Sawa baba mwenye gari!!...Ushamba ndani ya Range rover na ujanja peku peku kwa miguu ipi bora [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] Kumiliki Gari sio kosa langu ila wewe kutomiliki gari ni kosa la jinai fanya kazi uje ununue passo Bro! Hakuna gari inayouzwa kwa bei ya kuniita mimi mshamba [emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Humu tunadharauliana sana...lakini hakuna chombo cha moto kinachouzwa laki mbili[emoji41][emoji41][emoji41]Ushamba ndani ya Range rover na ujanja peku peku kwa miguu ipi bora [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] Kumiliki Gari sio kosa langu ila wewe kutomiliki gari ni kosa la jinai fanya kazi uje ununue passo Bro! Hakuna gari inayouzwa kwa bei ya kuniita mimi mshamba [emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Humu tunadharauliana sana...lakini hakuna chombo cha moto kinachouzwa laki mbili[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni jf bro kila mtu ni tajiri [emoji23][emoji23][emoji23] Kila mtu ana gari, kila mtu ana iphone, kila mtu ana nyumba, kila mtu ana mademu wengi, kila mwanaume anamfikisha demu wake kileleni, kila demu mweupe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii ni jf bro kila mtu ni tajiri [emoji23][emoji23][emoji23] Kila mtu ana gari, kila mtu ana iphone, kila mtu ana nyumba, kila mtu ana mademu wengi, kila mwanaume anamfikisha demu wake kileleni, kila demu mweupe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Inafika bila shoda kabisa, pita laniMimi nipo kagera kikazi na home ni mbeya sasa ninampamgo wa kuenda na passo yangu mpaka mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata barabara za changarawe, ili mradi chini, kwa maana ya shock, stabilizer link, spring iwe iko vizuri, kuna mtu tuliongozana naye kigoma to tabora, na kumbuka almost nusu ya barabara hiyo ni changarawe karibia 220km, akiwa na passo, mwaka juzi, na huwa namuona nayo mpaka leo
Ndugu yangu huku JF ukiomba ushairi sometimes unaweza kuvujwa moyo..
Gari lolote linapotengenezwa linapitia vigezo vingi sana ili likidhi mahitaji ya standards za kimataifa..
Gari lolote lile unaweza kusafiri nalo bila shida ili mradi liwe zima na ufuate utaratibu.
Tatizo linakuja pale ambapo mtu yupo safari ndefu na passo....brevis inampita mlimani jamaa wa passo anaanza kufukuza...hapo lazima kichemshe.
Gari kama passo kwa udogo wake nakushauri usizidi 110kph kwa safari ya mbali na RPM maximum iwe 3 ila muda mwingi hakikisha RPM ipo chini ya 3 then acha gari ichanganye yenyewe....wenye prado zao waache waende utafika tu.
Ukizingatia hayo kwa passo utasafiri kwenda mbali tu na kurudi salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusafiri na gari private Raha ,kuna sehemu unapita unajisemea ningekuwa na gari private ningesimama hapa .Sasa upo kwenye Basi unakuwa huna jinsiHamna u cheap wowote hapo
kutembea na gari private ni gharama kuliko kupanda gari za kulipia..hata kama ni passo
eg singida arusha 330km passo tuassume itaenda 18km/l itatafuna Lita 18*2150 ni 39416 wakati nauli ni 12 tu unaenda ...
that means hata mkiwa wawil kama ni kusave hela nendeni na bus ..na hiyo ni passo tu
kuna wtu wana v8 where hata mkiwa wanne hamtoshi lipia mafuta ya kwendea sehemu....so Mwenye uwezo muache aende tu
Unataka wamiliki Punda?
Watu wanasafiri na baiskeli cc00 na wanafika waendako sembuse cc990.Wakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
Na ndo mafuta ya gari piaHizi ni gari maalum kwa ajili ya misele ya town. Kilometer 400 nauli ya basi haizidi 25,000=
Sent using Jamii Forums mobile app
Passo 990cc maxmum speed ni 140 kmh huwa haizidi hapo zingine ni mapambo tuUshauri mwingine mm huwa siulewi kabsa, hivi paso si ina speed 180 sawa na brevis na rpm sawa? Waliotengeneza waliwekea nini speed 180 kama ww unamshauri asizidi 110? Acheni mambo yenu yy aendeshe speed anayotaka sio kusema sijui 110 wakati gari ina sifa sawa na gari ingine tu