Thats right.Reliability kwenye BMW inawezekana ila kama utaipa gari pesa nzuri.
X3 ni economical ukilinganisha na fuel economy huko ndo nyumbani. Huwezi nafanisha na gari ya kijapani yenye specs sawa.
Kwa hisani ya bwana Extrovert naomba niunge mkono hoja hii[emoji23][emoji23]Hili la kuangalia mtaani sikubaliani nalo kabisa….maana kusema ukweli sisi wabongo tunaigana sana….watu tuna nunua magari kwa kuiga tu na si kingine….ndio maana subaru xt nyingi mtaani,harrier,vangard nk kwa kuwa tunaiga iga na waoga wa maisha.
Ukiwa na hela zetu izi za kutafuta kwa jasho, achana na BMW yenye umri zaidi ya miaka 10.3.0 consumption ni kubwa (petrol) pengine ni bora hata x5 zile za 2007-2009.
Naziona nyingi hizi 2.0, kama hutojali tatizo lake ni nini hasa?
Do what you feel comfortable by your own intuition.
Ila fuata ushauri wa watalaamu ambao Ni mechanical Engineers ,ama fundi gereji wakubwa wanafanya kazi kitalaamu,chukua sample Kama tano ama kumi baadaye average Basi unapata precision experimental data ufanye conclusion about durability, quality, affordability, management, services, repairs,spares,oil consumption, mechanical strength in case of head on collusion, horse power, endurance to work long than other.
Nimeshauri kiuchumi na kisayansi na na hesabu Nimetumia branch ya probability
Babu si tuna ule msemo wetu kuwa dunia kijiji dk 0 tushatoa oda kwa manufacturer!!Tusiije kuulizana Spea tu, agizeni Volvo wanangu muwe Unique gari kali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tusijekutana kwa Sossy Magari tu, Volvo ya mdada lakini haiwaki bei mil. 3 tu 🤣🤣🤣Babu si tuna ule msemo wetu kuwa dunia kijiji dk 0 tushatoa oda kwa manufacturer!!
[emoji23][emoji23]
Unique utalia peke yako bro 🤣🤣Tusiije kuulizana Spea tu, agizeni Volvo wanangu muwe Unique gari kali sana 🤣🤣🤣
Muhimu kuvimba maana mtoa mada kasema kuigana ni ushambaUnique utalia peke yako bro 🤣🤣
Noma sana, kwa hiyo kwa 3m chombo anakabidhiwa raiaTusijekutana kwa Sossy Magari tu, Volvo ya mdada lakini haiwaki bei mil. 3 tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeh af unaambiwa ya mdada😀😀😀ila haiwakiNoma sana, kwa hiyo kwa 3m chombo anakabidhiwa raia
Subaru gani comfortable? 🤣 Siku ukiendesha Prado J120 tu utakuja kufuta ujinga ulioandika hapaJuzi kati niliendesha subaru ya mwanangu hivi,ni gari kali sana kuiendesha,comfortability ya kutosha
... Labda uiwashe kiberiti..Eeh af unaambiwa ya mdada😀😀😀ila haiwaki
Labda betri imekufa [emoji23][emoji23]Eeh af unaambiwa ya mdada[emoji3][emoji3][emoji3]ila haiwaki
Niliendesha Volkswagen touareg nilinote tofauti kubwa na gari yangu. Huyo mwamba uliemkoti usikute anamiliki chuma zenye standard ya chini.Subaru gani comfortable? [emoji1787] Siku ukiendesha Prado J120 tu utakuja kufuta ujinga ulioandika hapa
Cc2500 diesel au petrolUkiona 320i ujue ina cc 1990 kwahiyo ni 4 cylinders inline.
Hapo anzia 323i, 325i, 328i (kama utaipata hizi adimu) izo zote zina cc 2500 na uyo 328i na mwenzie 330i wana cc3000.
Hao wazee ni 6 cylinder N52 na N54 na N55 (turbo) vyunguvya Mjerumani wa Munich.
Touareg v6 ni 🔥🔥🔥toureg
Unatuchomea kunguniTusiije kuulizana Spea tu, agizeni Volvo wanangu muwe Unique gari kali sana 🤣🤣🤣