Upo sahihi sana mkuuBongo ni vice versa wenye maeneo makubwa ndio hujenga ghorofa sababu ndio wanaafford kununua maeneo makubwa. Makabwela wenye high density plots huwa hawajengi maghorofa
NB: kkoo special case
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi sana mkuuBongo ni vice versa wenye maeneo makubwa ndio hujenga ghorofa sababu ndio wanaafford kununua maeneo makubwa. Makabwela wenye high density plots huwa hawajengi maghorofa
NB: kkoo special case
Kabisa kwa mfano Dar watu wangejenga ghorofa maeneo mengi yangekuwa wazi kuliko hivi sasaNa sometime unakuta una eneo zuri ila dogo sasa ukifanya cost benefit analysis unaona bora ujilipue tu ujenge kighorofa ubakie na nafasi ya parking na mambo mengine.
Ghorofa moja tu linatosha lisizid sqm 150.Huko huko mbeleni utaona una mzigo mkubwa sana
Ghorofa zuri but Kuna wakati inafikia linaboa na kukuchosha hasa pale umri ukisogea mambo ya usafi ndani na nje ni changamoto hata uwe na dada wa kazi/houseboy. Maintenance yake huwa ni kuchosha akili tu
Na ingepunguza hata baadhi ya gharama za maisha, fikiria mtu anadrive toka mapinga/bagamoyo tena ndanindani mpaka posta kwenda na kurudi kwenye mishemishe zake. wakati angekuwa let say anakaa Mwenge angesave time na hela pia. Ndo maana wahindi, wachina ana duka chini anaishi juu, anafunga duka saa 11, then anafanya mazoezi then anaingia ibadani then anakutana na wenzake kudiscuss issue za biashara then anakaa na familia watoto ndugu then anameditate then analala. Mtu kama huyu lazima awe na utimamu wa afya, akili, aperform vizuri kwenye biashara na mambo mengine pia.Kabisa kwa mfano Dar watu wangejenga ghorofa maeneo mengi yangekuwa wazi kuliko hivi sasa
Ghorofa la sqm 150 unaona ni dogo?😂Ghorofa moja tu linatosha lisizid sqm 150.
Weka picha mkuu, hatuelewi hiyo waffleHabari, nakushauri kama utaweza tumia waffle slab,Kuna jirani angu amejenga gorofa kwa garama ndogo sana aliwapata jamaa wanaotumia hizo waffle sikufich nilipenda kuanzia muonekano wa hizo waffles na pia namna ilivyookoa garama maana formwork yake haikuhitaji marine bords na hata idadi ya nondo alitumia chache sana.ushauri kama utapenda kupunguza garama tumia aina hiyo ya slab waffle
Mungwana hebu nijuze mkuu, unaposema waffle unamaanisha vitu kama hivyo hapo chini???Habari, nakushauri kama utaweza tumia waffle slab,Kuna jirani angu amejenga gorofa kwa garama ndogo sana aliwapata jamaa wanaotumia hizo waffle sikufich nilipenda kuanzia muonekano wa hizo waffles na pia namna ilivyookoa garama maana formwork yake haikuhitaji marine bords na hata idadi ya nondo alitumia chache sana.ushauri kama utapenda kupunguza garama tumia aina hiyo ya slab waffle
Sawa hiyo m300 kwa mchoro wako pengine ila hata M100 unajenga kali kabisa mpaka finishing yake. Mfano ghorofa ya upana wa mita 7 kwa 7 zile wanaita Mini casa, mpaka milioni 70/80 zile ndogo ndogo. Kwa hiyo si kila ghorofa ni kuanzia m200 mbona mnajitutumua sana kwamba wengine wasijenge au?Unachekesha mkuu. Naongelea from experience tena hapo ni ghorofa 1 ukitaka lipendeleze minimum weka 300m bei ya kununulia kiwanja haihusiki hapo mkuu. Ningekuwa mhaya au kina Dotto ningetuma picha hapa nikuonyeshe ninapoishi
Wapo mkuu wengi tuu, changamoto Yao ni kwenye makadirio,mfano nondo 100anaweza sema 150au kinyume chake.Habari wakuu,
Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja. Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs.
Naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu, nataka kutafuta fundi Juma ambaye ana uzoefu kujenga ghorofa, anisaidie kujenga ili kupunguza gharama. Nataka kujua kama kuna mtu hapa ameshawahi kujenga kwa kutumia fundi wa kawaida.
Pili, naomba msaada kuju makisio bila finishing kwa nyumba ya 98sqm.
Asante kwa muda wenu.
Hata Kama lisifike huko Ila lisivuke hapo.Ghorofa la sqm 150 unaona ni dogo?[emoji23]
15 kwa 10, Hilo ghorofa ni kubwa bwashee
Sahihi kabisa Mkuu.ushauri wangu kama unajenga gorofa achana na mafundi michael, wala fundi juma utakuja kulia kilio kisichokuwa na jina
Mtafute fundi mchundo ( technician) wale waliosoma dit, arusha tech au must kama kumpata engineer ni garama maana hawa wako more practical zaidi.
Epuka kutumia fundi wa kawaida kwenye ujenzi kama wa gorofa kama utakuwa na fundi wa kawaida ni lazima awe chini ya usimamizi wa mtu technical maana structure na stubility ya goroma inahitaji mtu mwenye knowledge ya structural design kuweza kutransform mawazo ya structural engineer kutoka kwenye mchoro/ karatasi kuja kwenye site. hii ndo sababu gorofa nyingi kukosa ubora hasa zilizopo dar. mtu unachorewa mchoro vizur wenye details unakutana fundi anakushaur ondoa nondo size fulani bila taratibu zakujua endapo marekebisho yoyote yatafanyika kutoka kwenye plan iliyokisudiwa lazima structural engineer athibitishe.
siku hizi kila mtu anataka kuwa engineer tujaribu kuheshimu professional za watu.
Huyo Civil Engineer ukimkabidhi kazi ya kusimamia. Mpe pia kazi ya kununua material. Atakuwa anapata bonus za madukani na hivyo atafanya kazi vizuri. Ila uwe mwangalifu, inatakiwa uwe na background history yake.Yes tumia fundi maiko ila hakikisha unampa kazi ya kusimamia civil engineer mzoefu unakuwa unamlipa consultation fees kila akija site kwako kutoa ushauri. La sivyo utalia bila kupigwa
Kama hutojali Nicheki WhatsappHabari wakuu,
Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja. Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs.
Naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu, nataka kutafuta fundi Juma ambaye ana uzoefu kujenga ghorofa, anisaidie kujenga ili kupunguza gharama. Nataka kujua kama kuna mtu hapa ameshawahi kujenga kwa kutumia fundi wa kawaida.
Pili, naomba msaada kuju makisio bila finishing kwa nyumba ya 98sqm.
Asante kwa muda wenu.
Kabla ya kulishauri, naomba utuelekeze unapendwa uzikwe wapi?Habari wakuu,
Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja. Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs.
Naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu, nataka kutafuta fundi Juma ambaye ana uzoefu kujenga ghorofa, anisaidie kujenga ili kupunguza gharama. Nataka kujua kama kuna mtu hapa ameshawahi kujenga kwa kutumia fundi wa kawaida.
Pili, naomba msaada kuju makisio bila finishing kwa nyumba ya 98sqm.
Asante kwa muda wenu.
ndp ikoje hii wafnle slab na je wanapatkana wap mafundi wakeHabari, nakushauri kama utaweza tumia waffle slab,Kuna jirani angu amejenga gorofa kwa garama ndogo sana aliwapata jamaa wanaotumia hizo waffle sikufich nilipenda kuanzia muonekano wa hizo waffles na pia namna ilivyookoa garama maana formwork yake haikuhitaji marine bords na hata idadi ya nondo alitumia chache sana.ushauri kama utapenda kupunguza garama tumia aina hiyo ya slab waffle
Straight to my contacts list, ukibadili namba nijulishe Sasa mkuuKama hutojali Nicheki Whatsapp
0679169532.
Mimi sio Fundi Juma ni Mhandisi ujenzi.
Nitakupa hints za Nini Cha kufanya usijeishia kwenye kuacha gofu . Nimekuwa nikifanya ujenzi wa majengo ya makazi ya ghorofa Moja Moja mengi as freelance Civil Engineer!
Ukiibadili tujulishaneKama hutojali Nicheki Whatsapp
0679169532.
Mimi sio Fundi Juma ni Mhandisi ujenzi.
Nitakupa hints za Nini Cha kufanya usijeishia kwenye kuacha gofu . Nimekuwa nikifanya ujenzi wa majengo ya makazi ya ghorofa Moja Moja mengi as freelance Civil Engineer!
Acha uoga...Huko huko mbeleni utaona una mzigo mkubwa sana
Ghorofa zuri but Kuna wakati inafikia linaboa na kukuchosha hasa pale umri ukisogea mambo ya usafi ndani na nje ni changamoto hata uwe na dada wa kazi/houseboy. Maintenance yake huwa ni kuchosha akili tu
Inategemea na design --- kwa hesabu za rafu 300m na kuendelea