Ushauri: Naweza msafirisha Mjamzito wa miezi 7?

Ushauri: Naweza msafirisha Mjamzito wa miezi 7?

Kama Hana complications anaweza safiri bila shida.

Mimi ubishi uliniponza mimba ikiwa miezi 4 niliumwa nikafanyiwa scan nikaambiwa nikae bed rest. Kufika miezi 8 nikatakiwa nisafiri nikaona haina shida mbona najisikia fresh tu, kusema ukweli sikuwa naumwa Wala Nini Yani hata uchovu hamna.
Nlisafiri njiani nlijionea mauzauza mbona, sema nlijikaza tu kikike [emoji23][emoji23][emoji23]. 10hrs trip Nlifika saa 4 usiku straight hospital, kesho yake saa 6 mchana nikajifungua.

Duh pole na hongera sana
 
Sijawahi kutapika kwenye mimba ila tu kuna wakati nilikuwa nasimama mbele pale sababu ya miguu na mgongo,
Tofauti na hapo nakula almost kila kitu nasafiri natembea na kazi zote mwanzo mwisho

Changamoto yangu ni hasira tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ah mm hasira ni daily jamani...dah ningekuwa ww ningezaa kama zamaradi aise!..mm pia kwenye kula ah niko vyema...huwa naadd weight balaa na mitoto.inakuwa mibonge.ah sitak tena
 
Kama Hana complications anaweza safiri bila shida.

Mimi ubishi uliniponza mimba ikiwa miezi 4 niliumwa nikafanyiwa scan nikaambiwa nikae bed rest. Kufika miezi 8 nikatakiwa nisafiri nikaona haina shida mbona najisikia fresh tu, kusema ukweli sikuwa naumwa Wala Nini Yani hata uchovu hamna.
Nlisafiri njiani nlijionea mauzauza mbona, sema nlijikaza tu kikike [emoji23][emoji23][emoji23]. 10hrs trip Nlifika saa 4 usiku straight hospital, kesho yake saa 6 mchana nikajifungua.
Hahahaa...una balaa wewe
 
Ah mm hasira ni daily jamani...dah ningekuwa ww ningezaa kama zamaradi aise!..mm pia kwenye kula ah niko vyema...huwa naadd weight balaa na mitoto.inakuwa mibonge.ah sitak tena

Hahaaaa nakumbuka kuna nesi aliniambia angekuwa na uzazi kama wangu angezaa kila mwaka
 
Yaani mm.had labor huwa lazima nitapike...
Mm ukitaka siku hiyo nisitapike nijifungie room nisikutane na mtu anayeitwa mwanaume...yaan sijui nisemeje...ni zaidi ya mateso..mm hata salamu tu ya mwanamume natapika hapo hapo..so siongeagi na mwanaume yyt kwa miez yote.9..hata ukiinita siitiki ndo pona yangu..otherwise ntantapika hapo hapo!

Mimi hubby nilikua nataka kila siku nigombane naye..sasa yy mpolee..bas ule upole mm nilikua nachefukwa balaa😅! Nataka mtiti tu nigombane naye rohoni nakua freshy balaa...sitaki kbs hayo mateso jamani! Bas kuna siku aliniambia aisee ukija conceive tena kwakweli.ntaomba ruhusa nikasome siwez kbs mbwembwe zako😃😃! Kweli bwana nilipopata ya 2 akaenda soma kbs🤣! Nilimmis balaa!nasubiri wa kike mayb ntabadilika na hizo moody swings
Aisee nimecheka kweli kwani mke wangu hivyo hivyo. Hili la kulazisha ugomvi ndiyo usiseme. Nilikuwa nadhani ana-act na sikudhani yuko mwanamke mwingine anayefanya hivyo. Unaona sasa faida ya forum kama hizi. Nakumbuka kuna kipindi nilisafiri kurudi nikakuta picha yangu iliyokuwa ukutani ameishua na kutupa kule. Kumuuliza akasema inamletea kichefuchefu 🤣. Nikilala kitandani ananiambia ondoka nitandike. Nikihamia sebuleni ananifuata. Kuna kipindi nilienda naye kwetu alinitia aibukwani hawezi kujizuia kabisa ana anakuwa na emotions kweli.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽
Zingatia

1) Aina ya usafiri unaotumia

2) Hali yake ya kiafya mfano kama alishakuwa na complications za ujauzito akapewa masharti kadhaa, kwa mfano kama alishapata Miscarriage anaweza asiruhusiwe na daktari, kuna ninayemfahamu ana mimba ya miezi mitatu tu (3) lakini ameambiwa asipande bodaboda, at least bajaji au boxer kidogo kwa tahadhari.

3) Pia zingatia hali ya barabara mpaka hapo atakapofikia mwisho wa safari.


NB: Mimi kama mimi kama ni Mke wangu simsafirishi kabisa, namuacha apumzike hata kama barabara ni ya sakafu mwanzo mwisho.

Sikuhizi Mwanamke kubeba ujauzito salama mpaka stage ya mwisho sio jambo rahisi tofauti na zamani, mambo ni mengi sijui pressure za mimba n.k
 
Aisee nimecheka kweli kwani mke wangu hivyo hivyo. Hili la kulazisha ugomvi ndiyo usiseme. Nilikuwa nadhani ana-act na sikudhani yuko mwanamke mwingine anayefanya hivyo. Unaona sasa faida ya forum kama hizi. Nakumbuka kuna kipindi nilisafiri kurudi nikakuta picha yangu iliyokuwa ukutani ameishua na kutupa kule. Kumuuliza akasema inamletea kichefuchefu [emoji1787]. Nikilala kitandani ananiambia ondoka nitandike. Nikihamia sebuleni ananifuata. Kuna kipindi nilienda naye kwetu alinitia aibukwani hawezi kujizuia kabisa ana anakuwa na emotions kweli.

Binafsi huwa najichukia kwa hilo
Niliwahi kumwaga maji kitandani kisa mtu amelala mi sina usingizi [emoji23][emoji23]
 
Aisee nimecheka kweli kwani mke wangu hivyo hivyo. Hili la kulazisha ugomvi ndiyo usiseme. Nilikuwa nadhani ana-act na sikudhani yuko mwanamke mwingine anayefanya hivyo. Unaona sasa faida ya forum kama hizi. Nakumbuka kuna kipindi nilisafiri kurudi nikakuta picha yangu iliyokuwa ukutani ameishua na kutupa kule. Kumuuliza akasema inamletea kichefuchefu 🤣. Nikilala kitandani ananiambia ondoka nitandike. Nikihamia sebuleni ananifuata. Kuna kipindi nilienda naye kwetu alinitia aibukwani hawezi kujizuia kabisa ana anakuwa na emotions kweli.
Hahahhahahaaa...tupo wengi jamani! Khaa jamani mimba hainaga adabu!imagine 9 mths huongei na mumeo jaman..sema na yy ilibidi aweze!
Yaani ni heka heka za ajabu!poleni kwakweli..wala hatujifanyishi....nikifika kwa dk kama ni.men namuomba karatasi naandika nachoumwa🤣
 
Mimba hazifanani kabisa
Mimba yangu ya kwanza nilikuwa very active

Ya pili sasa[emoji23]
Nikishiba tu nalala popote
Mm hadi road nalala pembeni sina wasi wasi na mtu.hata siwazi kuchafuka nalala kbs..dah..naburutaga tumbo balaa

Ila kweli laana ya mama ni kali sana
 
Hahahhahahaaa...tupo wengi jamani! Khaa jamani mimba hainaga adabu!imagine 9 mths huongei na mumeo jaman..sema na yy ilibidi aweze!
Yaani ni heka heka za ajabu!poleni kwakweli..wala hatujifanyishi....nikifika kwa dk kama ni.men namuomba karatasi naandika nachoumwa[emoji1787]

Wanasema ukichukia wanaume unajifungua kidume [emoji2368]
 
Back
Top Bottom