Ushauri: Ndugu yangu hakubaliani na hali ya mtoto wake ilhali mtoto wake ashaikubali, pesa zinapotea na ni mwepesi kudanganyika, kipi kifanyike ?

karibu huku mkuu

 
Ni kweli. Lakini na wamama waharibifu wala nyama za watoto nao wapo. Ukipata mama mwema ni wa kumshukuru Mungu na kumfanyia mema yasiyo mithilika mpaka kuingia kwake kaburini.
 
Mwache ahangaike nae tu...uchungu wake sio sawa na wako afterall pesa za kwao
 
Ukiwa na shida muombe Mungu atakujibu, asipokujibu jua kuna sehemu umekosea au hauna imani.
Kuwa tegemea wachungaji ni kosa kubwa,wale kazi yao ni kueneza injili ili kila mtu amjue Mungu,sasa wamejigeuza kuwa miungu
 
Nna binam yangu naye alikumbwa na huu mkasa, tulihangaika sana hadi siku moja tuko msibani mzee mmoja aliomba aimbe wimbo na hitaa lake, katika kusalimiana akagindua dogo hasikii, akauliza alizaliwa hivi tukampa mkasa wote. Next week alikuja na majani flani akayafinyanga na mate kiganjani akamkamulia akarudia wiki km 3 dogo mzima hadi leo. Ila mdingi ndo alifariki mwaka jana
 
Pole sana mkuu.

Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
 
Kuna kupigwa tena hapo kuwa makini, waleta ushuhuda wa kupona washaanza.
 
Me nilicho gundua una wivu na pesa za mamako mdogo... Usimpangie mtu matumiz ya pesa zake... Halafu hakuna kitu kinauma kama kuona mwanao anapitia changamoto fulani lazima upambane kwa gharama yoyote ile kumsaidia mtoto... Kama una mtoto utanielewa kama huna endelea kuona maza mdogo anahangaika bure...
 
Ninacho kiona hapo ni hustle za mama kwa mwanae! Acha aendelee kumpambania mwanae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…