Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Astaghafilullah....π³We nenda nacho, kikifa njiani kiuze kama kilivyo, usihqngaike kukitengeneza, kilipolewa huko Japan kilikua kinangoja kwenda scrapyard.
Watanzania tuachane na mitumba.
Wewe unanunua mtumba halafu unauliza huu upapi wa nini makalioni? Unanshangaza!
Kila la heriWakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
Usithubutu. Labda wawe watoto wadogo wadogo wa miezi 3Vipi ukibeba watu wanne kanakuwa na nguvu
Huwa nakula vichwa bariadi ama shinyanga ama tinde mida ya saa mbili usikuVipi ukibeba watu wanne kanakuwa na nguvu
Ni Kweli Nyingi Hutembea Toka Bandari Ya Dar Es SalaamHata suzuki carry na cc 650 yake vinatoboa hadi malawi,zambia,congo..vizuri tu.
Kama haujiamini achana na hiyo Passo tafura usafiri mwingineWakuu naombeni ushauri, nina safari kidogo kama ya KM 400 kwa siku moja ila sijawahi kusafiri na hiki kigari, ushauri tafadhali...
Au atumie Toyo mkuuπππKama haujiamini achana na hiyo Passo tafura usafiri mwingine
π€£π€£π€£Au atumie Toyo mkuuπππ
Huwa naweka kambi kusoma vijana wa kisasa wanavyochambana....Thread hizi ni burudani sana kusoma!