[emoji3]Hii ni jf bro kila mtu ni tajiri [emoji23][emoji23][emoji23] Kila mtu ana gari, kila mtu ana iphone, kila mtu ana nyumba, kila mtu ana mademu wengi, kila mwanaume anamfikisha demu wake kileleni, kila demu mweupe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata vitz cc990 mwisho ni 140Passo 990cc maxmum speed ni 140 kmh huwa haizidi hapo zingine ni mapambo tu
Mkuu wewe dereva wa IT nini?kaka tunaenda na IST mpaka TUNDUMA tena non stop gari ina fika na unaikabidhi kwa wa zimbabwe,Congolese, Zambian n.k bila shida una fika tena bila mchecheto.
( cha kuzingatia fuata sheria za barabara service ya gari, maana usipo fuata sheria za barabarani ukisema ukimbie sana, mfano speed 100... kph una uwezekano mkubwa wa kupotea hivyo vigari ni vyepesi kinoma. [emoji23] mwisho kabisa nakutakia safari njema kilala kheri.
Ukifuata kanuni hiyo hakuna haja ya kuwa na gari kwa sababu hata town trip daladala ni 400 hadi 650 ina maana kwenda na kurudi si zaidi 2000.Hamna u cheap wowote hapo
kutembea na gari private ni gharama kuliko kupanda gari za kulipia..hata kama ni passo
eg singida arusha 330km passo tuassume itaenda 18km/l itatafuna Lita 18*2150 ni 39416 wakati nauli ni 12 tu unaenda ...
that means hata mkiwa wawil kama ni kusave hela nendeni na bus ..na hiyo ni passo tu
kuna wtu wana v8 where hata mkiwa wanne hamtoshi lipia mafuta ya kwendea sehemu....so Mwenye uwezo muache aende tu
Ndio, huwa naruka mara moja mojaMkuu wewe dereva wa IT nini?
Ungeweza kumshauri bila kutoa kashfa, yeye kauliza iwapo anaweza kwenda na hiyo gari 400 km, bahati nzuri wewe una uzoefu, ulichopaswa ni kumfahamisha bila kuongeza maneno ya maudhiNimewahi tokanayo musoma to Dsm non stop na kako powa kabisa mpaka leo hii sasa wewe to km 400 unakuja humu unalialia mwanaume mzima kweli??
Sent using Jamii Forums mobile app
Passo 990cc maxmum speed ni 140 kmh huwa haizidi hapo zingine ni mapambo tu
kaka tunaenda na IST mpaka TUNDUMA tena non stop gari ina fika na unaikabidhi kwa wa zimbabwe,Congolese, Zambian n.k bila shida una fika tena bila mchecheto.
( cha kuzingatia fuata sheria za barabara service ya gari, maana usipo fuata sheria za barabarani ukisema ukimbie sana, mfano speed 100... kph una uwezekano mkubwa wa kupotea hivyo vigari ni vyepesi kinoma. [emoji23] mwisho kabisa nakutakia safari njema kilala kheri.
Mrejesho tafadhaliAhsanteni kwa ushauri, safari inaanza asubuhi ntaleta majibu..
Yaani kuna vigari ukukipiga pedal vizuri halafu ghfla likatokea la kutokea mbele yako ukifunga break huwa vina pepesuka vibaya sana [emoji22] kana weza viringita hata mara million [emoji23] au kama upo kwenye motion kina kuwa hakina utulivu kabisa kina hama hama flani [emoji23][emoji115] sasa hapo una safiri usiku na una kausingizi flani my bro ni bora upark pembeni tu maana kifuatacho ni kuimbiwa " siimbalii karibuu" [emoji848]Yes fact ya kutotembea speed kubwa sababu ya wepesi wa gari naikubali. Siyo vinginevyo.
Passo ipo very stsble barabarsniNimewahi shuhudia testing ya hizi gari kwenye Dynamo pale NIT. Wanakipiga 160+Km na kinaenda bila shida.
Kama kibovu ndio unakuta vingine kinazima.
Mimi labda mtu aniambie kuwa ukipiga speed kubwa hiyo gari itakuwa nyepesi sana hivyo ni rahisi kuhama road. Huyu naweza kumuelewa.
Watu hawajui 1nz unaikuta mpk kwenye premio,runx,rush...sasa sijui wanaangalia body la gari ama vipi?Yes fact ya kutotembea speed kubwa sababu ya wepesi wa gari naikubali. Siyo vinginevyo.
Vipi ukibeba watu wanne kanakuwa na nguvuNimesafiri na passo yangu piston 3 musoma to dar zaidi ya mara kumi tena huwa naanza safari zangu usiku sijawahi kupata shida hata maramoja
Ngoja kidogo..
We nenda nacho, kikifa njiani kiuze kama kilivyo, usihqngaike kukitengeneza, kilipolewa huko Japan kilikua kinangoja kwenda scrapyard.Wakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
π π π π πWe nenda nacho, kikifa njiani kiuze kama kilivyo, usihqngaike kukitengeneza, kilipolewa huko Japan kilikua kinangoja kwenda scrapyard.
Watanzania tuachane na mitumba.