Ushauri: Nataka kufanya lolote kuzuia asiolewe, bado nampenda sana

Ushauri: Nataka kufanya lolote kuzuia asiolewe, bado nampenda sana

Kuna wimbo Fid Q anaimba,

“Yaliyopita si ndwele tugange yajayo, mambo yakienda kombo yaache usiende nayo, maidha barabarani tazama kila upande inapowaka taa ya kijani”

Braza umeenda shule ila hujapata elimu ya kutosha ya self control na mtazamo wa maisha, unalofikiria halitakusaidia ku solve bali ni muda.

Inashangaza…….,

Umeshindwa vipi kuruhus moyo wako kuishi maisha mapya muda wote huo!?

Uko unaishi mazingira yaleyale!? Dont you meet new people? Never been to new places?

How comes you dwell to that past ya human being ambaye umekutana nae ukubwani..!?
 
Namba za waganga zimebandikwa kando kado ya marabara inchi nzima zipo mpaka kwenye miti.

Nb. Hakuna mwizi nooja duniani kama mganga. All the best.
 
Siwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!

Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.

Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.

Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.

Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Sawaa haina shida, unajua kabadir maisha yangu kwa kias kip, nafasi ngap kwa ajiri Yale niliacha whatever the case
Fanya tu maana Hawa viumbe hawastahili huruma. Au maliza kabisa
 
SEX BEFORE MARRIAGE IS SIN.
Soma kutokea mwisho.
Ogopa kauli naKupenda za ghafla ghafla.
 
Siwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!

Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.

Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.

Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.

Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Love at first site inatesa sana.. Anua tanga usitafute kulipa kisasi, kama alikukosea kweli kisasi ni karma kitamtafuta popote atakapokuwa
 
Majibu ya wanawake yananiacha hoi. Mlikula hela za watu nini?😬🤣🤣
No mkuu.. muache aende.
Utapata mwingine atakae tulia kwako.

Hiyo roho ya kichawi inayokuandama ishindwee na ilegee.

Kumuharibia hakuta kupa ahueni yoyote zaidi zaidi kutakuongezea majuto baadae, muache aende utampata mwingine

Kumuacha umpendae aende kwa ampendae nao ni upendo

Huna mambo mengine ya kufanya!? Ulizaliwa nae? Ukimuharibia ndio utampata!?

Wewe ni binaadam wa aina gani? Mtu kakutema toka 2015 bado hujatafuta maisha mengine?

Huwezi kuzuwia rizki, kama kapangiwa kuolewa ataolewa tu, utamaliza uchawi.

Nnaamini huyo binti alikustukia mapema sana kuwa hufai kuwa mume ndiyo maana akakupiga chini. Nampa heko.

Ni wazi kabisa kwa mwanamme mwenye mawazo hayo yako, haufai kuwa mume wa yeyote.
 
Majibu ya wanawake yananiacha hoi. Mlikula hela za watu nini?😬🤣🤣
😂😂
Hakuna mwanamke hajawahi kula hela ya mtu mkuu haswa humu ndani coz wengi ni wakurungwa wamekwepa mishale kibaoo, hiyo ni pi 22/7
 
😂😂
Hakuna mwanamke hajawahi kula hela ya mtu mkuu haswa humu ndani coz wengi ni wakurungwa wamekwepa mishale kibaoo, hiyo ni pi 22/7
Ndio maana wanamajibu ya kufurahisha kwa sababu kila mmoja wao anahisi hasira za huyu jamaa mleta mada
 
Siwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!

Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.

Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.

Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.

Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Unakoelekea utapoteza vitu vingine vingi sana. Achana nae, mbona vidosho vizuri ni vingi sana?

Utakuwa unatokea kanda ya Ziwa au Kazikazini au Mbeya. Ndio Hupenda hivi.
 
Kuna video niliona jamaa ka propose mdada kakataa jamaa akamvua viatu na wigi akaondokoa navyo 😂

Acheni kutumia watu this is for both sexes, vitu na miili ya watu iacheni.

If you're not ready for marriage any time soon just stay single!!!!!

la sivyo unajitafutia hasara na maumivu
Upwilu
 
Muache bana sense,huyo kwanza ushukuru amekutahiri kwenye kisu Cha Moto Sasa umekuwa mwanaume.
Yaani moyo wako umekuwa immunized so now hutomtegemea ama kumuamini mwanadamu Bali Muumbaji wako.


Muache aende zake huyo akakubatiza katika ziwa la moto shukuru. Saivi ukija kuoa hata ukifumania mkeo utakuwa sugu mno moyo wako. Yaani komaa Sasa huyo ndio akakomaza.
Mwenyewe nililia mno Tena road mkuu mtaani sioni aibu saivi Niko ngangari hata upige na silaha gani moyo wangu upo very strong.


Iyo aliyokufanyia Ni sawa na traders qanapoteza hela baadaye hofu ya kupoteza hela inapotea yaani haogopi kupoteza hela so hapo ndipo anapoanza ku trade bila ya hofu na kumeki mane.

Mie nakuomba mno Kama bro wako niliyetoka chuo kabla yako kwa miaka mingi mno naomba umuache sema umepata funzo ama somo la kutosha.

Uelewe maisha yapo kinyume na shule.

Shuleni unapewa somo baadaye mtihani huku kwenye maisha unapata mtihani baadaye somo.

Unapewa cheti Cha ndoa ndio unaingia kwenye ndoa huingii chuo ukapewa cheti Cha GPA 5 halafu ndio unaanza kusoma.

Nakumbuka uzoefu Ni kuwa umeshawahi fanya makosa mengi na makubwa kuliko ambaye hajawahi yafanya. Shukuru huyo akakuleta ukubwani yaani shukuru umepata somo na hela alizokula Ni Ada ulilipia ili kupata somo.

Trading haupotezi hela Bali unalipa Ada zile hela unazopoteza.

You've to have the balls if the steel and ice in your veins to survive in this school called life.


Sasa na bado hujajenga nyumba kwenye kiwanja ulichotapeliwa na dalali tapeli. Nyumba imeisha unahamia unafuatwa kuwa kiwanja sio chako.

Hujawahi nunua hisa kampuni za mamilioni mamia huku kampuni hewa ama baadaye ikashuka thamani mpaka zero mkuu
 
Back
Top Bottom