Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Umeniacha kidogo hapa "mwalimu"Me maskini tu, I was spend 300000 kwa Kila boom langu
Siwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.
Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.
Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Fanya tu maana Hawa viumbe hawastahili huruma. Au maliza kabisaSawaa haina shida, unajua kabadir maisha yangu kwa kias kip, nafasi ngap kwa ajiri Yale niliacha whatever the case
Love at first site inatesa sana.. Anua tanga usitafute kulipa kisasi, kama alikukosea kweli kisasi ni karma kitamtafuta popote atakapokuwaSiwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.
Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.
Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
Shoga unapakuliwa"KATAA NDOA KWA AFYA YA MWILI NA AKILI "
No mkuu.. muache aende.
Utapata mwingine atakae tulia kwako.
Hiyo roho ya kichawi inayokuandama ishindwee na ilegee.
Kumuharibia hakuta kupa ahueni yoyote zaidi zaidi kutakuongezea majuto baadae, muache aende utampata mwingine
Kumuacha umpendae aende kwa ampendae nao ni upendo
Huna mambo mengine ya kufanya!? Ulizaliwa nae? Ukimuharibia ndio utampata!?
Wewe ni binaadam wa aina gani? Mtu kakutema toka 2015 bado hujatafuta maisha mengine?
Huwezi kuzuwia rizki, kama kapangiwa kuolewa ataolewa tu, utamaliza uchawi.
Nnaamini huyo binti alikustukia mapema sana kuwa hufai kuwa mume ndiyo maana akakupiga chini. Nampa heko.
Ni wazi kabisa kwa mwanamme mwenye mawazo hayo yako, haufai kuwa mume wa yeyote.
😂😂Majibu ya wanawake yananiacha hoi. Mlikula hela za watu nini?😬🤣🤣
Ndio maana wanamajibu ya kufurahisha kwa sababu kila mmoja wao anahisi hasira za huyu jamaa mleta mada😂😂
Hakuna mwanamke hajawahi kula hela ya mtu mkuu haswa humu ndani coz wengi ni wakurungwa wamekwepa mishale kibaoo, hiyo ni pi 22/7
Unakoelekea utapoteza vitu vingine vingi sana. Achana nae, mbona vidosho vizuri ni vingi sana?Siwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of course nilikuwa good guy kwake, na tulipanga vingi sana lakini ndani ya miezi sita akaniacha bila ya mimi kuwa na kosa.
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana, sana, maana bado nampenda.
Sasa nataka nifanye kila juhudi na njia nimuharibie kwa kila njia kigiza au nuru asiolewe mana kama ataolewa nitaishi kwa maumivu makali sana.
Naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi.
UpwiluKuna video niliona jamaa ka propose mdada kakataa jamaa akamvua viatu na wigi akaondokoa navyo 😂
Acheni kutumia watu this is for both sexes, vitu na miili ya watu iacheni.
If you're not ready for marriage any time soon just stay single!!!!!
la sivyo unajitafutia hasara na maumivu
Ye hakula papuchiMajibu ya wanawake yananiacha hoi. Mlikula hela za watu nini?😬🤣🤣
Unafikiri shida yake ni hakuka papuchi 🤣 na sio kuwa amekufa ameoza😊Ye hakula papuchi
AkomeUnafikiri shida yake ni hakuka papuchi 🤣 na sio kuwa amekufa ameoza😊
Nawaza tu ushakula za wangapi ?