Hii ni nzuri sana na itapunguza makelele ila tatizo hao ni wapiga kura wetu!Dawa nikulifanya zoezi kwa ujumla bila kumtaja mtu watajipambanua ndani ya zoezi! Wasipokata kibari tunawasondeka lupango mwezi mmoja na kutaifisha vyombo vya mziki ambavyo havina usajili
Bro! Wanaopigiwa kelele nao ni wapiga kura!Hii ni nzuri sana na itapunguza makelele ila tatizo hao ni wapiga kura wetu!
Dawa ni kusajili spika wasipolipa ZINATAIFISHWA!Kuna haya makanisa uchwara yanapiga kelele unakuta wamekodi nyumba kwenye makazi ya watu, usiku wanatumia speaker usiku kucha waweza usilale na wao hawajali waanze kupigwa fine
Hapo Kwa makanisa hasa haya design ya zumaridi ni kelele kubwa mno hapo hawataguswa eti uhuru wa kuabuduTuanze na hao wa muziki. Tutakuja wa Makanisa na Misikiti.
Tamu ndo mpaka ukuseme Mbeya??Sio misikiti tu,hata makanisa hasa huko Mbeya na Arusha
NEMC wenye wanasemaje au wapo zao bar hizohizo wanabwia mvinyo..Nafaham upo ugumu mkubwa wa kushughulika na watu wanaoamini KERO ni haki yao!
Yaani kuna watu wanajimilikisha haki ya kuwakera wengine!
Na wanaoamini wako sahihi!
Zamani kukuta spika ya disco kanisani ilikuwa HAKUNA! Na watu waliogopa kucheza sebene kanisani lakini hivi Leo ni kawaida sana!
Miziki mikubwa kwenye bar, makanisa na misikiti imekuwa kawaida na wanaamini ni HAKI YAO!
NEMC FANYENI HIVI KUONDOA TATIZO!
1. Wekeni viwango elekezi vya decibel's ya chombo cha mziki kwa kuzingatia uwiano wa chumba/jengo (Volume ratio) ya chumba na muwape vibari!
Fomu za vibari NEMC zijazwe kupitia serikali ya mtaa na mtendaji wa mtaa (hii itakuwa bure kwa vyombo vyote vidogo vya mziki mfano! Koni spika, na vinanda vidogo (piano)
2. Spika zote kubwa kuanzia decibels elekezi mtakazopanga na kuendelea kutokana na uwiano wa jengo.
Hakikisheni Zinapatiwa kibali maalum kutoka NEMC
MFANO! spika moja kubwa kwa mwaka ilipiwe 10MIL na hakikisheni nakala ya stika ya vibari vyenu vinabandikwa inje ya jengo husika
Vikionesha tarehe, muda wa matumizi, na ukomo!
(Hakikisheni na mkague vibari vyenu VALID kama vimebandikwa inje)
Asilimia 30% ya malipo wapeni mtaa husika kwa maendeleo ya mtaa!
HAKIKISHENI HAKUNA MTU ANAYETUMIA SPIKA KUBWA YENYE DECIBEL'S kinyume na kiwango elekezi pasipo USAJILI!
NA MJIPAMBANUE KWAMBA HAMUWAKATAZI KUTUMIA BALI MNAWASAJILI NA KUWAPA MATUMIZI ELEKEZI! Anaeshindwa aaache!
Nahilo lifanyike kitaifa!
Duh umeeleza bayanaTatizo liko kwenye usimamizi, sheria zipo lakini viongozi watendaji ngazi za chini wanaona aibu kusimamia sheria. Mfano kero ya kelele kwenye makazi ya watu, boda boda wanaofunga vyombo vya muziki kwenye piki piki zao...Haya ni mambo yanayoweza kushughulikiwa ndani ya wiki moja watu wakashika adabu....
Siku za hivi karibuni umezuka mtindo wa madereva wa boda boda kuburuza nondo, mbao, milango kwenye lami badala ya kupakia mzigo, viongozi wa Serikali za mitaa wapo wanaona na wanawajua wakiukaji wa sheria, lakini wamefumba macho na masikio, matokeo yake watu wa usalama barabarani na Polisi waneona fursa za kujinufaisha!.
Saaaaana.Kweli,
Yaani hawa wachoma cd na makanisa uchwala wanakera sana
Wengine huchomeka frash za nyimbo na kutokaKuna Makanisa yanafujo
Kelele nyingii ukiingia unakuta watu wanne
Tuwapatie mawazo labda itawasaidiaWameshindwa kutuondolea viwanda bubu vinavyochoma nailoni usiku kucha watu hawawali kwa moshi na harufu ya nailoni ndo muziki watawaweza
Kwa upande wa misikiti ni swalah tu ya asubuhi mchana na njion kwa muda wote wanaotumia haizidi hata dakika 15 kwa siku nzima. Wakatholiku ni kengere ya asubuhi mchana na jion . Lakini Kuna wale walokole ukweli wanakeraTuanze na hao wa muziki. Tutakuja wa Makanisa na Misikiti.
Wafanye hii approach watawasort wote ndani ya mchakato!Kwa upande wa misikiti ni swalah tu ya asubuhi mchana na njion kwa muda wote wanaotumia haizidi hata dakika 15 kwa siku nzima. Wakatholiku ni kengere ya asubuhi mchana na jion . Lakini Kuna wale walokole ukweli wanakera
Siku hizi baadhi ya makanisa kama vilabu vya pombe za kyenyeji