Man Rody
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,263
- 2,987
๐๐๐mkuu unasaliti chama mbona
Mkuu tunasubiri na ushuhuda wako wa kuumizwa, kataa ndoa sio bure bure ujue bwana chairman ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐mkuu unasaliti chama mbona
ushuhuda unafanana karibia kwa wote, ni vile tu sikuwahi peleka mahari wala kufanya sherehe ( or else angezitapika )ushuhuda
Nyeto hawawezi, inahitaji devotion kubwa sanapunyeto
Kwanini ulikuwa haupigi punyeto? Unaharibu pesa kizembe majuto ni mjukuu wasomi uchwara kama nyie ni hatari SanaMe maskini tu, I was spend 300000 kwa Kila boom langu
Maskini asiye na akili,Me maskini tu, I was spend 300000 kwa Kila boom langu
ThanksMaskini asiye na akili,
Take it as a lesson to spend your money wisely next time
Ushatia timu ๐Famasihala na mapenzi
Sasa jeUshatia timu ๐
Alikupiga pigo takatifu chairman mpaka wanawake unawaona sio, sipati picha alifanya nn lakn nahis mtu kuliwa inahusika.. yote kwa yote kuna siku utanasa tu na utastaafu cheo chako mkuu ๐, hayana formulaushuhuda unafanana karibia kwa wote, ni vile tu sikuwahi peleka mahari wala kufanya sherehe ( or else angezitapika )
nashukuru Mungu kwa hilo, pesa ya mahari nikadaka ka-plot huku Pwani fasta, nikashusha ka-jengo
Mlikuwa kwenye mahusianao na yet hukula tunda??Siwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.
Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.
Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Kwa jina la YESU!Hiyo roho ya kichawi inayokuandama ishindwee na ilegee.