Kwa nini kipumzike, kama kiko vizuri kinaweza kwenda hata 2000km non stopHata km 1000 kinaenda ili mradi nidhamu. Kipumzishe kila baada ya km 300 kipoe kabisa ndio uendelee na safari
Ukiquantify kila kitu ni cheap sana kusafiri na private car hasa kwa safari za chini ya 1000kmGharama ya kwenda na Passo km400 ni ndogo kuliko kupanda Bus?...
Fanya hesabu rahisi tu!.
Then ni safi sana kusafiria!!..Ukiquantify kila kitu ni cheap sana kusafiri na private car hasa kwa safari za chini ya 1000km
Sent using Jamii Forums mobile app
acha umasikini kwa hiyo watu wasiendeshe magari ....subiri level zako zifikeGharama ya kwenda na Passo km400 ni ndogo kuliko kupanda Bus?...
Fanya hesabu rahisi tu!.
Hamna u cheap wowote hapo
kutembea na gari private ni gharama kuliko kupanda gari za kulipia..hata kama ni passo
eg singida arusha 330km passo tuassume itaenda 18km/l itatafuna Lita 18*2150 ni 39416 wakati nauli ni 12 tu unaenda ...
that means hata mkiwa wawil kama ni kusave hela nendeni na bus ..na hiyo ni passo tu
kuna wtu wana v8 where hata mkiwa wanne hamtoshi lipia mafuta ya kwendea sehemu....so Mwenye uwezo muache aende tu
Unataka bragging, unataka uhalisia?..acha umasikini kwa hiyo watu wasiendeshe magari ....subiri level zako zifike
Ndugu yangu huku JF ukiomba ushairi sometimes unaweza kuvujwa moyo..
Gari lolote linapotengenezwa linapitia vigezo vingi sana ili likidhi mahitaji ya standards za kimataifa..
Gari lolote lile unaweza kusafiri nalo bila shida ili mradi liwe zima na ufuate utaratibu.
Tatizo linakuja pale ambapo mtu yupo safari ndefu na passo....brevis inampita mlimani jamaa wa passo anaanza kufukuza...hapo lazima kichemshe.
Gari kama passo kwa udogo wake nakushauri usizidi 110kph kwa safari ya mbali na RPM maximum iwe 3 ila muda mwingi hakikisha RPM ipo chini ya 3 then acha gari ichanganye yenyewe....wenye prado zao waache waende utafika tu.
Ukizingatia hayo kwa passo utasafiri kwenda mbali tu na kurudi salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mantik hiyo hakuna sababu ya kununua gari, coz kwa vyovyote vile kumiliki gar ni ghali kuliko kutokuwa na gari.Hamna u cheap wowote hapo
kutembea na gari private ni gharama kuliko kupanda gari za kulipia..hata kama ni passo
eg singida arusha 330km passo tuassume itaenda 18km/l itatafuna Lita 18*2150 ni 39416 wakati nauli ni 12 tu unaenda ...
that means hata mkiwa wawil kama ni kusave hela nendeni na bus ..na hiyo ni passo tu
kuna wtu wana v8 where hata mkiwa wanne hamtoshi lipia mafuta ya kwendea sehemu....so Mwenye uwezo muache aende tu
Ukikuta mtu ana chombo chake cha moto usimdharau....
Sasa elfu arobaini kwa private car yangu ni hela???Hamna u cheap wowote hapo
kutembea na gari private ni gharama kuliko kupanda gari za kulipia..hata kama ni passo
eg singida arusha 330km passo tuassume itaenda 18km/l itatafuna Lita 18*2150 ni 39416 wakati nauli ni 12 tu unaenda ...
that means hata mkiwa wawil kama ni kusave hela nendeni na bus ..na hiyo ni passo tu
kuna wtu wana v8 where hata mkiwa wanne hamtoshi lipia mafuta ya kwendea sehemu....so Mwenye uwezo muache aende tu
kidogo sana kuna wengine umbal huo inatafuna mafuta ya almost 80k
ulishawahi kumsimulia hayo mambo mleta uzi??Nimewahi tokanayo musoma to Dsm non stop na kako powa kabisa mpaka leo hii sasa wewe to km 400 unakuja humu unalialia mwanaume mzima kweli??
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga Mkuu ,hiyo gari inasafiri tu ,hata kama zingekuwa km 2000.Wakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
Unamiliki gari lakini MSHAMBA!..