Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,733
- Thread starter
- #61
Tafadhali tusifike huko dah!Potelea mbali acha nipigwe ban.. Wewe ni mseeengee afu maku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafadhali tusifike huko dah!Potelea mbali acha nipigwe ban.. Wewe ni mseeengee afu maku.
Nimetokea Maskani.sasa na wewe umetokea wapi teja
Tuko pa1 mkuu, usijali. Hii ni dunia ina kila aina ya uchafu!Mkuu@Originally Posted by Blood of Jesus pole ndugu yangu.
Usisahau kumuomba andiko linalokataza bhang na kuiharamisha.Nimekwambia nenda kajielimishe kuhusu herbs from unbiased sources
Mafundisho unayoamini ni matokeo ya kuwa brain-washed na huko ndiyo kuangamia kwenyewe.
Unajua kwa nini?
Kwasababu....mental slavery is one of the worst form of slavery.
Kuhusu jamii I really don't care what people think or say about me....I only care what is best for me and those close to my heart....see?
Social labeling was there since the time of Yeshua......I no afraid of them bad mind
![]()
![]()
![]()
![]()
Kama akili yako ina ufa utafikia kuhisi uko huko[emoji2] [emoji2] [emoji2]daaa mbona nasikia hii kitu ukiitumia eti unakuwa unajihis kama upo New York umekaa na watu maaruf kma akina lily wyne,Jay z hivi ni kweli mkuu
Ghanja ni sacred plant hata kwe vitabu vya diniUsisahau kumuomba andiko linalokataza bhang na kuiharamisha.
Na kabla ya hapo marekani ndo wakwanza kuiban bange kwakuwa ilikua inaharibu soko la tumbaku na serikali na matajiri walikua wanategemea sigara kupata kodi n kuendesha uchumi...ndo maana States mbalimbali wanalegalize it[emoji261] [emoji261] [emoji261] [emoji261] [emoji256] [emoji256] [emoji256] [emoji256]Serikali ilikataza marijuana kwasababu ya mashinikizo ya nchi za magharibi na hii ilikuwa around 1970's.
Kabla ya hapo watu walikuwa wanatumia herbs kwa faida nyingi tu. Kutengeneza nyuzi, dawa, chakula cha mifugo na kadhalika.
Sasa hivi marijuana is legal in most states in the US
Vipi South Africa? Hujasikia juzi mahakama ya Cape Town wame legalize marijuana?
Side note: Kenya is discussing to legalize the herbs.
Wewe unaongelea dhambi?
Kitu unatakiwa ufahamu.......ndani ya jamii ya Jews marijuana ni moja ya jamii tano za mimea inayoheshimika zaidi. Unafahamu kwanini?
Mafuta ya marijuana yalitumika kuchanganya na mafuta ya mimea mingine kupata mafuta yakumpata Mfalme wakati anasimikwa.
And for your information.....King Solomon alikuwa anatumia herbs.
Ushahidi wa kiakiolojia unathibitisha hili. Masalia ya herbs (majivu) yalikutwa kwenye temple/palace yake.
Marijuana is the healing of the Nation.
Go and educate yourself
Let dem legalize it.raaaaahraah.Ghanja ni sacred plant hata kwe vitabu vya dini
Na kabla ya hapo marekani ndo wakwanza kuihaban bange kwakuwa ilikua inaharibu soko la tumbaku na serikali na matajiri walikua wanategemea sigara kupata kodi n kuendesha uchumi...ndo maana States mbalimbali wanalegalize it[emoji261] [emoji261] [emoji261] [emoji261] [emoji256] [emoji256] [emoji256] [emoji256]
Nlitaka kuuliza anaacha kwa sababu ganiMkuu unatuangusha Mimi first born wangu yupo Udsm lkn KITU ananinulia mke wangu na ananinyongea akitoka kazini km stock imepungua anampitia pusha Sina anampa.nikuulize una acha unaumwa au inakuzuru hiyo ni dawa usiache mkuu mikosi itakuandama
kuvuta bhangi ni dhambi (ni ulevi) na ndio maana hata serikali inakataza
wanashesha 24 hrs du nouma sanaKasheshe
Poa mkuuwanashesha 24 hrs du nouma sana
Dr wa afya ya akili kwani kichaa huyu. tafadhali msidharilishe mmea mtakatifuUandishi tu wenyewe unaonyesha umeitumia sana, onana na dr bingwa wa afya ya akili atakusaidia mkuu.
Kazi kweliDr wa afya ya akili kwani kichaa huyu. tafadhali msidharilishe mmea mtakatifu