deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 932
- 506
Wakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewahi tokanayo musoma to Dsm non stop na kako powa kabisa mpaka leo hii sasa wewe to km 400 unakuja humu unalialia mwanaume mzima kweli??
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakwenda uzuri kabisa mkuu...Wakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
Gharama ya kwenda na Passo km400 ni ndogo kuliko kupanda Bus?...
Fanya hesabu rahisi tu!.
Hizi ni gari maalum kwa ajili ya misele ya town. Kilometer 400 nauli ya basi haizidi 25,000=Wakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
Unamiliki gari lakini MSHAMBA!..Haumiliki gari thats why
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kaomba ushauri kwa kuwa hajawahi kusafiri na hiyo gari na sio kulialia. Ulivyosema ulisafiri na gari ya aina hiyo MSM- Dar ilitosha kabisa kumuonesha gari ina uwezo.Nimewahi tokanayo musoma to Dsm non stop na kako powa kabisa mpaka leo hii sasa wewe to km 400 unakuja humu unalialia mwanaume mzima kweli??
Sent using Jamii Forums mobile app