USHAURI: Nataka kusafiri na Passo ya Piston 3 ina CC 990, nitaenda umbali wa Km 400

USHAURI: Nataka kusafiri na Passo ya Piston 3 ina CC 990, nitaenda umbali wa Km 400

Hii ni jf bro kila mtu ni tajiri [emoji23][emoji23][emoji23] Kila mtu ana gari, kila mtu ana iphone, kila mtu ana nyumba, kila mtu ana mademu wengi, kila mwanaume anamfikisha demu wake kileleni, kila demu mweupe


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3]
 
kaka tunaenda na IST mpaka TUNDUMA tena non stop gari ina fika na unaikabidhi kwa wa zimbabwe,Congolese, Zambian n.k bila shida una fika tena bila mchecheto.

( cha kuzingatia fuata sheria za barabara service ya gari, maana usipo fuata sheria za barabarani ukisema ukimbie sana, mfano speed 100... kph una uwezekano mkubwa wa kupotea hivyo vigari ni vyepesi kinoma. [emoji23] mwisho kabisa nakutakia safari njema kilala kheri.
 
kaka tunaenda na IST mpaka TUNDUMA tena non stop gari ina fika na unaikabidhi kwa wa zimbabwe,Congolese, Zambian n.k bila shida una fika tena bila mchecheto.

( cha kuzingatia fuata sheria za barabara service ya gari, maana usipo fuata sheria za barabarani ukisema ukimbie sana, mfano speed 100... kph una uwezekano mkubwa wa kupotea hivyo vigari ni vyepesi kinoma. [emoji23] mwisho kabisa nakutakia safari njema kilala kheri.
Mkuu wewe dereva wa IT nini?
 
Hamna u cheap wowote hapo

kutembea na gari private ni gharama kuliko kupanda gari za kulipia..hata kama ni passo

eg singida arusha 330km passo tuassume itaenda 18km/l itatafuna Lita 18*2150 ni 39416 wakati nauli ni 12 tu unaenda ...

that means hata mkiwa wawil kama ni kusave hela nendeni na bus ..na hiyo ni passo tu

kuna wtu wana v8 where hata mkiwa wanne hamtoshi lipia mafuta ya kwendea sehemu....so Mwenye uwezo muache aende tu
Ukifuata kanuni hiyo hakuna haja ya kuwa na gari kwa sababu hata town trip daladala ni 400 hadi 650 ina maana kwenda na kurudi si zaidi 2000.

Ukisema kuwahi chukua boda utawahi na gharama ndogp.

Baadae uta conclude hakuna haja ya gari.
Lkn ni UMASKINI TU HUO.

Hata kujenga nyumba ni gharama kuliko kupanga.
Haya ni mawazonya WAJINGA TU
 
Unafika hata Mwanza ila hiyo engine ni ndogo so usiilazimishe kui rev sana pale ambapo inazidiwa. Hii itasaidia gari iishi maisha marefu zaidi. Binafsi nimeshasafiri nayo Dar Tanga nikiwa na watu. Kama huna haraka haina shida
 
Nimewahi tokanayo musoma to Dsm non stop na kako powa kabisa mpaka leo hii sasa wewe to km 400 unakuja humu unalialia mwanaume mzima kweli??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeweza kumshauri bila kutoa kashfa, yeye kauliza iwapo anaweza kwenda na hiyo gari 400 km, bahati nzuri wewe una uzoefu, ulichopaswa ni kumfahamisha bila kuongeza maneno ya maudhi
 
Passo 990cc maxmum speed ni 140 kmh huwa haizidi hapo zingine ni mapambo tu

Nimewahi shuhudia testing ya hizi gari kwenye Dynamo pale NIT. Wanakipiga 160+Km na kinaenda bila shida.

Kama kibovu ndio unakuta vingine kinazima.

Mimi labda mtu aniambie kuwa ukipiga speed kubwa hiyo gari itakuwa nyepesi sana hivyo ni rahisi kuhama road. Huyu naweza kumuelewa.
 
kaka tunaenda na IST mpaka TUNDUMA tena non stop gari ina fika na unaikabidhi kwa wa zimbabwe,Congolese, Zambian n.k bila shida una fika tena bila mchecheto.

( cha kuzingatia fuata sheria za barabara service ya gari, maana usipo fuata sheria za barabarani ukisema ukimbie sana, mfano speed 100... kph una uwezekano mkubwa wa kupotea hivyo vigari ni vyepesi kinoma. [emoji23] mwisho kabisa nakutakia safari njema kilala kheri.

Yes fact ya kutotembea speed kubwa sababu ya wepesi wa gari naikubali. Siyo vinginevyo.
 
Yes fact ya kutotembea speed kubwa sababu ya wepesi wa gari naikubali. Siyo vinginevyo.
Yaani kuna vigari ukukipiga pedal vizuri halafu ghfla likatokea la kutokea mbele yako ukifunga break huwa vina pepesuka vibaya sana [emoji22] kana weza viringita hata mara million [emoji23] au kama upo kwenye motion kina kuwa hakina utulivu kabisa kina hama hama flani [emoji23][emoji115] sasa hapo una safiri usiku na una kausingizi flani my bro ni bora upark pembeni tu maana kifuatacho ni kuimbiwa " siimbalii karibuu" [emoji848]
 
Nimewahi shuhudia testing ya hizi gari kwenye Dynamo pale NIT. Wanakipiga 160+Km na kinaenda bila shida.

Kama kibovu ndio unakuta vingine kinazima.

Mimi labda mtu aniambie kuwa ukipiga speed kubwa hiyo gari itakuwa nyepesi sana hivyo ni rahisi kuhama road. Huyu naweza kumuelewa.
Passo ipo very stsble barabarsni
 
Wakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
We nenda nacho, kikifa njiani kiuze kama kilivyo, usihqngaike kukitengeneza, kilipolewa huko Japan kilikua kinangoja kwenda scrapyard.

Watanzania tuachane na mitumba.

Wewe unanunua mtumba halafu unauliza huu upapi wa nini makalioni? Unanshangaza!
 
We nenda nacho, kikifa njiani kiuze kama kilivyo, usihqngaike kukitengeneza, kilipolewa huko Japan kilikua kinangoja kwenda scrapyard.

Watanzania tuachane na mitumba.
😅😅😅😅😅
 
Kila ukifika Kms 100 kipumzishe masaa matano kivulini. kimwagie maji ya baridi sana kiache kipoe. Kisha ndo uendelee na safari. Pia usibebe mzigo wa kuzidi km 20 na wewe usizidi kilo
 
Back
Top Bottom