Nashindwa kumuelewa mm watoto hawajui ila mke wangu anajua mpaka kuninyongea tuna miaka 12 ya ndoa ondoa ya uchumba na ananiambia nimeshakuwa mtu mzima nivutie nyumbaniNlitaka kuuliza anaacha kwa sababu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashindwa kumuelewa mm watoto hawajui ila mke wangu anajua mpaka kuninyongea tuna miaka 12 ya ndoa ondoa ya uchumba na ananiambia nimeshakuwa mtu mzima nivutie nyumbaniNlitaka kuuliza anaacha kwa sababu gani
Tatizo watu wanakasumba mkuu. hata ukikutana na mimi huwezi amini natumia hiyo kitu.wala ndugu na jamaa hawafamu,sababu niko normal kabisaNashindwa kumuelewa mm watoto hawajui ila mke wangu anajua mpaka kuninyongea tuna miaka 12 ya ndoa ondoa ya uchumba na ananiambia nimeshakuwa mtu mzima nivutie nyumbani
Mkuu nimeanza kula mmea toka nipo std V Uhuru primary nikafauru boys nikapasua chuo sijawahi kuona madhara ya mmea na Nikila mjani nakuwa nipo vzr snTatizo watu wanakasumba mkuu. hata ukikutana na mimi huwezi amini natumia hiyo kitu.wala ndugu na jamaa hawafamu,sababu niko normal kabisa
Ganja sio ya kila mtu kuna vichwa haviwezi hii kitu.na pia haitakiwi kuiabuse.vuta kwa ratiba maalumu,kula vizuri.usiitumie sababu unastressMkuu nimeanza kula mmea toka nipo std V Uhuru primary nikafauru boys nikapasua chuo sijawahi kuona madhara ya mmea na Nikila mjani nakuwa nipo vzr sn
Sijaona madhara yoyote mkuu,ila ujue kila mtu ana kichwa chake,yawezekana kwa kutumia kwangu hii chagha inaweza kuincourage vijana wangu kutumia na kama wana vichwa vya panzi dah!Umetumia kwa miaka 20. Wanasema bangi ina madhara. Je waweza kutueleza ni madhara gani hasa uliyoyapata kutokana na kuvuta bangi? Na nini hasa kinapelekea wewe kutaka kuacha?
Tupe elimu!
Jina lako tu la profile linasadifu ukisemacho.Wanajamii,
Hii makitu nimeitumia muda mrefu sana naona muda umefika wa kuacha, nina vijana wako chuo na nisingependa wafahamu hili tatizo langu, tatizo kila nikiamua kuipotezea hata wiki akili yangu instack.
Nahitaji ushauri wenu tafadhali ni serious issue na nimeitumia zaidi ya miaka 20.
Sawa mkushi nimekubali lifestyle yako.Wife anakutolea stick imesimama kama sigara kali au phantom.Mkuu unatuangusha Mimi first born wangu yupo Udsm lkn KITU ananinulia mke wangu na ananinyongea akitoka kazini km stock imepungua anampitia pusha Sina anampa.nikuulize una acha unaumwa au inakuzuru hiyo ni dawa usiache mkuu mikosi itakuandama
Yap vijana hawatakiwi kujua unatumia maana wanaweza kuiga. Bora waanze kuvuta kivyaovyao na si kukufata wewe. Usiache bana...ha haaaaSijaona madhara yoyote mkuu,ila ujue kila mtu ana kichwa chake,yawezekana kwa kutumia kwangu hii chagha inaweza kuincourage vijana wangu kutumia na kama wana vichwa vya panzi dah!
Thinking capacity itashuka!Haijawahi kunipeleka pabaya kwa muda wote wa 20years nahudumia my family like always,na nikiitumia thinking capacity yangu naiona iko juu but nahitaji kuacha kwa faida ya jamii ninayoiacha nyuma.
Pabaya wapi mkuu?Acha kuvuta bangi mkuu, itakupeleka pabaya.
Gerezani na hatimaye jehanamu ya moto wa milelePabaya wapi mkuu?
Gerezani sawa. Lakini jehanam unatudanganya!Gerezani na hatimaye jehanamu ya moto wa milele
kwamba huamini kama kuna jehanamu,... Au? ?Gerezani sawa. Lakini jehanam unatudanganya!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nashindwa kumuelewa mm watoto hawajui ila mke wangu anajua mpaka kuninyongea tuna miaka 12 ya ndoa ondoa ya uchumba na ananiambia nimeshakuwa mtu mzima nivutie nyumbani