Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Inawezekena kuacha kabisa.... kamuone daktari.. atakusaidia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ilikataza marijuana kwasababu ya mashinikizo ya nchi za magharibi na hii ilikuwa around 1970's.kuvuta bhangi ni dhambi (ni ulevi) na ndio maana hata serikali inakataza!
Serikali inakataza dhambi zipi?Unywaji wa Konyagi,balimi,castle,whisk and wine au uvutaji wa bhang?Kunywa bia ni dhambi au si dhambi.Na kama ni dhambi serikali ipi imewahi kukemea dhambi hii?kuvuta bhangi ni dhambi (ni ulevi) na ndio maana hata serikali inakataza!
Marijuana (bhang) ni moja kati ya aina za madawa ya kulevya.Serikali ilikataza marijuana kwasababu ya mashinikizo ya nchi za magharibi na hii ilikuwa around 1970's.
Kabla ya hapo watu walikuwa wanatumia herbs kwa faida nyingi tu. Kutengeneza nyuzi, dawa, chakula cha mifugo na kadhalika.
Sasa hivi marijuana is legal in most states in the US
Vipi South Africa? Hujasikia juzi mahakama ya Cape Town wame legalize marijuana?
Side note: Kenya is discussing to legalize the herbs.
Wewe unaongelea dhambi?
Kitu unatakiwa ufahamu.......ndani ya jamii ya Jews marijuana ni moja ya jamii tano za mimea inayoheshimika zaidi. Unafahamu kwanini?
Mafuta ya marijuana yalitumika kuchanganya na mafuta ya mimea mingine kupata mafuta yakumpata Mfalme wakati anasimikwa.
And for your information.....King Solomon alikuwa anatumia herbs.
Ushahidi wa kiakiolojia unathibitisha hili. Masalia ya herbs (majivu) yalikutwa kwenye temple/palace yake.
Marijuana is the healing of the Nation.
Go and educate yourself
Marijuana is the healing of all NationMarijuana (bhang) ni moja kati ya aina za madawa ya kulevya.
Serikali haikatazi bhang kwa sababu ni dhambi. Inakataza kwa sababu bhangi ina madhara makubwa ktk ufahamu wa wanadamu. Na kitu chochote kinachoharibu ufahamu sio kizuri hata kwenye maswala ya kiroho kwa kuwa mtu yeyote aliyeharibika ufahamu hawezi kumwabudu Mungu. " hivyo bangi kiserikali haifai; na kiroho haifai pia"Serikali inakataza dhambi zipi?Unywaji wa Konyagi,balimi,castle,whisk and wine au uvutaji wa bhang?Kunywa bia ni dhambi au si dhambi.Na kama ni dhambi serikali ipi imewahi kukemea dhambi hii?
Wewe ni rastafarian !?Marijuana is the healing of all Nation
Pole sana.Serikali haikatazi bhang kwa sababu ni dhambi. Inakataza kwa sababu bhangi ina madhara makubwa ktk ufahamu wa wanadamu. Na kitu chochote kinachoharibu ufahamu sio kizuri hata kwenye maswala ya kiroho kwa kuwa mtu yeyote aliyeharibika ufahamu hawezi kumwabudu Mungu. " hivyo bangi kiserikali haifai; na kiroho haifai pia"
I have been rastafari from ever since.Wewe ni rastafarian !?
Acha kuvuta bangi mkuu, itakupeleka pabaya.Pole sana.
Kenya soon wanaruhusu herbs halafu itafuata Tanzania
Excuses me when I light my spliff
Herb is good for the flu
Herb is good for asthma
Good for tuberculosis
Even umara composis
My advice for you is....go and educate yourself from unbiased sources about herbs
Acha kufuata mafundisho yasiyo na mashiko mkuu utaangamia kwa kukosa maarifaAcha kuvuta bangi mkuu, itakupeleka pabaya.
Kuangamiaja sasa!Acha kufuata mafundisho yasiyo na mashiko mkuu utaangamia kwa kukosa maarifa
Nimekwambia nenda kajielimishe kuhusu herbs from unbiased sourcesKuangamiaja sasa!
Hata katika maisha ya kawaida ya kila siku mvuta bangi huwa anadharaulika sana. Au wewe ushakuwa ganzi kiasi kwamba hata huoni jamii inakuonaje
Haijawahi kunipeleka pabaya kwa muda wote wa 20years nahudumia my family like always,na nikiitumia thinking capacity yangu naiona iko juu but nahitaji kuacha kwa faida ya jamii ninayoiacha nyuma.Acha kuvuta bangi mkuu, itakupeleka pabaya.
Potelea mbali acha nipigwe ban.. Wewe ni mseeengee afu maku.Marijuana (bhang) ni moja kati ya aina za madawa ya kulevya.