USHAURI: Nataka kusafiri na Passo ya Piston 3 ina CC 990, nitaenda umbali wa Km 400

USHAURI: Nataka kusafiri na Passo ya Piston 3 ina CC 990, nitaenda umbali wa Km 400

Ushamba ndani ya Range rover na ujanja peku peku kwa miguu ipi bora [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] Kumiliki Gari sio kosa langu ila wewe kutomiliki gari ni kosa la jinai fanya kazi uje ununue passo Bro! Hakuna gari inayouzwa kwa bei ya kuniita mimi mshamba [emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa baba mwenye gari!!...
 
Ushamba ndani ya Range rover na ujanja peku peku kwa miguu ipi bora [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] Kumiliki Gari sio kosa langu ila wewe kutomiliki gari ni kosa la jinai fanya kazi uje ununue passo Bro! Hakuna gari inayouzwa kwa bei ya kuniita mimi mshamba [emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Humu tunadharauliana sana...lakini hakuna chombo cha moto kinachouzwa laki mbili[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu tunadharauliana sana...lakini hakuna chombo cha moto kinachouzwa laki mbili[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii ni jf bro kila mtu ni tajiri [emoji23][emoji23][emoji23] Kila mtu ana gari, kila mtu ana iphone, kila mtu ana nyumba, kila mtu ana mademu wengi, kila mwanaume anamfikisha demu wake kileleni, kila demu mweupe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii ni jf bro kila mtu ni tajiri [emoji23][emoji23][emoji23] Kila mtu ana gari, kila mtu ana iphone, kila mtu ana nyumba, kila mtu ana mademu wengi, kila mwanaume anamfikisha demu wake kileleni, kila demu mweupe


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeeleweka sawa sawia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni jf bro kila mtu ni tajiri [emoji23][emoji23][emoji23] Kila mtu ana gari, kila mtu ana iphone, kila mtu ana nyumba, kila mtu ana mademu wengi, kila mwanaume anamfikisha demu wake kileleni, kila demu mweupe


Sent from my iPhone using JamiiForums

🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukiwasikiliza watu wa jf unaweza ukajihisi wewe ni masikini wa kutupa [emoji23][emoji23]🤣🤣🤣 yani masikini wa mwisho 🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Paso unasafiri nayo popote ili mradi kuwe na lami.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata barabara za changarawe, ili mradi chini, kwa maana ya shock, stabilizer link, spring iwe iko vizuri, kuna mtu tuliongozana naye kigoma to tabora, na kumbuka almost nusu ya barabara hiyo ni changarawe karibia 220km, akiwa na passo, mwaka juzi, na huwa namuona nayo mpaka leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu huku JF ukiomba ushairi sometimes unaweza kuvujwa moyo..
Gari lolote linapotengenezwa linapitia vigezo vingi sana ili likidhi mahitaji ya standards za kimataifa..
Gari lolote lile unaweza kusafiri nalo bila shida ili mradi liwe zima na ufuate utaratibu.

Tatizo linakuja pale ambapo mtu yupo safari ndefu na passo....brevis inampita mlimani jamaa wa passo anaanza kufukuza...hapo lazima kichemshe.

Gari kama passo kwa udogo wake nakushauri usizidi 110kph kwa safari ya mbali na RPM maximum iwe 3 ila muda mwingi hakikisha RPM ipo chini ya 3 then acha gari ichanganye yenyewe....wenye prado zao waache waende utafika tu.

Ukizingatia hayo kwa passo utasafiri kwenda mbali tu na kurudi salama.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ushauri mwingine mm huwa siulewi kabsa, hivi paso si ina speed 180 sawa na brevis na rpm sawa? Waliotengeneza waliwekea nini speed 180 kama ww unamshauri asizidi 110? Acheni mambo yenu yy aendeshe speed anayotaka sio kusema sijui 110 wakati gari ina sifa sawa na gari ingine tu
 
Hamna u cheap wowote hapo

kutembea na gari private ni gharama kuliko kupanda gari za kulipia..hata kama ni passo

eg singida arusha 330km passo tuassume itaenda 18km/l itatafuna Lita 18*2150 ni 39416 wakati nauli ni 12 tu unaenda ...

that means hata mkiwa wawil kama ni kusave hela nendeni na bus ..na hiyo ni passo tu

kuna wtu wana v8 where hata mkiwa wanne hamtoshi lipia mafuta ya kwendea sehemu....so Mwenye uwezo muache aende tu
Kusafiri na gari private Raha ,kuna sehemu unapita unajisemea ningekuwa na gari private ningesimama hapa .Sasa upo kwenye Basi unakuwa huna jinsi
 
Wakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
Watu wanasafiri na baiskeli cc00 na wanafika waendako sembuse cc990.
 
Ushauri mwingine mm huwa siulewi kabsa, hivi paso si ina speed 180 sawa na brevis na rpm sawa? Waliotengeneza waliwekea nini speed 180 kama ww unamshauri asizidi 110? Acheni mambo yenu yy aendeshe speed anayotaka sio kusema sijui 110 wakati gari ina sifa sawa na gari ingine tu
Passo 990cc maxmum speed ni 140 kmh huwa haizidi hapo zingine ni mapambo tu
 
Back
Top Bottom