Mama yangu alitoka kazini akaenda kujifungua mimi, lakini leo mke wangu mimba ina miezi mitano anaamka saa saba mchana
Basi wewe uko kama mke wangu. Akiwa na mjamzito from week ona mpaka karibu kujifungua kutapika ni kama pacha wake. Halafu yuko very sensitive kwa harufu. Week za kwanza kwanza ndiyo zaidi na hata mimi naambiwa nanukia vibaya.
Kama Hana complications anaweza safiri bila shida.
Mimi ubishi uliniponza mimba ikiwa miezi 4 niliumwa nikafanyiwa scan nikaambiwa nikae bed rest. Kufika miezi 8 nikatakiwa nisafiri nikaona haina shida mbona najisikia fresh tu, kusema ukweli sikuwa naumwa Wala Nini Yani hata uchovu hamna.
Nlisafiri njiani nlijionea mauzauza mbona, sema nlijikaza tu kikike [emoji23][emoji23][emoji23]. 10hrs trip Nlifika saa 4 usiku straight hospital, kesho yake saa 6 mchana nikajifungua.
Ah mm hasira ni daily jamani...dah ningekuwa ww ningezaa kama zamaradi aise!..mm pia kwenye kula ah niko vyema...huwa naadd weight balaa na mitoto.inakuwa mibonge.ah sitak tenaSijawahi kutapika kwenye mimba ila tu kuna wakati nilikuwa nasimama mbele pale sababu ya miguu na mgongo,
Tofauti na hapo nakula almost kila kitu nasafiri natembea na kazi zote mwanzo mwisho
Changamoto yangu ni hasira tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa...una balaa weweKama Hana complications anaweza safiri bila shida.
Mimi ubishi uliniponza mimba ikiwa miezi 4 niliumwa nikafanyiwa scan nikaambiwa nikae bed rest. Kufika miezi 8 nikatakiwa nisafiri nikaona haina shida mbona najisikia fresh tu, kusema ukweli sikuwa naumwa Wala Nini Yani hata uchovu hamna.
Nlisafiri njiani nlijionea mauzauza mbona, sema nlijikaza tu kikike [emoji23][emoji23][emoji23]. 10hrs trip Nlifika saa 4 usiku straight hospital, kesho yake saa 6 mchana nikajifungua.
Ah mm hasira ni daily jamani...dah ningekuwa ww ningezaa kama zamaradi aise!..mm pia kwenye kula ah niko vyema...huwa naadd weight balaa na mitoto.inakuwa mibonge.ah sitak tena
Aisee nimecheka kweli kwani mke wangu hivyo hivyo. Hili la kulazisha ugomvi ndiyo usiseme. Nilikuwa nadhani ana-act na sikudhani yuko mwanamke mwingine anayefanya hivyo. Unaona sasa faida ya forum kama hizi. Nakumbuka kuna kipindi nilisafiri kurudi nikakuta picha yangu iliyokuwa ukutani ameishua na kutupa kule. Kumuuliza akasema inamletea kichefuchefu š¤£. Nikilala kitandani ananiambia ondoka nitandike. Nikihamia sebuleni ananifuata. Kuna kipindi nilienda naye kwetu alinitia aibukwani hawezi kujizuia kabisa ana anakuwa na emotions kweli.Yaani mm.had labor huwa lazima nitapike...
Mm ukitaka siku hiyo nisitapike nijifungie room nisikutane na mtu anayeitwa mwanaume...yaan sijui nisemeje...ni zaidi ya mateso..mm hata salamu tu ya mwanamume natapika hapo hapo..so siongeagi na mwanaume yyt kwa miez yote.9..hata ukiinita siitiki ndo pona yangu..otherwise ntantapika hapo hapo!
Mimi hubby nilikua nataka kila siku nigombane naye..sasa yy mpolee..bas ule upole mm nilikua nachefukwa balaaš ! Nataka mtiti tu nigombane naye rohoni nakua freshy balaa...sitaki kbs hayo mateso jamani! Bas kuna siku aliniambia aisee ukija conceive tena kwakweli.ntaomba ruhusa nikasome siwez kbs mbwembwe zakošš! Kweli bwana nilipopata ya 2 akaenda soma kbsš¤£! Nilimmis balaa!nasubiri wa kike mayb ntabadilika na hizo moody swings
Mimi hata simu hua sipokei..Hahaaaa nakumbuka kuna nesi aliniambia angekuwa na uzazi kama wangu angezaa kila mwaka
Zingatia
1) Aina ya usafiri unaotumia
2) Hali yake ya kiafya mfano kama alishakuwa na complications za ujauzito akapewa masharti kadhaa, kwa mfano kama alishapata Miscarriage anaweza asiruhusiwe na daktari, kuna ninayemfahamu ana mimba ya miezi mitatu tu (3) lakini ameambiwa asipande bodaboda, at least bajaji au boxer kidogo kwa tahadhari.
3) Pia zingatia hali ya barabara mpaka hapo atakapofikia mwisho wa safari.
NB: Mimi kama mimi kama ni Mke wangu simsafirishi kabisa, namuacha apumzike hata kama barabara ni ya sakafu mwanzo mwisho.
Sikuhizi Mwanamke kubeba ujauzito salama mpaka stage ya mwisho sio jambo rahisi tofauti na zamani, mambo ni mengi sijui pressure za mimba n.k
Aisee nimecheka kweli kwani mke wangu hivyo hivyo. Hili la kulazisha ugomvi ndiyo usiseme. Nilikuwa nadhani ana-act na sikudhani yuko mwanamke mwingine anayefanya hivyo. Unaona sasa faida ya forum kama hizi. Nakumbuka kuna kipindi nilisafiri kurudi nikakuta picha yangu iliyokuwa ukutani ameishua na kutupa kule. Kumuuliza akasema inamletea kichefuchefu [emoji1787]. Nikilala kitandani ananiambia ondoka nitandike. Nikihamia sebuleni ananifuata. Kuna kipindi nilienda naye kwetu alinitia aibukwani hawezi kujizuia kabisa ana anakuwa na emotions kweli.
Hahahhahahaaa...tupo wengi jamani! Khaa jamani mimba hainaga adabu!imagine 9 mths huongei na mumeo jaman..sema na yy ilibidi aweze!Aisee nimecheka kweli kwani mke wangu hivyo hivyo. Hili la kulazisha ugomvi ndiyo usiseme. Nilikuwa nadhani ana-act na sikudhani yuko mwanamke mwingine anayefanya hivyo. Unaona sasa faida ya forum kama hizi. Nakumbuka kuna kipindi nilisafiri kurudi nikakuta picha yangu iliyokuwa ukutani ameishua na kutupa kule. Kumuuliza akasema inamletea kichefuchefu š¤£. Nikilala kitandani ananiambia ondoka nitandike. Nikihamia sebuleni ananifuata. Kuna kipindi nilienda naye kwetu alinitia aibukwani hawezi kujizuia kabisa ana anakuwa na emotions kweli.
Hahahahahahahahhaa hornet ww kichaa jamaniš¤£š¤£Binafsi huwa najichukia kwa hilo
Niliwahi kumwaga maji kitandani kisa mtu amelala mi sina usingizi [emoji23][emoji23]
Mm hadi road nalala pembeni sina wasi wasi na mtu.hata siwazi kuchafuka nalala kbs..dah..naburutaga tumbo balaaMimba hazifanani kabisa
Mimba yangu ya kwanza nilikuwa very active
Ya pili sasa[emoji23]
Nikishiba tu nalala popote
Binafsi huwa najichukia kwa hilo
Niliwahi kumwaga maji kitandani kisa mtu amelala mi sina usingizi [emoji23][emoji23]
Self service?
Hahahahahahahahhaa hornet ww kichaa jamani[emoji1787][emoji1787]
Sijakuelewa.
Hahahhahahaaa...tupo wengi jamani! Khaa jamani mimba hainaga adabu!imagine 9 mths huongei na mumeo jaman..sema na yy ilibidi aweze!
Yaani ni heka heka za ajabu!poleni kwakweli..wala hatujifanyishi....nikifika kwa dk kama ni.men namuomba karatasi naandika nachoumwa[emoji1787]
Hii kumwaga maji inahisi kujichua au mfuko kupasuka?
Muambukize mke wanguMie mwenyewe nafanya kazi hadi jioni.....usiku naenda kujifungua