BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Itategemea lakini, hiyo sio kwa tra, ewuraMshara wa miaka 5 private ni sawa na miaka 10 serikalini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itategemea lakini, hiyo sio kwa tra, ewuraMshara wa miaka 5 private ni sawa na miaka 10 serikalini
kabisa maana kila mtu anasema lake.Huu uzi uliouleta hapa ndio utakufanya uchanganyikiwe hasa,
Zaidi ya ulivyokua unachanganyikiwa mwanzo.
Nenda Serikalini bob .Wakuu habari, niliomba kazi taasisi flani ya umma (utumishi) sikupata nafasi jina langu likahifadhiwa kwenye database juzi kati kuna mkeka wa kuitwa kazini umetoka na jina langu likiwemo kwenye kazi za halmashauri. ila kwa sasa kuna taasisi binafsi nafanya kazi ambayo nalipwa vizuri sana nimefuatilia mshahara wa hapa ni zaidi ya mara mbili ya mshahara huo wa serikalini na haki nyengine zote za mwajiriwa napata kama bima n.k ila changamoto ya hapa private mkataba wao ni wa miaka 3 ila unarenew kila mkataba unapoisha hawana shida. Serikalini nimepangiwa Tabora na mimi makazi yangu miaka yote ni Dar sasa nikienda huko naenda kuanza moja. Nilifikiria kutoenda huko ila kuna mtu kaniambia nisipoenda utumishi jina langu litakuwa blacklisted na sitopata tena nafasi nyengine ya kuingia serikalini maisha yangu yote. Kuna ukweli wowote juu ya hili au nifanye nini wakuu I'm so confused nakosa usingizi kabisa.
Boss anaweza akaamka asubuhi na kisirahi akakutimuaNingekuwa mimi ningeenda Serikalini. Private kuna wakati kunakuwa shwari na kuna wakati kunakuwa na Crisis.
Hii ni kweli kabisa.Uongo uongo tu
Au kampuni ikafirisika 😜 kuna kupunguzwa 😜Boss anaweza akaamka asubuhi na kisirahi akakutimua
Au kupata msusu anataka kazi anakutumiwa tu.
Kikubwa ni angalie tu moyo wake unavyomtuma
KweliAu kampuni ikafirisika 😜 kuna kupunguzwa 😜
Huu uzi uliouleta hapa ndio utakufanya uchanganyikiwe hasa,
Zaidi ya ulivyokua unachanganyikiwa mwanzo.
Ushauri wangu ni huu japo Mimi sio evilspiritWacha kutishwa kama katoto kadogo wewe yaani ukiambiwa hautakuja kufanya kazi serikalini unaogoopa kwani umezaliwa kufanya kazi serikalini? Kutangatanga sio kuzuri baki ulipo na utengeneze mambo yako vizuri na huo mshahara wako wa mara 2 ya wa halmashauri