leo hii mara yangu ya mwisho kupima nilikua na 82kgs, maana kwamba nimepunguza sana, yote hii kwa jitihada za kama miaka mitatu.
Kwanza kabisa aliyekuambia uepuke wanga alikupotosha, ni muhimu sana mwili ukapata carbs, kimsingi ni ujue aina gani za carbs ambazo zinaweza kusaidia, kwa mfano epuka mikate mikate maana yenyewe ni simple carbs, inakua digested upesi na kusababisha njaa mapema.
Kula complex carbs kama magimbi, yanakushibisha na kukupea nguvu wala hutamani chakula haraka.
Kula mboga mboga kwa wingi na pia matango na maji mengi.
Ukiepuka wanga kabisa mwili utakua mnyonge mnyonge na mzembe hadi hata kufanya kazi ndogo unapata shida, hata mazoezi yatakushinda.
Kingine, usitegemee matokeo ya haraka, itachukua muda kabla uone au kuhisi chochote, ila komalia humo humo.
 
Kwa miaka mingi sana jamii iliamini vidonda vya tumbo husababishwa na tumbo kukaa muda mrefu bila chakula.

Ukweli ni kwamba, vidonda husababishwa na bacteria waitwao Helicobacter Pylori au kwa kifupi H-pylori. Wadudu hawa huondoa ile layer ikaayo juu ya kuta za tumbo/utumbo. Hivyo basi sehemu hiyo huwa inakuwa imelika mfano wa sehemu ya barabara yenye pothole (kishimo).
Na kwa kuwa tumbo huachia acids ili kumeng'enya chakula, acids hizi zikigusa sehemu ile yenye kidonda ndipo mtu huhisi maumivu makali.
Njaa ina accelerate kuuma vidonda kwa sababu acids zikiachiwa na tumbo liko empty ina maana direct vitagusa sehem zenye vidonda.
H-pylori wanatibika.
 
Bro, mbona evenings nakula fruits na nyama tu nalala na naamka fresh.

Una Kilo ngapi Kwanza?
Acha Hizo,Mi nina zaidi ya miaka 40,Ninakula Vyote wali,Kuku,Samaki,Ugali,Dagaa,
Nilikuwa Nina Kilo 74kg Mwaka jana,Leo Nina 66kg!
Fanya Mazoezi tuu Kaka,
Mi nafanya Kukumbia tuu na Kunywa Maji Mengi!
Cha Msingi Punguza Kidogo wanga Ila Usiache Mkuu Mimi Siachi Ng’oo nakuka wanga Kama Kawa na Nimepungua 8kg for One year.
Kimbia 5km daily, 3/4Pwr week.
 
Mbona mnatuchanganya ???

Watalamu wanasema ni Bora kutumia mafuta ya mimea (Alizeti,Pamba,Mzeituni,Mawese,Nazi) kuliko kutumia mafuta ya wanyama (Kondoo,Nguruwe) Kwa sababu Yana tendency ya kuganda kwenye mishipa ya damu na kuleta shidaa.Wewe nae unaleta ya mafuta ya mbegu wakati mbegu hizo ndo mimea yenyewee. Inakuaje kuaje??

Ulimuuliza sababu ya kutokutumia mafuta hayo? Au alisema TU bila kutoa side effect yoyote
Mafuta hayawe kuganda ndani ya mishipa ya damu hiyo elimu ni kama ile ya wazee **** mama akila mayai mtoto atakuwa na kipara
 
Hii elimu na ikamfae anaetaka kupungua na kubalance mwili
Vyakula ambavyo ni salama na vizuri kwa anaetaka kupunguza uzito ulozidi.
Matunda yote yasiyo na sukari

Matango
Parachichi

Mboga zote za majani
Nyama aina zote
Maziwa mtind na na fresh
Mayai
Samaki
Dagaa
Jamii zote za maharage
Uyoga
Maji kulingana na mahitaji ya mwili

Swala hapo ni namna ya kupangilia na kupata lishe yako ya kushiba.
Ni swala.jepesi ukiwa na ratba ya milo kwa juma zima hii itakusaidia kufanikisha.
 
Huo
Una Kilo ngapi Kwanza?
Acha Hizo,Mi nina zaidi ya miaka 40,Ninakula Vyote wali,Kuku,Samaki,Ugali,Dagaa,
Nilikuwa Nina Kilo 74kg Mwaka jana,Leo Nina 66kg!
Fanya Mazoezi tuu Kaka,
Mi nafanya Kukumbia tuu na Kunywa Maji Mengi!
Cha Msingi Punguza Kidogo wanga Ila Usiache Mkuu Mimi Siachi Ng’oo nakuka wanga Kama Kawa na Nimepungua 8kg for One year.
Kimbia 5km daily, 3/4Pwr week.
Huo muda wa kukimbia sina. Nisiwe muongo
 
Back
Top Bottom