Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013


Bro unataka nini kwenye gari?

Prestige, efficiency?

Reliability?

Hebu tuanzie hapo.

Maana bei za spea wote mtalilia vichakani.

Japo kwa kuanza tu, BMW X3 ina vitu 3 vinakusubiri kwa hamu.

1. Timing chain assembly.
2. Expasion tank, Thermostat na Water pump.
3. Top cover gasket na Oil filter housing gasket.

Hiyo moja na mbili tembelea gari yako ila ukianza kusikia kelele kwenye engine za kugonga au coolant kupungua fanya maamuzi haraka sana.

Hiyo namba 3 usiwahi kuignore leak yoyote ya engine Oil, yatakufika makubwa.

On your list kwa miaka hiyo ongeza Audi q5 au VW tiguan with 2.0TFSI engine, Kwa miaka hiyo utapata engine ya ea888 ambayo ni 3rd generation. Moja kati ya best recent engine kuwahi kutengenezwa na VW group.

Kazi kwako.
 
Yes N20 ni kichomi, kitu cha kwanza ajiandae nacho kisaikolijia ni timing chain.

Japo N20 zilizotengenezwa baada ya 2015 walifix hiyo ishu.

Pia kuhusu turb N55 siyo twin turbo ila ni Twin power turbo au twin scroll turbo. Inakuwa turbo moja tu ila inakuwa na inlet mbili za exhaust gas tofauti turbo ya kawaida ambapo inakuwa na inlet moja tu.

Hii twin scroll inazalisha nguvu kubwa almost the same na turbo mbili zikiwekwa hapo. Mfano N55 inazalisha HP Sawa na N54 ambayo ina Twin turbo. Ila N55 ina Twin Scroll turbo.
 
Akili ambayo BMW wanatumia kwenye engine sio za kawaida, hapa iwe Toyota au Subaru forester hawawezi kufurukuta Kwa Nyanja zote
 
watu wangejua utamu wa Subaru, wasingekua wanajiuliza... Subaru yoyote ichukue tu
Nge
Subaru ya 43 Million siyo mchezo Mkuu..

Subaru Forester kali zinaanzia 25M to 35M. Ukiipata ya 40 kwa mwaka huo basi Mileage zake zipo chini sana bila shaka.
Sasa mimi nimshauri ndugu Fisadi kuu kama hataki Subaru basi hakuna gari atakayokwenda anunue ndege binafsi 🤸
 
Do what you feel comfortable by your own intuition.


Ila fuata ushauri wa watalaamu ambao Ni mechanical Engineers ,ama fundi gereji wakubwa wanafanya kazi kitalaamu,chukua sample Kama tano ama kumi baadaye average Basi unapata precision experimental data ufanye conclusion about durability, quality, affordability, management, services, repairs,spares,oil consumption, mechanical strength in case of head on collusion, horse power, endurance to work long than other.

Nimeshauri kiuchumi na kisayansi na na hesabu Nimetumia branch ya probability
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
2. Expasion tank, Thermostat na Water pump
Ulikua ugonjwa wangu huu. Nikawa nanunua pumps za kichina za 750k na thermostat za 300k nilibadirisha mara 2 kwa mwaka hivi. Nobble Cars wakaja niuzia moja ya kijerumani 1,500K na thermostat ya 850K ndio vilikaa hadi nauza.

Nikiona BMW E90 njiani nacheka tu.
 

BMW (Break My Wallet) [emoji23][emoji23][emoji23]

Saivi una gari gani mkuu

Au umerudi nyumbani kwa mjep
 
Na za petrol zinahitaji hii kitu au za diesel tu

Diesel tu ndo zina hizi shida. Za petrol hazina haja ya kufanya hivi. Petrol engines za 2.0 hazina power sana but economical, na za 2.5 zina power ila zinakunywa kidogo (kama unajali ulaji mafuta)
Advantage kubwa ya engine za diesel ni balance ya nguvu na consumption ya mafuta
 
Ila nimegundua za petrol bei yake imechangamka kidogo kuliko za diesel, hv hyo automation hapa bongo inafanyika au ni mpaka huko mambele
 

Comment bora
 

[emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…