Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Kuna wimbo Fid Q anaimba,
“Yaliyopita si ndwele tugange yajayo, mambo yakienda kombo yaache usiende nayo, maidha barabarani tazama kila upande inapowaka taa ya kijani”
Braza umeenda shule ila hujapata elimu ya kutosha ya self control na mtazamo wa maisha, unalofikiria halitakusaidia ku solve bali ni muda.
Inashangaza…….,
Umeshindwa vipi kuruhus moyo wako kuishi maisha mapya muda wote huo!?
Uko unaishi mazingira yaleyale!? Dont you meet new people? Never been to new places?
How comes you dwell to that past ya human being ambaye umekutana nae ukubwani..!?
“Yaliyopita si ndwele tugange yajayo, mambo yakienda kombo yaache usiende nayo, maidha barabarani tazama kila upande inapowaka taa ya kijani”
Braza umeenda shule ila hujapata elimu ya kutosha ya self control na mtazamo wa maisha, unalofikiria halitakusaidia ku solve bali ni muda.
Inashangaza…….,
Umeshindwa vipi kuruhus moyo wako kuishi maisha mapya muda wote huo!?
Uko unaishi mazingira yaleyale!? Dont you meet new people? Never been to new places?
How comes you dwell to that past ya human being ambaye umekutana nae ukubwani..!?