saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Sabuni ya kipande zimejaa kibao madukani,[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabuni ya kipande zimejaa kibao madukani,[emoji28]
Nakushauri mwache tu aende zake maana akija kugundua wewe ndo umesababisha asiolewe anaweza akakuchukia maisha yake yote na utakua umetengeneza visasi visivyoishaSiwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.
Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.
Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Ndo ujue kama hakutakiii, kwahiyo ukimuharibia ndo atakupenda???Naumia sana sana, hata napo jaribu kuongea nae ananijib kwa dharau, nime shatuma ndugu zangu kuongea japo kwa sm lakn ba
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe si ndo ulikuwa unaomba ushauri jana "unasema ni siku ya 12 umeacha punyeto lakini mapaja yanakuwasha" siyo wewe? [emoji16][emoji16]
Famchezo nini na mapenzi 😅mkataa ndoa kakamatika
Face the reality,Amekuacha kubali,Siwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.
Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.
Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Acha uboya dogo, kwani mama Yako huyo mpaka umng'ang'anie hivyo? Yaani toka 2015 haujawa na mahusiano Kwa sababu "unampenda" asiyekupenda? Khaaaa.....Dada nimeshidwa aisee, naomba Mungu anisamehe, nilimpenda sana mm si mtu wa wanawake hapana, just imagine Toka 2015 sija ingia kwenye mahusiano na mtu mwingine, ndani ya muda mfupi aliniaminisha lakn alipo chang's roho inauma sana
Mimi akili yangu ishakuwa programmed, ukinijia ndivyo sivyo huo upwiru unakata naturally yani KHA kama circuit breaker halafu naanza kukuona kama demu mwenye ndevu. So upwiru kwangu sio issue kabisaUpwilu
😀😀😀😀😀Mimi akili yangu ishakuwa programmed, ukinijia ndivyo sivyo huo upwiru unakata naturally yani KHA kama circuit breaker halafu naanza kukuona kama demu mwenye ndevu. So upwiru kwangu sio issue kabisa
Ticha umefeli sana na wewe. Miezi sita yote hujala mzigo? Ulikuwa unachonga mzinga, sasa kuna jamaa ndio anaenda kula asaliSiwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.
Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.
Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Huwezi kumlaumu kwa hili, kuna watu walifundishwa maadili yakashikika nakumfanya ayaharibu nimpaka umloge au uumpe pombe. Haki nakwambia kunamtu anashika maadili mpaka unasema huyu sibinadamu mwenzetu ila tatizo wanaume tunafikiri kuwa wote haja za ngono hatuwezi kuzicontrol. Hilo nakupinga mara 100! Kuna mtu anaamini kuhusu ndoa takatifu na mke mmoja tu pasipokuchezeana miili ila najua kwahakika hutaamini ili, ila wanaume tunatofautiana sana usikariri.Wee boya kweli, yaani wenzio chuo tulienda na mentaly ya kugegeda demu atleast mmoja from every faculty, wee ukenda na ujinga wa kuoenda demu mmoja na unatumia hela bila kula mbususu. Ujinga wako mwenyewe huo
Sasa kuna lipi hapo la ajabu nishindwe kuamini?Huwezi kumlaumu kwa hili, kuna watu walifundishwa maadili yakashikika nakumfanya ayaharibu nimpaka umloge au uumpe pombe. Haki nakwambia kunamtu anashika maadili mpaka unasema huyu sibinadamu mwenzetu ila tatizo wanaume tunafikiri kuwa wote haja za ngono hatuwezi kuzicontrol. Hilo nakupinga mara 100! Kuna mtu anaamini kuhusu ndoa takatifu na mke mmoja tu pasipokuchezeana miili ila najua kwahakika hutaamini ili, ila wanaume tunatofautiana sana usikariri.
[emoji23][emoji23] maamuzi umeweza kuyafanya sasaivi baada ya kujua mbivu na mbichi ila sio chuoni maana huko akili za vijana wengi zilikuwa zinataka kuexplore kila aina ya starehe. Ndio maana ukamuita jamaa boya, wote tumepita chuo yanajulikana.Sasa kuna lipi hapo la ajabu nishindwe kuamini?
Mie mwenyewe naweza kwenda miaka miwili bila kugegeda wala kupiga puchu ...so ninuamuzi tuu wa mtu.
Ah wee sasa yeye tatizo alipenda kabisa wakati chuo nyege nyingi unataka kusaka mbususu tofauti ugegede kuondoa stress[emoji23][emoji23] maamuzi umeweza kuyafanya sasaivi baada ya kujua mbivu na mbichi ila sio chuoni maana huko akili za vijana wengi zilikuwa zinataka kuexplore kila aina ya starehe. Ndio maana ukamuita jamaa boya, wote tumepita chuo yanajulikana.
😂😂😂Wewe si ndo ulikuwa unaomba ushauri jana "unasema ni siku ya 12 umeacha punyeto lakini mapaja yanakuwasha" siyo wewe? [emoji16][emoji16]
Hapa ndio alikuoa POYOYO, una miaka mingapi unakubali hili sharti 😡😡😡😡Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali.
Haitakusaidia chochote, let her go. Angekua anakupenda asingeolewa na mwingineSiwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.
Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.
Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.